mansolata
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 503
- 317
Habari mwana jf
Kunachunguzi nyingi za kisayansi ambazo hutumiwa na wataalam wa saikolojia katika majaribio ya kitabia kwa binadamu na wanyama wengine.
Majaribio mengi ya Wanasaikolojia yalibaini kua mahusiano ya X na Y huimarika kwa kua namuendelezo wa kihuduma na hufifia pindi tu huduma zinapopungua na kukosena
Hebujifunze kitu wewe unaetaka kuvunja mahusiano leo hii, hutakiwi kutoa kauli za moja kwa moja(makavu live) kwa ajili ya kuvunja uhusiano bali mpunguzie yale ayapendayo hatimaye acha kabisa.
Mbinu hizi za kisaikolojia zinapotumika huepusha uhasama na hata misongo ya mawazo pia ni rahisi kulitawala tena koloni lako pale unapoona limestawi
Nawasilisha
Kunachunguzi nyingi za kisayansi ambazo hutumiwa na wataalam wa saikolojia katika majaribio ya kitabia kwa binadamu na wanyama wengine.
Majaribio mengi ya Wanasaikolojia yalibaini kua mahusiano ya X na Y huimarika kwa kua namuendelezo wa kihuduma na hufifia pindi tu huduma zinapopungua na kukosena
Hebujifunze kitu wewe unaetaka kuvunja mahusiano leo hii, hutakiwi kutoa kauli za moja kwa moja(makavu live) kwa ajili ya kuvunja uhusiano bali mpunguzie yale ayapendayo hatimaye acha kabisa.
Mbinu hizi za kisaikolojia zinapotumika huepusha uhasama na hata misongo ya mawazo pia ni rahisi kulitawala tena koloni lako pale unapoona limestawi
Nawasilisha