Namna ya kujihami na Panya Road au Makundi ya namna hiyo

2016 kitaani kwetu kulizuka huu upumbavu wa hivi vitoto tena bado vinanuka maziwa kabisa, vimejiunga kundi kama la watoto 30 hivi mchana kutwa ni kuvuta bangi halafu usiku vinaingia kitaani kufanya matukio.

Vilibahatika kupiga matukio kwenye nyumba kama 3 hivi, vikawacharanga mapanga wenye nyumba na kuchukua pesa, simu, tv na vitu vingine vidogo vidogo.

Wanaume tukakaa chini kujadili eti watu wanadai tupeane zamu ya kulinda usiku (Sungusungu)

Katika huo mjadala tulikuwepo watu kama wanne tukapinga kabisa suala la kupeana zamu ya kulinda, yaani vitoto vya darasa la saba kweli vituzuie wanaume tusilale usiku?

huo tuliona ni zaidi ya upumbavu, yaani mchana kutwa tunashinda kazini halafu inafika usiku tusipumzike kisa hivi vikinda vilivyokosa malezi.

Tuliitisha kikao na wananchi wote kitaani na kutoa onyo kwa wazazi wawakanye hao panya wao ili mbele ya safari tusije kulaumiana.

Katika kikao wananchi wakawa wanataja majina ya hao watoto wanaojihusisha na huo uhalifu, tukapata orodha ya majina kama 17 hivi ya watoto tunaowajua kabisa hapo mtaani kwetu na wazazi wengine kukiri kabisa kua watoto wao wamekua na mienendo ya hovyohovyo.

Siku ya pili baada ya kile kikao panya road wakatuma salamu kwa kumvamia kiongozi mmoja wa dini hapo kitaani kwetu wakamcharanga kidogo mapanga halafu wakaiba walivyoiba na kutokomea.

Asubuhi kumekucha baada ya taarifa kuenea tukaona huu ndio wakati muafaka sasa wa kuanza kuwawajibisha hawa watoto wanaoanza kuota mapembe,
pitia katika yale majina tukaanza kuingia nyumba kwa nyumba tukabahatika kuwadaka madogo wawili, tukawafinya haswa haswa wakakiri wenyewe walihusika kwenye tukio la jana na wakataja majina ya wenzao, baada ya kumaliza kutaja majina wananchi wenye hasira kali wakaanza kutembezea mapanga na matofali kisha wakamalizia na kidumu cha petrol.

Ukaanza msako wa majina yaliyobakia jioni akamdakwa dogo mwingine, nae akafanyiwa vilevile kama walivyofinyiwa wale wenzake wawili.
Wazazi waliowapenda watoto wao baada ya kuona wananchi tumeamua kua serious faster wakawakimbiza mikoani ili kukwepa hukumu ya wanachi wenye hasira kali.

Zile sura kwenye ile orodha yetu tulikaa zaidi ya mwaka hatukuziona tena mtaani, na hua ndio ukawa mwisho wa upumbavu wa aina yoyote hapa mtaani kwetu.

Kikubwa hawa madogo ni kuwachekea chekea ndio wanajifanya manunda ila wananchi wenyewe wakiamua kuwa serious huu upumbavu hauwezi kuwepo kwenye jamii yoyote.
Wewe Jombaa umenikosha. Hii inaweza kuwa ndio comment iliyoni-impress toka nimejiunga JF.

Mambo uliyobonga hapo juu ndiyo yanayopaswa kufanywa na wanaume ktk jamii, babu zetu ndivyo walivyokuwa wakifanya miaka ya nyuma.

Simba akiingia kijiji kwenu, wanaume mnakaa chini na kupeana majukumu kufikia jioni kabla jua halijazama kichwa chake kiwe hapa.
 
Mtu amejenga nyumba ajabu ndani tena chumbani hana panga wala mkuki wala jambia au rungu au kwenye gari unakosaje hata panga kwenye buti au unatembea unakosaje kisu kidogo au cha kati cha kiunoni au mfukoni,
Kwenye gari panga halitakiwi kukaa kwenye buti jamaa yangu, mimi panga langu tena jambia (1m long) lipo chini ya siti yangu yani nikishuka nashuka nalo chap. Na kwenye ndroo ya chini ya siti yangu pia nina silaha nyingine sitembei kizembe aisee.
 
Nakumbuka nikiwa Yombo vituka miaka ya 2007 kila tukipita chochoro flan ilikuwa lazima tuwashe fegi huku vifua wazi mida ya usiku.

😀😀😃😀Mbele kidogo utasikia OYA JOMBAA VIPI Niachie ukucha.


Jua lugha yao pia Kama unaishi uswahilin.

Sio UNASIKIA "KUSH" mwingine "MACHOZI" wewe unaendelea tu kuchat na SIMU😅🤣
 
Nakumbuka nikiwa Yombo vituka miaka ya 2007 kila tukipita chochoro flan ilikuwa lazima tuwashe fegi huku vifua wazi mida ya usiku.

😀😀😃😀Mbele kidogo utasikia OYA JOMBAA VIPI Niachie ukucha.


Jua lugha yao pia Kama unaishi uswahilin.

