Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 17,749
- 42,713
🤣🤣🤣ukimpalamia tu na kifo cha mende au dog style dakika 0 tu ushamwaga
🤣🤣🤣ukimpalamia tu na kifo cha mende au dog style dakika 0 tu ushamwaga
Namba 5 sikubaliani na wewe mkuu. Hiyo style ya kuangalia upande mmoja inaleta msisimko wa hali ya juu san1: Punguza wasiwasi:
Hebu lifikirie tendo kama njia ya kujifurahisha sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu, hii itakusaidia kuondoa mawazo ya kutafuta mbegu na kuchelewa kumaliza.
2: Fanya taratibu:
Picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka kama mbwa. HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mwenzako na wewe kuchelewa kufika kileleni.
4: Badilisha staili:
Ile style ya zamani ya kumlalia mwanamke kwa juu{missionary position} inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uuume hivyo itakufanya ufike haraka sana.
5: Tumia style ya wewe mwanaume kutangulia chini afu mwanamke juu au kulala kwa upande wote mnaangalia upande mmoja hii itakusaidia sana kuchelewa
6: Toa mawazo kwamba unafanya ngono:
Hebu jaribu kufikiria mambo mengine ya kikazi au masomo wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika.
6: Fanya na kuacha:
hii ni ile hali ya kuzuia msuguano pale unapoona unakaribia kutoa mbegu kwa kama sekundi 30 kisha unaanza upya. Hakikisha haufiki “point of no return”. pointi ambayo huwezi kujizuia tena kumaliza.
Mimi naazaga moja mpaka 100...halafu nachomoa...nikiingiza tena sabini sifikiAkiwa una do hesabu kuanzia 99 kurudi nyuma,,
Point nzuri ,njaa ni adui wa haki.Usiwe unapga show una njaa kila cku utaumbuka.
Si bora yako,Kuna pisi kali ilikuja geto mara ya Kwanza kama welcome form one ,mara ya pili nikaona ngoja nijaribu zali Kwa maana nili mpania sana , na siku iyo nikaona ngoja niji bless na mtoto mzuri Kwa sababu ilikuwa birthday yanguStress zinasababisha sana hii kitu Af pia Kama Mwili hauna mood ya sex Usilazimishe Kuna siku Nilikuwa sina moody kabisa ila Nikafosi kwasababu manzi alikuwa anasafiri, Nikaingia mzigoni kupump one two Nahisi ngoma hizo Najitahidi kucontrol lakin wapi Najitahidi kupiga slow lakin wap, Nikajitahidi kutupa mawazo mbali lakini Wapi unahisi kabisa Ngoma hizo Nitaona kujitesa kwa kazi gani Nikaachia Na hapo Manzi ndo kwa yeye ndo anaanza nilipata aibu sana
Noted1: Punguza wasiwasi:
Hebu lifikirie tendo kama njia ya kujifurahisha sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu, hii itakusaidia kuondoa mawazo ya kutafuta mbegu na kuchelewa kumaliza.
2: Fanya taratibu:
Picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka kama mbwa. HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mwenzako na wewe kuchelewa kufika kileleni.
4: Badilisha staili:
Ile style ya zamani ya kumlalia mwanamke kwa juu{missionary position} inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uuume hivyo itakufanya ufike haraka sana.
5: Tumia style ya wewe mwanaume kutangulia chini afu mwanamke juu au kulala kwa upande wote mnaangalia upande mmoja hii itakusaidia sana kuchelewa
6: Toa mawazo kwamba unafanya ngono:
Hebu jaribu kufikiria mambo mengine ya kikazi au masomo wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika.
6: Fanya na kuacha:
hii ni ile hali ya kuzuia msuguano pale unapoona unakaribia kutoa mbegu kwa kama sekundi 30 kisha unaanza upya. Hakikisha haufiki “point of no return”. pointi ambayo huwezi kujizuia tena kumaliza.
Mkuu unakula mlo kamili lakini ?1: Punguza wasiwasi:
Hebu lifikirie tendo kama njia ya kujifurahisha sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu, hii itakusaidia kuondoa mawazo ya kutafuta mbegu na kuchelewa kumaliza.
2: Fanya taratibu:
Picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka kama mbwa. HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mwenzako na wewe kuchelewa kufika kileleni.
4: Badilisha staili:
Ile style ya zamani ya kumlalia mwanamke kwa juu{missionary position} inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uuume hivyo itakufanya ufike haraka sana.
5: Tumia style ya wewe mwanaume kutangulia chini afu mwanamke juu au kulala kwa upande wote mnaangalia upande mmoja hii itakusaidia sana kuchelewa
6: Toa mawazo kwamba unafanya ngono:
Hebu jaribu kufikiria mambo mengine ya kikazi au masomo wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika.
6: Fanya na kuacha:
hii ni ile hali ya kuzuia msuguano pale unapoona unakaribia kutoa mbegu kwa kama sekundi 30 kisha unaanza upya. Hakikisha haufiki “point of no return”. pointi ambayo huwezi kujizuia tena kumaliza.
Kweli aiseeHapa Pana ni husu, Wacha nitie Kambi. Maana sometime Huwa naadhirika. Unaingiza tu unamwaga. Daaah! Fedheha sana