ngebo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 1,679
- 2,105
Hii ishu inatokea sana, unakuta una nguo yako pendwa sana ukiifulia sabuni ya unga tu rangi yake halisi inapotea na inakuwa na weusi uliofifia, mfano jeans nyeusi, au T-shirt nyeusi nk. Hivyo basi kwa wanaofahamu namna za kurudisha weusi kwenye nguo iliyofifia atupe mbinu, binafsi nafahamu ya kutumia black fabric dye, ila sasa sijafanikiwa kuipata kwenye mizunguko yangu, pia mwenye suggestion inapopatikana tujuze.