Sio UNASIKIA "KUSH" mwingine "MACHOZI" wewe unaendelea tu kuchat na SIMU😅🤣

😀😀😀
 
Mtu amejenga nyumba ajabu ndani tena chumbani hana panga wala mkuki wala jambia au rungu au kwenye gari unakosaje hata panga kwenye buti au unatembea unakosaje kisu kidogo au cha kati cha kiunoni au mfukoni,
Eish 😂
 
Panyaroad wanadhubitiwa na upinde na mishale yenye sumu, wakijua mtaa una mishale yenye sumu awauchezei mtaa huo. Tena inatakiwa muwatangazie kabisa, wekeni na mabango kabisa" ukiingia utoki"
 
Dawa ya panya

Screenshot_20220503_082532.jpg
 
2016 kitaani kwetu kulizuka huu upumbavu wa hivi vitoto tena bado vinanuka maziwa kabisa, vimejiunga kundi kama la watoto 30 hivi mchana kutwa ni kuvuta bangi halafu usiku vinaingia kitaani kufanya matukio.

Vilibahatika kupiga matukio kwenye nyumba kama 3 hivi, vikawacharanga mapanga wenye nyumba na kuchukua pesa, simu, tv na vitu vingine vidogo vidogo.

Wanaume tukakaa chini kujadili eti watu wanadai tupeane zamu ya kulinda usiku (Sungusungu)

Katika huo mjadala tulikuwepo watu kama wanne tukapinga kabisa suala la kupeana zamu ya kulinda, yaani vitoto vya darasa la saba kweli vituzuie wanaume tusilale usiku?

huo tuliona ni zaidi ya upumbavu, yaani mchana kutwa tunashinda kazini halafu inafika usiku tusipumzike kisa hivi vikinda vilivyokosa malezi.

Tuliitisha kikao na wananchi wote kitaani na kutoa onyo kwa wazazi wawakanye hao panya wao ili mbele ya safari tusije kulaumiana.

Katika kikao wananchi wakawa wanataja majina ya hao watoto wanaojihusisha na huo uhalifu, tukapata orodha ya majina kama 17 hivi ya watoto tunaowajua kabisa hapo mtaani kwetu na wazazi wengine kukiri kabisa kua watoto wao wamekua na mienendo ya hovyohovyo.

Siku ya pili baada ya kile kikao panya road wakatuma salamu kwa kumvamia kiongozi mmoja wa dini hapo kitaani kwetu wakamcharanga kidogo mapanga halafu wakaiba walivyoiba na kutokomea.

Asubuhi kumekucha baada ya taarifa kuenea tukaona huu ndio wakati muafaka sasa wa kuanza kuwawajibisha hawa watoto wanaoanza kuota mapembe,
pitia katika yale majina tukaanza kuingia nyumba kwa nyumba tukabahatika kuwadaka madogo wawili, tukawafinya haswa haswa wakakiri wenyewe walihusika kwenye tukio la jana na wakataja majina ya wenzao, baada ya kumaliza kutaja majina wananchi wenye hasira kali wakaanza kutembezea mapanga na matofali kisha wakamalizia na kidumu cha petrol.

Ukaanza msako wa majina yaliyobakia jioni akamdakwa dogo mwingine, nae akafanyiwa vilevile kama walivyofinyiwa wale wenzake wawili.
Wazazi waliowapenda watoto wao baada ya kuona wananchi tumeamua kua serious faster wakawakimbiza mikoani ili kukwepa hukumu ya wanachi wenye hasira kali.

Zile sura kwenye ile orodha yetu tulikaa zaidi ya mwaka hatukuziona tena mtaani, na hua ndio ukawa mwisho wa upumbavu wa aina yoyote hapa mtaani kwetu.

Kikubwa hawa madogo ni kuwachekea chekea ndio wanajifanya manunda ila wananchi wenyewe wakiamua kuwa serious huu upumbavu hauwezi kuwepo kwenye jamii yoyote.
Umeeleza vema! Kanuni ya kuwakabili wahuni na wahalifu ni mpaka wenye nguvu either kiuchumi au kijamii waguswe. Mlichukua hatua baada ya kiongozi wa dini kufanyiziwa!!!!? Hata leo kama mke au binti wa kiongozi serikalini atabakwa na panya road ndiyo itakuwa mwisho wao, vinginevyo usitegemee msaada wa hao wanao lipwa kama polisi.
 
Umeeleza vema! Kanuni ya kuwakabili wahuni na wahalifu ni mpaka wenye nguvu either kiuchumi au kijamii waguswe. Mlichukua hatua baada ya kiongozi wa dini kufanyiziwa!!!!? Hata leo kama mke au binti wa kiongozi serikalini atabakwa na panya road ndiyo itakuwa mwisho wao, vinginevyo usitegemee msaada wa hao wanao lipwa kama polisi.
Panyaroad inatakiwa wakabe na kubaka watoto wa viongozi au RPC wakifanya hivyo kufika jioni hakutakuwa na panya yeyeto anasumbua tena mtaani.Kumaliza tatizo kwenye Jamii ni hadi viongozi waguswe.
 
NAMNA YA KUJIHAMI NA PANYA ROAD, AU MAKUNDI YA NAMNA HIYO!

