kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,319
- 4,089
Habari ndugu zangu. Mm ni mwalimu niliyeamua kuweka maarifa yangu na ya wanazuoni wengine katika kitabu ili kuwasaidia wanafunzi na waalimu katika kujifunzia na kufundishia. Kitabu ni kwa ajili ya kidato cha tatu na cha nne. Sasa naomba msaada wenu nifuate taratibu zipi ili nipate ISBN number na copyright ili kitabu changu kiingie sokoni??. Karibuni wanandugu mnielekeze.