Kung fu panda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 746
- 771
hao watakua waruguruHapo Gomz kuna ukweli, hao wa kigogo natamani kujua ni kabila gani
hao watakua waruguruHapo Gomz kuna ukweli, hao wa kigogo natamani kujua ni kabila gani
JF. Never boringUkiwa Dar waweza jua daladala ni ya njia ipi kwa kuangalia tu abiria wanaoshuka au kupanda. Ukiona daladala abiria wengi wamevaa madela na baraghashia nyingi na wanaongea sana hiyo daladala ni ya kuelekea Temeke.
Ukiona wanaopanda basi wengi wamevaa jeans na vimini hata vibibi vikiwa na vimini na vikaptula, hiyo daladala ni ya kuelekea njia ya Mikocheni, Masaki na Mwenge.
Ukiona daladala wengi wanaopanda ni weupe weupe na wana meno kama yameoza oza ni daladala ya kwenda Kimara.
Ukiona daladala ina watu warefu wengi na wengine wengi unawaona ni weusi sana na wote wanaonekana kama 'full time' wako serious usoni hiyo daladala ni ya kuelekea Gongolamboto.
Ukiona daladala jingine waliopanda wengi wafupi kwa kimo na wana sura za tabasamu tabasamu hiyo ni daladala ya kuelekea Kigogo
vibegi mgongoni, vipochi/mikoba mkononi, visuruali vya kubana na viminiNasubiria kuhusu sisi tunaopanda daladala za SIMU2000 via C/Kikuu - MAKUMBUSHO.... Sijui tunatambulikaje?
Nenda Ilala boma pale kwa gavana atakuelekeza pa kukomenti.Na sisi tusiojua kuoga tunacoment wapi?
tabata sehemu gani nikajitwalie mmojaWarangi mmejaa tabata
😂😂😂Ukiwa Dar waweza jua daladala ni ya njia ipi kwa kuangalia tu abiria wanaoshuka au kupanda. Ukiona daladala abiria wengi wamevaa madela na baraghashia nyingi na wanaongea sana hiyo daladala ni ya kuelekea Temeke.
Ukiona wanaopanda basi wengi wamevaa jeans na vimini hata vibibi vikiwa na vimini na vikaptula, hiyo daladala ni ya kuelekea njia ya Mikocheni, Masaki na Mwenge.
Ukiona daladala wengi wanaopanda ni weupe weupe na wana meno kama yameoza oza ni daladala ya kwenda Kimara.
Ukiona daladala ina watu warefu wengi na wengine wengi unawaona ni weusi sana na wote wanaonekana kama 'full time' wako serious usoni hiyo daladala ni ya kuelekea Gongolamboto.
Ukiona daladala jingine waliopanda wengi wafupi kwa kimo na wana sura za tabasamu tabasamu hiyo ni daladala ya kuelekea Kigogo
Nasikia wakazi wengi wa kigogo ni wapogoro kutoka Moro maana hao ndio maana wengi ni mbegu fupi.Ukiwa Dar waweza jua daladala ni ya njia ipi kwa kuangalia tu abiria wanaoshuka au kupanda. Ukiona daladala abiria wengi wamevaa madela na baraghashia nyingi na wanaongea sana hiyo daladala ni ya kuelekea Temeke.
Ukiona wanaopanda basi wengi wamevaa jeans na vimini hata vibibi vikiwa na vimini na vikaptula, hiyo daladala ni ya kuelekea njia ya Mikocheni, Masaki na Mwenge.
Ukiona daladala wengi wanaopanda ni weupe weupe na wana meno kama yameoza oza ni daladala ya kwenda Kimara.
Ukiona daladala ina watu warefu wengi na wengine wengi unawaona ni weusi sana na wote wanaonekana kama 'full time' wako serious usoni hiyo daladala ni ya kuelekea Gongolamboto.
Ukiona daladala jingine waliopanda wengi wafupi kwa kimo na wana sura za tabasamu tabasamu hiyo ni daladala ya kuelekea Kigogo
No town like Dar in Tz. Kubisha kunaruhusiwa.Nilishàpachoka dar! nimesoma na kuishi huko..nuthn new!
Bila shaka na wewe ni mkazi wa eneo.Hapo Gomz kuna ukweli, hao wa kigogo natamani kujua ni kabila gani
Wewe unayo mangapi mama watoto ?madera 20 mbona machache!!
HaswaaBila shaka na wewe ni mkazi wa eneo.