Anaandika, Robert Heriel

Mara ya Kwanza Panya Road niliwaona mwaka 2016, Maeneo ya Tandale, kipindi hicho nilikuwa nasoma chuo, DSM. Kilichokuwa kinanipelekea Tandale licha ya kuwa nilikuwa nikiishi Sinza Lion; ni kwenda kushangaa maisha ya uswahilini ambayo sikuwahi kuyaona, hivyo kila jumamosi na jumapili nilikuwa nikienda huko Tandale Kwa rafiki yangu niliyesoma naye O'Level huko Makanya, Same, Kilimanjaro. Huko niliona mambo ya kustaajabisha, kuchukiza na pia kufurahisha. Huko ndiko niliona Vigodoro na vigoma, hivi vilikuwa vinanivutia mno ukizingatia nilikuwa kijana Mdogo damu inachemka.
Nilikuwa napenda Sana kuona wanawake wakicheza huku wakibinua makalio Yao juu Kwa staili ya chura, Kama hiyo haitoshi Baadhi ya Maeneo Kama uwanja wa laana wengine walifikia hatua ya kuvua nguo na kubaki uchi au navichupi tuu. Hiyo kwangu ungeiita starehe ya kufurahisha macho.

Kama nisingeyaona hayo Kwa umri ule ningali kijana Mdogo sitegemei Kama ningeyaona wakati mwingine wowote ule katika ukuaji wangu nikayafurahia, ulikuwa wakati sahihi Kabisa.

Mbali na vigodoro niliwahi ona matukio mawili ya Panya road;


Hili nilitaka kujionea Kwa macho yangu hao Panya road walivyo. Nilikuwa nikimsumbua Mara kadhaa Rafiki yangu anipeleke mahali ambapo nitawaona panya road. Basi Rafiki yangu akaniambia ipo siku atanionyesha.
Siku hiyo ikafika baada ya usumbufu WA muda mrefu.
Ilikuwa jioni nyakati za jua kupunga, Rafiki yangu akaniambia Leo utawaona Panya road, nilijawa na shauku ya kujua wakoje.
Akaniambia, Leo kuna mechi Kati ya Tandale na Mwananyamala, hivyo Leo lazima ujionee panya Road.
Tukiwa njiani nikitaka tufike huko uwanjani, Rafiki yangu akasema ilete simu yako panga road sekunde chache zijazo watakuwa wametia Timu. Kabla hajamaliza nilishuhudia kundi kubwa la Vijana likitokea mbele yetu umbali wa urefu WA uwanja wa mpira. Walikuwa wametoka kwenye mpira lakini walikuwa wakipiga kelele za kihuni; Oyo! Oyo! oyo! Huku wakiimba nyimbo za kihuni nisizokuwa nimewahi kuzisikia.
Wakati wakifanya hivyo walikuwa wakivamia Upande wa kushoto na kulia wa barabara na kupora na kujeruhi watu hovyo hovyo!

Watu wa mtaa ule niliwaona wakikimbia hovyohovyo wakiingia ndani huku baadhi ya wanawake na watoto wakipiga kelele.

Taikon niliogopa wale nisiwadanganye, niliogopa Kwa sababu mbili; Mosi, walikuwa wakipiga kelele na kutengenez hofu. Si unajua kelele zinaleta utisho. Mbili, matukio waliyokuwa wanafanya Kama kuchoma watu visu na bisibisi, kuwapoga watu hovyo huku wakipora vitu vya wafanyabiashara waliokuwa wanauza pembezoni mwa njia Ile inayotokea Sokoni.

Jambo moja nililo-note ni kuwa Panya road hawakuvamia wala kupita karibu na Wakaanga chips, nafikiri waliogopa Kumwagiwa Mafuta ya Moto, pia hawakuwa wanapita karibu na Wauza vipande vya miwa, nafikiri walihofia wauza miwa na vipande vyake kuwa na silaha Kama visu na mapanga,


Mimi sijanyoa kiduku, na mtu yeyote akiniona hata Kama nipo Rafu atajua tuu Mimi sio mhuni. Lakini sio Kwa Rafiki yangu, yeye alikaribiana nao kufanana, alikuwa na uduku kichwani, nguo zilifanana nao, pamoja na ngozi isiyo na rutuba.

Rafiki yangu akaniambia sogea pembeni kabisa, tukasogea pembeni lakini akasema usisimame tutembee tupishane nao, basi walipotukaribia Kama hatua kumi hivi, Rafiki yangu akawapokea Kwa kusema Oyo!Oyo! oyo! Huku na Mimi nikiwa nadakia kuonyesha tupo pamoja. Nilimuona rafiki yangu akiwa kaupenyeza Mkono wake kwenye kiuno mahali ambapo anawekaga Bisibisi ndefu , ili kujihami Kama lolote lingetokea. Lakini wale pants road walitupita tukawa katikati Yao Kwa sekunde kadhaa kutokana na wingi wao. Baadaye walikuwa wametupita huku Mimi wakiniacha Hoi Kwa hofu.


