Namna ya kujua baadhi ya daladala ni ya njia ipi kwa kuangalia abiria tu ukiwa Dar es Salaam

Ukiwa Dar waweza jua daladala ni ya njia ipi kwa kuangalia tu abiria wanaoshuka au kupanda. Ukiona daladala abiria wengi wamevaa madela na baraghashia nyingi na wanaongea sana hiyo daladala ni ya kuelekea Temeke.

Ukiona wanaopanda basi wengi wamevaa jeans na vimini hata vibibi vikiwa na vimini na vikaptula, hiyo daladala ni ya kuelekea njia ya Mikocheni, Masaki na Mwenge.

Ukiona daladala wengi wanaopanda ni weupe weupe na wana meno kama yameoza oza ni daladala ya kwenda Kimara.

Ukiona daladala ina watu warefu wengi na wengine wengi unawaona ni weusi sana na wote wanaonekana kama 'full time' wako serious usoni hiyo daladala ni ya kuelekea Gongolamboto.

Ukiona daladala jingine waliopanda wengi wafupi kwa kimo na wana sura za tabasamu tabasamu hiyo ni daladala ya kuelekea Kigogo
mkuu c huwa zinaandikwa kwa fac ya dereva ama...
 
Ukiwa Dar waweza jua daladala ni ya njia ipi kwa kuangalia tu abiria wanaoshuka au kupanda. Ukiona daladala abiria wengi wamevaa madela na baraghashia nyingi na wanaongea sana hiyo daladala ni ya kuelekea Temeke.

Ukiona wanaopanda basi wengi wamevaa jeans na vimini hata vibibi vikiwa na vimini na vikaptula, hiyo daladala ni ya kuelekea njia ya Mikocheni, Masaki na Mwenge.

Ukiona daladala wengi wanaopanda ni weupe weupe na wana meno kama yameoza oza ni daladala ya kwenda Kimara.

Ukiona daladala ina watu warefu wengi na wengine wengi unawaona ni weusi sana na wote wanaonekana kama 'full time' wako serious usoni hiyo daladala ni ya kuelekea Gongolamboto.

Ukiona daladala jingine waliopanda wengi wafupi kwa kimo na wana sura za tabasamu tabasamu hiyo ni daladala ya kuelekea Kigogo
Mbavu zangu jammani JF raha sana wakati mwingine.
 
Lakini hakuna daladala za kimara siku hiz.

Ni mbezi na kibamba
hata ukipanda mwendo Kasi waweza jua abiria wanaoelekea kimara .Ukiona weupe weupe wengi na wenye meno yaliyoza oza wanakimbilia mwendo Kasi jua linabeba watu wa kimara Hilo hata kama hukuona kibao.Kama unaelekea kimara wewe ingia haraka
 
Hauwezi ukapachoka dar ukafulahia mikoani labda kama upo nje ya Tanzania kabisa, kwa bongo hakuna kama Dar mane.
Dar Huwezi ichoka hasa Kama ni mpangaji uswahilini.Wapangaji wa miaka mingi uswahilini ambao hawana hobby ya kujenga nyumba zao wakiandika kitabu Cha vituko na vichekesho vya kupanga nyumba uswahilini dar kinaweza hicho kitabu kuwa best seller duniani.Uswahini dar Sio rahisi kumkuta mgonjwa wa pressure full kucheka.Watu uswahilini hawasomi magazeti .Magazeti ya uswahilini ni umbeya au jina la kisasa linaitwa ubuyu ambalo lilibuniwa KU replace jina la umbeya baada ya jina umbeya kuonekana limekaa kimbeya mno na linadhalilisha wambeya na kuwaumbua
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom