Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,882
- Thread starter
- #61
N
Ndiyo maana mara nyingi Mimi husoma sentence chache za juu, Kati Kati na mwisho kama bandiko linaita naanza mwanzo kulisoma kwa makini.
Hiyo hufanywa na wasomaji mahiri, huitwa Scanning.😀😀😀
Mwisho ni muhimu zaidi Kwani hutoa msimamo wa mwandishi na hitimisho lake