Nafikiri lilikuwa Tamasha la shika Ndinga, lilifanyika pale Uwanja wa TP Sinza, Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Paul Makonda.
Kwa vile tamasha lile lilikuwa la bure basi watu walifurika mno, wahuni wakiwa wengi zaidi.
Wahuni kutoka Tandale, Mwananyamala, Manzese, Magomeni, na wambali zaidi walitokea Mbagala na Temeke (hawa walikuwa wachache)
Nilienda kwenye tamasha hili nikiwa na Yule Yule Rafikiangu, unajua wengine tunapenda ku- socialize ukiniita sociologist hautakuwa umekosea.
Kujichanganya kwenye jamii inakupa kitu inaitwa Interpersonal skills yaani Ujuzi wa kuchangamana na kujamiiana na watu wengine. Hii itakufanya uhitimi kozi ya kitaaolojia. Elimu ya mtaani.
Hicho ndicho ambacho nilikuwa nakitafuta.

Hakika Rafikiangu licha ya kuwa nilikuwa nimemzidi kielimu Kwa mbali mno, lakini kwenye elimu kitaaolojia aliniacha mbali Sana.
Tulipokuwa kwenye lile Tamasha tukimsubiri Mgeni Rasmi Paul Makonda ambaye wakati huo alikuwa Mkuu wa Mkoa.
Rafiki yangu alikuwa akiniambia tuhame hapa twende pale, kisha tukifika pale, akawa ananipa sababu za kuhama eneo la awali, akasema; unawaona wale washikaji(nikawatazama), wale ni wahuni, panya roads, kukaa karibu nao lolote linaweza kutokea, wanaweza kukuibia, au Polisi wakija wakibebwa na wewe unaweza kujikuta umesombwa nao.

Akaendelea; unaona pale, wanataka kumuibia Yule mshikaji aliye na demu wake. Hapo nikataka nione wataibaje, dakika tano hazikuzidi wakamuibia kutokana na msongamano, Yule kijana baada ya kugundua ameibiwa ndani ya Ileile sekunde tukio la wizi likifanyika akageuka lakini nikamuona Yule mwizi akiondoka huku wezi wenzake wakijaribu kumsonga Yule kijana wakijifanya wanamuuliza umeibiwa, umeibiwa nini, simu gani, huku wakijitahidi kumsaidia kumbe wakimzuia Yule kijana na kusababisha Yule mwizi azidi kuepa na kutokomea.

Tukio hili likanipa ujumbe kuwa, ukiibiwa kwenye matukio ya namna hii, 90% watakaokuzonga na kujifanya wanakupa msaada ni sehemu ya wezi.

Ukiwa kwenye mikusanyiko ya watu hasa watu usiowajua ni vizuri ukasoma Maumbile, saikolojia ya mwili, Mavazi, nyendo za wanaokuzunguka, iwe ni kwenye matamasha, iwe mi kwenye fukwe za starehe. Usikubali kuzungukwa na watu usiowajua, usikubali kuzungumza na watu usiowajua ikiwa sio wewe uliyeyaanzisha mazungumzo, jitahidi unapoongea na mtu umtazame machoni, asikubabaisha Kwa kukuzuga na vitendo vyake ukapoteza umakini WA kuangalia macho yake.

Macho ndio yamebeba Kwa kiasi kikubwa saikolojia ya mwili WA binadamu.

Tamasha lile walikuwepo Askari Kanzu, lakini walikuwepo wachache, vurugu zilipotokea Polisi na magari Yao walifika, basi ikawa mshike mkamate, wahuni walikuwa wakikimbia huku Raia wema nao wenye hofu nao wakikimbia Hali iliyofanya Polisi kukamata yeyote aliyekaribu. Walikamatwa baadhi ya panga road huku mmoja akinusurika kufa Kwa kujirusha kwenye Gari la polisi na kuangukia chini ya Daraja pale Uwanja wa TP.

Jambo moja ninalotaka kulisema, kwenye matukio Kama haya ukiona yametokea, Kama wewe sio Mhuni usikimbie kimbie hovyo, ikiwezekana tafuta Nafasi ujifiche, iwe ni kwenye mti au Jiwe au ukuta n.k. kukimbia kutafanya ukamatwe na polisi kwani watadhani nawe ni mmoja wao. Hivi ndivyo ilivyotokea.

Lakini hakikisha, waliokuja kukamata ni polisi, ndio ufanye hivyo, usije ukasimama kumbe tukio hilo linaratibiwa na wahuni au Magaidi kama Kule Garisa KENYA.

Baada ya kuandika maelezo mengi ambayo wengi hamyapendi, sasa hivi ndivyo jinsi mtakavyo jihami na panga road au makundi ya namna hiyo;

1. Elewa maumbile na saikolojia yao.
Panga road wengi wao ni dhoofu ilhali, hawana Afya kutokana na lishe duni, hivyo hawana nguvu, hivyo hawatakuruhusu upigane nao kwani wanajijua hawana nguvu pia wengi wao umri wao ni mdogo hivyo watatumia silaha Kama visit, bisibisi, viwembe au marungu.

Saikolojia yao imetawaliwa na vilevi na madawa, hivyo ukikutana nao usithubutu kujieleza, amua kupigana na uwe umevurugwa zaidi Yao, au kimbia( utakimbia Kama upo barabarani lakini kama ni nyumbani kwako usikimbie).

