kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,654
- 1,765
eti mkuu unaweza ukafahamu na namna ya kuondoa mafuta yanatokea usoni vyeupevyeupe hivi?Au tumia baking soda changanya na maji kidogo
eti mkuu unaweza ukafahamu na namna ya kuondoa mafuta yanatokea usoni vyeupevyeupe hivi?Au tumia baking soda changanya na maji kidogo
Namna ya kuondoa ni kupata mafuta mazuri yatakayofaa ngoz yako bas, 0673216816Wakuu nahitaji namna ya kuondoa madoa madoa flani meusi hivi yanayotokea usoni hasa kwa akina dada/wamama, mwenye jufahamu naomba ujuzi wenu...!!!
Pole kuna na bidhaa za kampuni ya Oriflame, hizo zimetengenezwa kwa kutumia malighafi asilia.. Husaidia kuondoa madoa yute na hata chunusi bila kuichubua ng'ozi yako.. Ukihitaji wasiliana nami kwa simu namba 0672416294 ntakuelekeza bei na namna ya kupataWakuu nahitaji namna ya kuondoa madoa madoa flani meusi hivi yanayotokea usoni hasa kwa akina dada/wamama, mwenye jufahamu naomba ujuzi wenu...!!!
Asali??? si uso utakuwa wa kunatanata?????CHUKUA ASALI VIJIKO 5,
PAPAI SAGA PIMA VIJIKO 10
CHANGANYA PAKAA NI NZURI SANA
HAUNATI MKUUAsali??? si uso utakuwa wa kunatanata?????
Hii ni nzuri.Masahihisho. Baking powder ni tofauti na Baking Soda. Atumie Baking Soda na si Baking Powder.Tumia baking powder au baking soda changanya na maji ya limao koroga mchanganyiko huo subiri kwa dakika mbili then upake usoni kaa nao huo mchanganyiko usoni kwa muda wa dakika 15 then osha USO wako kwa maji ya uvuguvugu au maji ya baridi hii hata mm ilinisaidia sanaaa
HAYA MADUBWASHA YANA BABUA KWANI YEYE ANSTAKA KUJICHUBUA AU KUTOA MADOA TUHii ni nzuri.Masahihisho. Baking powder ni tofauti na Baking Soda. Atumie Baking Soda na si Baking Powder.
Kakuambia nani yanachubua? Uwe unauliza??HAYA MADUBWASHA YANA BABUA KWANI YEYE ANSTAKA KUJICHUBUA AU KUTOA MADOA TU
Mkuu si kila kitu lazima uambiwe bingine unajaribu mwenyewe!Kakuambia nani yanachubua? Uwe unauliza??
Kama utasugua kwa nguvu lazima uchubuke.Mkuu si kila kitu lazima uambiwe bingine unajaribu mwenyewe!
HAKUNA KIPIMO SAHIHI KWANINI ASIBABUKE HATA KAMA HAJAJISUGUA?Kakuambia nani yanachubua? Uwe unauliza??
Hello usisite kunitafuta kwa simu namba 0672416294 ninayo mafuta kutoka Oriflame yatakusaidia bila kuchubua ngozi yakoPole kuna na bidhaa za kampuni ya Oriflame, hizo zimetengenezwa kwa kutumia malighafi asilia.. Husaidia kuondoa madoa yute na hata chunusi bila kuichubua ng'ozi yako.. Ukihitaji wasiliana nami kwa simu namba 0672416294 ntakuelekeza bei na namna ya kupata
Kumbe unauza mafuta!Namna ya kuondoa ni kupata mafuta mazuri yatakayofaa ngoz yako bas, 0673216816
Kuna ile even out oxygen booster iliniharibu ngozi sina hamu nayo. Huyo alinipima ngozi yangu akanipa 3in one cleanser na hiyo oxygen booster,nilitumia tu baada ya masaa kama 12 uso wote ulikiwa mchungu kama pilipili,nilitokewa na vichunusi vidogovidogo vinauma huthubutu hata kugua uso. Mwanzo vilikuwa vyekundu but baadae vinakuwa vyeusi tii, hizi bidhaa sio reliable kama mnavyozitangaza.Pole kuna na bidhaa za kampuni ya Oriflame, hizo zimetengenezwa kwa kutumia malighafi asilia.. Husaidia kuondoa madoa yute na hata chunusi bila kuichubua ng'ozi yako.. Ukihitaji wasiliana nami kwa simu namba 0672416294 ntakuelekeza bei na namna ya kupata
Hapana, kuna tatizo moja. Yupo mwanachama anakupa bidhaa ili auze tu apate pesa bila kujua bidhaa, kazi yake na itumike kwa ngozi gani.Kuna ile even out oxygen booster iliniharibu ngozi sina hamu nayo. Huyo alinipima ngozi yangu akanipa 3in one cleanser na hiyo oxygen booster,nilitumia tu baada ya masaa kama 12 uso wote ulikiwa mchungu kama pilipili,nilitokewa na vichunusi vidogovidogo vinauma huthubutu hata kugua uso. Mwanzo vilikuwa vyekundu but baadae vinakuwa vyeusi tii, hizi bidhaa sio reliable kama mnavyozitangaza.
waweza tumia asali na tangawizi au hiyo ya asali na papai.kipimo kijiko cha tangawizi vijiko vitatu vya asaliKuondoa kovu je...