Namna ya kujilinda na wezi wanaovamia kama kundi/wanaoandamana kama mbwa mwitu

Mawematatu

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
468
602
Wizi ni kitu kibaya Sana, si jambo zuri na nisomapo masuala yanahusiana na uvamizi huu napata ganzi.

Kwa waliowahi kuvamiwa wakalazimishwa kutoa Mali zao na Fedha ama kitendewa vitendo vya ubakaji na ulawiti, wamama wajawazito kufanyiwa ushenzi waulawiti na wanaume kulawitiwa pia Wana experience mbaya ya maisha.

Haya si mambo mema na si vitu vya kuvinyamazia, ipo haja kubwa kujua visa hivi vipo na vinatokea maeneo mbali mbali.

Tusaidiane kujuzana mbinu za kufanya endapo utakuwa unaishi ukiwa na alerts ya matukio ya aina hizi. Inatokea wakati mwingine wananchi hatuna namba za Simu za vituo vya police. Ni hatari sana. Hizi contact zaweza saidia wakati wa majanga ya aina hiyo contact jeshi la polisi

Hili ni tukio la Chanika fungua.





Mtu mmoja amewezaje kiwadhibiti.
Sikia hii.
 
Nadhani kwa hali ilivyo sasa kiusalama ni vyema serikali ikalegeza masharti ya kumiliki silaha kwa ajili ya kujilinda........

Huduma za jeshi la polisi haziwiani na idadi ya wanaohitaji huduma kutokana na uchache wake.......na hata hivyo vichache vilivyopo utendaji kazi wao ni wenye mashaka na sio kwa wakati.......

Wananchi waji organize kwa umoja wao wajue namna ya kujilinda dhidi ya Hawa vibaka...... naamini kwenye wengi hapaharibiki jambo...........

Poleni sana watanzania Wenzetu waliopatwa na kadhia hiyo.......
 
Nadhani kwa hali ilivyo sasa kiusalama ni vyema serikali ikalegeza masharti ya kumiliki silaha kwa ajili ya kujilinda........

Huduma za jeshi la polisi haziwiani na idadi ya wanaohitaji huduma kutokana na uchache wake.......na hata hivyo vichache vilivyopo utendaji kazi wao ni wenye mashaka na sio kwa wakati.......

Wananchi waji organize kwa umoja wao wajue namna ya kujilinda dhidi ya Hawa vibaka...... naamini kwenye wengi hapaharibiki jambo...........

Poleni sana watanzania Wenzetu waliopatwa na kadhia hiyo.......
Ishu kubwa ni wananchi kujiorganize kimtaa waunde vikundi vya usalama
 
Hizo

Screenshot_2022-04-27-20-43-21-365_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-43-14-255_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-43-08-607_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-42-41-903_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-42-29-997_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-41-42-777_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-41-36-095_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-41-21-402_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-41-12-456_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-41-01-286_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-40-52-378_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-40-38-715_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-40-28-380_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-40-11-549_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-39-58-934_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-39-52-456_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-39-42-438_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-39-30-393_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-39-11-603_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-27-20-38-48-358_com.android.chrome.jpg
 
Bila ushirikiano hapo mtaani kwenu wanaume mpo 50 ila mtabakwa na vijana 17 mtaa mzima
Dawa ni moja akipiga tukio usiku nyie mchana mnaenda kumchomoa mmoja mmoja nyumban kwao na ikiwezekana wauwawe hadharani, wakiona wanakufa wao wenyewe watatawanyika kila mmoja akimbie kujificha.
 
Bila ushirikiano hapo mtaani kwenu wanaume mpo 50 ila mtabakwa na vijana 17 mtaa mzima
Dawa ni moja akipiga tukio usiku nyie mchana mnaenda kumchomoa mmoja mmoja nyumban kwao na ikiwezekana wauwawe hadharani, wakiona wanakufa wao wenyewe watatawanyika kila mmoja akimbie kujificha
Hii inafaa ui bold mkuu
 
Msimamo kwamba bora kufa kuliko kufanyiwa ushenzi na kuishi kwa tabu na mawazo maisha yako yote ndio kitu pekee kitakachokuokoa.
Na Self defense, mazoezi kuongeza nguvu za mwili na kuwa na roho ngumu zaidi ya wabaya wako ni nyongeza ya kuwezesha huo msimamo. hakuna kuwa mnyonge hakuna kufa kizembe mbele ya washenzi.

Mimi nalala na nondo na panga ndani kwangu kwa kulinda familia yangu, siku hao mbwa wakijiroga na kuingia ndani kwangu hata wawe 20 basi lazima nife na angalau mmoja au wawili.
Jeshi la polisi litakuja baadae kuchukua maiti na kufanya uchunguzi.
 
Nadhani kwa hali ilivyo sasa kiusalama ni vyema serikali ikalegeza masharti ya kumiliki silaha kwa ajili ya kujilinda........

Huduma za jeshi la polisi haziwiani na idadi ya wanaohitaji huduma kutokana na uchache wake.......na hata hivyo vichache vilivyopo utendaji kazi wao ni wenye mashaka na sio kwa wakati.......

Wananchi waji organize kwa umoja wao wajue namna ya kujilinda dhidi ya Hawa vibaka...... naamini kwenye wengi hapaharibiki jambo...........

Poleni sana watanzania Wenzetu waliopatwa na kadhia hiyo.......


Kulegeza masharti ya umiliki was silaha ni kutengeneza tatizo jipya kubwa zaidi.. Marekani ilijaribu hii, sasa hivi wanateseka na gun control.

Bado jeshi la polisi halijashindwa kudhibiti hivi vikundi vya uporaji, likifanya oparesheni maalum ya wiki moja tu na kuonesha mfano, vinabaki historia.
 
Back
Top Bottom