2. Usiwekwe mtu Kati unapopishana na watu au kundi la watu.
Unapotembea barabarani au kichochoroni, ikiwa mbele wanakuja watu wawili au kundi la watu, usikubali upite katikati Yao, jitahidi ukae pembeni kabisa hasa upande ambao ni rahisi kujihami aidha Kwa kukimbia au aliyeupande huo ni mdhaifu kuliko kuliko wewe.
Usiende upande wa mtu unayemuona ananguvu kukushinda, jitahidi usome nyendo zao wakati mnapishana hasa macho na mikono Yao.

Au ukae upande ambao ni rahisi kukimbia, Kama ni barabarani pasiwe na maporomoko, daraja au vichaka vyenye miba. Kaa upande ambao ukishindwa kujihami utakimbia.

3. Mwanaume yeyote usikose silaha ndogo ya kujitetea.
Silaha Kama kiwembe, Bisibisi, Kalamu, na Kama upo ndani ya Gari basi silaha Kama Kisu, jambia, Rungu, au Bastola.
Wanawake wao hutembea na Pochi na kuweka vitu vyao, Kama vipodozi, vioo, kanga n.k.
Hivyo na Kwa mwanaume lazima utembee na silaha yoyote ya kujihami lolote linapotokea.
Kama huna Ujuzi WA mapigano ya kujilinda.

Mara nyingi panya road hawapambani na watu wenye silaha Kama wao, watu waliojiandaa Panya road hawapotezagi muda wao, labda wawe wengi nawe uwe pekeako.

Matukio ya Panya road yaliwahi tokea Magomeni watu walikimbia wakaacha magari Yao. Ila Kama kila mwenye Gari angekuwa na silaha yoyote ya kujilinda basi wangeweza kupambana nao.

4. Panya road wengi wamejiandaa kufa hivyo pigana ukijua unayepigana naye Hana chakupoteza. Usiogope Jela.
Unapopigana na mtu ambaye haogopi kufa basi itakubidi wewe usiogope Jela, kwani ukiogopa jela hautapambana vizuri na utaiweka roho yako rehani na kujikuta wewe ndiye unakufa alafu mwenzako anaenda Jela.
Piga kadiri ya mtu anayetaka kuua, mengine yatajulikana mbele Kwa mbele.

5. Hakikisha hapo Mtaani kwenu wanakujua kuwa wewe unaroho mbaya Kama Shetani.
Jitahidi mtaani wamama na vijana wakujue kuwa wewe sio mtu wa mchezo ikiwa unakaa mitaa ya uswahilini.
Ni lazima ufanye tukio moja kubwa ambalo litakufanya ujulikane Mtaa mzima na serikali za mitaa.
Kama ni kijana amejaribu kukuibia ukamuona, mtafute umpige kipigo heavy, umvue nguo uanze kumburuta akiwa uchi hakikisha Mkono au mguu umeuvunja au kuukata iwe watu wakishuhudia, usiogope Kwenda polisi au mahabusu.

Saikolojia ya wahuni inawaogopa zaidi watu wasioogope Polisi au Jela.

Ndio maana Wahuni kamwe hawawezi kuwasumbua Wenye pesa, Wachawi, Wanajeshi, Kwa sababu watu hao maamuzi Yao wanakupiga kipigo heavy alafu mengine ndio yafuate.
Watu hao hawakushtaki Ila wewe ndio utaenda kushtaki mwenyewe au kujishtaki.

6. Vaa nguo na viatu Kama Mwanaume ambavyo muda wowote unaweza kukabiliana na hatari yoyote.
Sio unavaa nguo ambayo huwezi kurusha hata teke,
Au unavaa viatu ambavyo havikazi vizuri ukikimbizwa vinakusumbua.

7. Jifunze Self Defense.
Vibaka wengi ukienda kwenye viwanja vya mpira wanajifunza kupigana iwe ni masumbwi, karate n.k.
Mwanaume lazima ujue ngumi walau Basic.
Lazime ujue wakati WA kupigana Maeneo nyeti mfano;
1. Eneo ambalo nikimpiga mtu anapoteza Balansi na inakuwa rahisi kumshambulia, mathalani, Kwenye Bega iwe la kushoto au kulia, kwenye kidevu n.k.
Sio umpige au umsukume mtu kifuani bado mwili wake utakuwa na mhimili.

2. Eneo ambalo ukimpiga mtu unamlegeza, mfano chini ya paja nyuma ya Goti.

3. Eneo ambalo nikimpiga mtu anaumia na anaweza kuacha kupambana, mfano, Kwenye koo(hapa utajua), Kwenye macho(ulenge jicho kabisa), chembe ya Moyo, Korodani, kwenye mbavu changa n.k.

Sio unapigana tuu Kama mjinga usiyejua pakupiga, unashindwa hata na wanyama jamii ya Paka au nyoka.

8. Kama hujui mapambano, Epuka kuishi Maeneo hatari au kupita njia hatari zenye wakora.

9. Fanya mazoezi ya Pumzi na Yoga.
Hii itakufanya uwe na uwezo wa kupambana walau Lisaa limoja.

Hiyo ni kwa mtu binafsi. Kama ni kwenye jamii undeni umoja wa kina Baba WA kudhibiti uhalifu Kwa kushirikiana na serikali.

