Mahitaji
1)nyama/kuku
2)mchele kg 1
3)vitunguu maji 3 vikubwa
4)vitunguu thomu 1 kidogo
5)pilipili manga kidogo
6)uzile 1(bizari ya pilau) tbsp
7)mdalasini kijiti 5 vikubwa au kama ni wa unga 1 tbsp
8)hiliki 15
9)zabibu kavu kiasi
Namna ya kutaarisha
1)kata kata nyama/kuku then add maji saga kitunguu thomu na tangawizi tia na chumvi kiasi na uchemshe hadi viwive
2)weka mafuta robo kikombe kwenye sufuria safi weka jikoni hadi mafuta yawe moto then tia vitunguu maji ambavyo umevikatakata vikaange hadi viwe brown
3)weka mdalasini hiliki uzile zabibu na pilipili manga then changanya kwa dakika 2
4)weka soup yako pamoja na nyama/kuku kwenye mchanganyiko wako visubirie vichemke kwa dakika 5
5)add maji kulingana na mchele wako unavohitaji ili uwive vr
6)weka mchele wako then funika hadi uwe umewiza
7)then waweza kuutia kwenye oven kwa dakika 10 ili ukauke vizuri
8)pilau tayari kwa kuliwa
1)nyama/kuku
2)mchele kg 1
3)vitunguu maji 3 vikubwa
4)vitunguu thomu 1 kidogo
5)pilipili manga kidogo
6)uzile 1(bizari ya pilau) tbsp
7)mdalasini kijiti 5 vikubwa au kama ni wa unga 1 tbsp
8)hiliki 15
9)zabibu kavu kiasi
Namna ya kutaarisha
1)kata kata nyama/kuku then add maji saga kitunguu thomu na tangawizi tia na chumvi kiasi na uchemshe hadi viwive
2)weka mafuta robo kikombe kwenye sufuria safi weka jikoni hadi mafuta yawe moto then tia vitunguu maji ambavyo umevikatakata vikaange hadi viwe brown
3)weka mdalasini hiliki uzile zabibu na pilipili manga then changanya kwa dakika 2
4)weka soup yako pamoja na nyama/kuku kwenye mchanganyiko wako visubirie vichemke kwa dakika 5
5)add maji kulingana na mchele wako unavohitaji ili uwive vr
6)weka mchele wako then funika hadi uwe umewiza
7)then waweza kuutia kwenye oven kwa dakika 10 ili ukauke vizuri
8)pilau tayari kwa kuliwa