Taikon nimemaliza. Hongera Kama umefika mpaka hapa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Ukonga, DSM
duh nashangaa sana itakuwa kuna mtu nyuma.
 
Ushauri wangu kama kijana nliyekulia Uswahilini. Kwanza haikusaidii kitu kujenga mahusiano na hawa vijana wa panya road itafika siku watakukaba tu muhuni ni muhuni na usimuamini hata kidogo atakutumia marafiki zake kukutendea uovu.

Pili unapokuwa kwenye mazingira ya kukabwa una option mbili tu kama ni kupigana pigana kweli na uwe faster kuwa attack kabla yao muda wanakuja macho yako yawe kwao ukiona dalili tu za kukabwa react haraka sana piga ngumi ya shingo mtu aende chini au kama una disibisi peleka kweli usitishie watakuumiza hawana cha kupoteza uiogope kuua ni self defence hakikisha unatoa fundisho huwa wanatabia ya kurudisha feedback za watu wa bad.

Mbili kama huna roho mbaya roho ya kikatili basi usireact we cooperate vizuri waache wachukue wanachotaka wakuachie roho yako muhimu kutotembea na vitu vya thamani mazingira hatarishi. Kama wapo mtaani kwenu basi hakikisha una vijisent vya kureta pila na kuhonga police wepewe kipondo itakufanya uwe exceptional.
 
Ushauri wangu kama kijana nliyekulia Uswahilini. Kwanza haikusaidii kitu kujenga mahusiano na hawa vijana wa panya road itafika siku watakukaba tu muhuni ni muhuni na usimuamini hata kidogo atakutumia marafiki zake kukutendea uovu.

Pili unapokuwa kwenye mazingira ya kukabwa una option mbili tu kama ni kupigana pigana kweli na uwe faster kuwa attack kabla yao muda wanakuja macho yako yawe kwao ukiona dalili tu za kukabwa react haraka sana piga ngumi ya shingo mtu aende chini au kama una disibisi peleka kweli usitishie watakuumiza hawana cha kupoteza uiogope kuua ni self defence hakikisha unatoa fundisho huwa wanatabia ya kurudisha feedback za watu wa bad.

Mbili kama huna roho mbaya roho ya kikatili basi usireact we cooperate vizuri waache wachukue wanachotaka wakuachie roho yako muhimu kutotembea na vitu vya thamani mazingira hatarishi. Kama wapo mtaani kwenu basi hakikisha una vijisent vya kureta pila na kuhonga police wepewe kipondo itakufanya uwe exceptional.

Kwa ambao hawapendi Makala ndefu wasome hapa, short and clear
 
NAMNA YA KUJIHAMI NA PANYA ROAD, AU MAKUNDI YA NAMNA HIYO!

Anaandika, Robert Heriel

Mara ya Kwanza Panya Road niliwaona mwaka 2016, Maeneo ya Tandale, kipindi hicho nilikuwa nasoma chuo, DSM. Kilichokuwa kinanipelekea Tandale licha ya kuwa nilikuwa nikiishi Sinza Lion; ni kwenda kushangaa maisha ya uswahilini ambayo sikuwahi kuyaona, hivyo kila jumamosi na jumapili nilikuwa nikienda huko Tandale Kwa rafiki yangu niliyesoma naye O'Level huko Makanya, Same, Kilimanjaro. Huko niliona mambo ya kustaajabisha, kuchukiza na pia kufurahisha. Huko ndiko niliona Vigodoro na vigoma, hivi vilikuwa vinanivutia mno ukizingatia nilikuwa kijana Mdogo damu inachemka.
Nilikuwa napenda Sana kuona wanawake wakicheza huku wakibinua makalio Yao juu Kwa staili ya chura, Kama hiyo haitoshi Baadhi ya Maeneo Kama uwanja wa laana wengine walifikia hatua ya kuvua nguo na kubaki uchi au navichupi tuu. Hiyo kwangu ungeiita starehe ya kufurahisha macho.

Kama nisingeyaona hayo Kwa umri ule ningali kijana Mdogo sitegemei Kama ningeyaona wakati mwingine wowote ule katika ukuaji wangu nikayafurahia, ulikuwa wakati sahihi Kabisa.

Mbali na vigodoro niliwahi ona matukio mawili ya Panya road;


Hili nilitaka kujionea Kwa macho yangu hao Panya road walivyo. Nilikuwa nikimsumbua Mara kadhaa Rafiki yangu anipeleke mahali ambapo nitawaona panya road. Basi Rafiki yangu akaniambia ipo siku atanionyesha.
Siku hiyo ikafika baada ya usumbufu WA muda mrefu.
Ilikuwa jioni nyakati za jua kupunga, Rafiki yangu akaniambia Leo utawaona Panya road, nilijawa na shauku ya kujua wakoje.
Akaniambia, Leo kuna mechi Kati ya Tandale na Mwananyamala, hivyo Leo lazima ujionee panya Road.
Tukiwa njiani nikitaka tufike huko uwanjani, Rafiki yangu akasema ilete simu yako panga road sekunde chache zijazo watakuwa wametia Timu. Kabla hajamaliza nilishuhudia kundi kubwa la Vijana likitokea mbele yetu umbali wa urefu WA uwanja wa mpira. Walikuwa wametoka kwenye mpira lakini walikuwa wakipiga kelele za kihuni; Oyo! Oyo! oyo! Huku wakiimba nyimbo za kihuni nisizokuwa nimewahi kuzisikia.
Wakati wakifanya hivyo walikuwa wakivamia Upande wa kushoto na kulia wa barabara na kupora na kujeruhi watu hovyo hovyo!

Watu wa mtaa ule niliwaona wakikimbia hovyohovyo wakiingia ndani huku baadhi ya wanawake na watoto wakipiga kelele.

Taikon niliogopa wale nisiwadanganye, niliogopa Kwa sababu mbili; Mosi, walikuwa wakipiga kelele na kutengenez hofu. Si unajua kelele zinaleta utisho. Mbili, matukio waliyokuwa wanafanya Kama kuchoma watu visu na bisibisi, kuwapoga watu hovyo huku wakipora vitu vya wafanyabiashara waliokuwa wanauza pembezoni mwa njia Ile inayotokea Sokoni.

Jambo moja nililo-note ni kuwa Panya road hawakuvamia wala kupita karibu na Wakaanga chips, nafikiri waliogopa Kumwagiwa Mafuta ya Moto, pia hawakuwa wanapita karibu na Wauza vipande vya miwa, nafikiri walihofia wauza miwa na vipande vyake kuwa na silaha Kama visu na mapanga,


Mimi sijanyoa kiduku, na mtu yeyote akiniona hata Kama nipo Rafu atajua tuu Mimi sio mhuni. Lakini sio Kwa Rafiki yangu, yeye alikaribiana nao kufanana, alikuwa na uduku kichwani, nguo zilifanana nao, pamoja na ngozi isiyo na rutuba.

Rafiki yangu akaniambia sogea pembeni kabisa, tukasogea pembeni lakini akasema usisimame tutembee tupishane nao, basi walipotukaribia Kama hatua kumi hivi, Rafiki yangu akawapokea Kwa kusema Oyo!Oyo! oyo! Huku na Mimi nikiwa nadakia kuonyesha tupo pamoja. Nilimuona rafiki yangu akiwa kaupenyeza Mkono wake kwenye kiuno mahali ambapo anawekaga Bisibisi ndefu , ili kujihami Kama lolote lingetokea. Lakini wale pants road walitupita tukawa katikati Yao Kwa sekunde kadhaa kutokana na wingi wao. Baadaye walikuwa wametupita huku Mimi wakiniacha Hoi Kwa hofu.


Nafikiri lilikuwa Tamasha la shika Ndinga, lilifanyika pale Uwanja wa TP Sinza, Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Paul Makonda.
Kwa vile tamasha lile lilikuwa la bure basi watu walifurika mno, wahuni wakiwa wengi zaidi.
Wahuni kutoka Tandale, Mwananyamala, Manzese, Magomeni, na wambali zaidi walitokea Mbagala na Temeke (hawa walikuwa wachache)
Nilienda kwenye tamasha hili nikiwa na Yule Yule Rafikiangu, unajua wengine tunapenda ku- socialize ukiniita sociologist hautakuwa umekosea.
Kujichanganya kwenye jamii inakupa kitu inaitwa Interpersonal skills yaani Ujuzi wa kuchangamana na kujamiiana na watu wengine. Hii itakufanya uhitimi kozi ya kitaaolojia. Elimu ya mtaani.
Hicho ndicho ambacho nilikuwa nakitafuta.

Hakika Rafikiangu licha ya kuwa nilikuwa nimemzidi kielimu Kwa mbali mno, lakini kwenye elimu kitaaolojia aliniacha mbali Sana.
Tulipokuwa kwenye lile Tamasha tukimsubiri Mgeni Rasmi Paul Makonda ambaye wakati huo alikuwa Mkuu wa Mkoa.
Rafiki yangu alikuwa akiniambia tuhame hapa twende pale, kisha tukifika pale, akawa ananipa sababu za kuhama eneo la awali, akasema; unawaona wale washikaji(nikawatazama), wale ni wahuni, panya roads, kukaa karibu nao lolote linaweza kutokea, wanaweza kukuibia, au Polisi wakija wakibebwa na wewe unaweza kujikuta umesombwa nao.

Akaendelea; unaona pale, wanataka kumuibia Yule mshikaji aliye na demu wake. Hapo nikataka nione wataibaje, dakika tano hazikuzidi wakamuibia kutokana na msongamano, Yule kijana baada ya kugundua ameibiwa ndani ya Ileile sekunde tukio la wizi likifanyika akageuka lakini nikamuona Yule mwizi akiondoka huku wezi wenzake wakijaribu kumsonga Yule kijana wakijifanya wanamuuliza umeibiwa, umeibiwa nini, simu gani, huku wakijitahidi kumsaidia kumbe wakimzuia Yule kijana na kusababisha Yule mwizi azidi kuepa na kutokomea.

Tukio hili likanipa ujumbe kuwa, ukiibiwa kwenye matukio ya namna hii, 90% watakaokuzonga na kujifanya wanakupa msaada ni sehemu ya wezi.

Ukiwa kwenye mikusanyiko ya watu hasa watu usiowajua ni vizuri ukasoma Maumbile, saikolojia ya mwili, Mavazi, nyendo za wanaokuzunguka, iwe ni kwenye matamasha, iwe mi kwenye fukwe za starehe. Usikubali kuzungukwa na watu usiowajua, usikubali kuzungumza na watu usiowajua ikiwa sio wewe uliyeyaanzisha mazungumzo, jitahidi unapoongea na mtu umtazame machoni, asikubabaisha Kwa kukuzuga na vitendo vyake ukapoteza umakini WA kuangalia macho yake.

Macho ndio yamebeba Kwa kiasi kikubwa saikolojia ya mwili WA binadamu.

Tamasha lile walikuwepo Askari Kanzu, lakini walikuwepo wachache, vurugu zilipotokea Polisi na magari Yao walifika, basi ikawa mshike mkamate, wahuni walikuwa wakikimbia huku Raia wema nao wenye hofu nao wakikimbia Hali iliyofanya Polisi kukamata yeyote aliyekaribu. Walikamatwa baadhi ya panga road huku mmoja akinusurika kufa Kwa kujirusha kwenye Gari la polisi na kuangukia chini ya Daraja pale Uwanja wa TP.

Jambo moja ninalotaka kulisema, kwenye matukio Kama haya ukiona yametokea, Kama wewe sio Mhuni usikimbie kimbie hovyo, ikiwezekana tafuta Nafasi ujifiche, iwe ni kwenye mti au Jiwe au ukuta n.k. kukimbia kutafanya ukamatwe na polisi kwani watadhani nawe ni mmoja wao. Hivi ndivyo ilivyotokea.

Lakini hakikisha, waliokuja kukamata ni polisi, ndio ufanye hivyo, usije ukasimama kumbe tukio hilo linaratibiwa na wahuni au Magaidi kama Kule Garisa KENYA.

Baada ya kuandika maelezo mengi ambayo wengi hamyapendi, sasa hivi ndivyo jinsi mtakavyo jihami na panga road au makundi ya namna hiyo;

1. Elewa maumbile na saikolojia yao.
Panga road wengi wao ni dhoofu ilhali, hawana Afya kutokana na lishe duni, hivyo hawana nguvu, hivyo hawatakuruhusu upigane nao kwani wanajijua hawana nguvu pia wengi wao umri wao ni mdogo hivyo watatumia silaha Kama visit, bisibisi, viwembe au marungu.

Saikolojia yao imetawaliwa na vilevi na madawa, hivyo ukikutana nao usithubutu kujieleza, amua kupigana na uwe umevurugwa zaidi Yao, au kimbia( utakimbia Kama upo barabarani lakini kama ni nyumbani kwako usikimbie).

2. Usiwekwe mtu Kati unapopishana na watu au kundi la watu.
Unapotembea barabarani au kichochoroni, ikiwa mbele wanakuja watu wawili au kundi la watu, usikubali upite katikati Yao, jitahidi ukae pembeni kabisa hasa upande ambao ni rahisi kujihami aidha Kwa kukimbia au aliyeupande huo ni mdhaifu kuliko kuliko wewe.
Usiende upande wa mtu unayemuona ananguvu kukushinda, jitahidi usome nyendo zao wakati mnapishana hasa macho na mikono Yao.

Au ukae upande ambao ni rahisi kukimbia, Kama ni barabarani pasiwe na maporomoko, daraja au vichaka vyenye miba. Kaa upande ambao ukishindwa kujihami utakimbia.

3. Mwanaume yeyote usikose silaha ndogo ya kujitetea.
Silaha Kama kiwembe, Bisibisi, Kalamu, na Kama upo ndani ya Gari basi silaha Kama Kisu, jambia, Rungu, au Bastola.
Wanawake wao hutembea na Pochi na kuweka vitu vyao, Kama vipodozi, vioo, kanga n.k.
Hivyo na Kwa mwanaume lazima utembee na silaha yoyote ya kujihami lolote linapotokea.
Kama huna Ujuzi WA mapigano ya kujilinda.

Mara nyingi panya road hawapambani na watu wenye silaha Kama wao, watu waliojiandaa Panya road hawapotezagi muda wao, labda wawe wengi nawe uwe pekeako.

Matukio ya Panya road yaliwahi tokea Magomeni watu walikimbia wakaacha magari Yao. Ila Kama kila mwenye Gari angekuwa na silaha yoyote ya kujilinda basi wangeweza kupambana nao.

4. Panya road wengi wamejiandaa kufa hivyo pigana ukijua unayepigana naye Hana chakupoteza. Usiogope Jela.
Unapopigana na mtu ambaye haogopi kufa basi itakubidi wewe usiogope Jela, kwani ukiogopa jela hautapambana vizuri na utaiweka roho yako rehani na kujikuta wewe ndiye unakufa alafu mwenzako anaenda Jela.
Piga kadiri ya mtu anayetaka kuua, mengine yatajulikana mbele Kwa mbele.

5. Hakikisha hapo Mtaani kwenu wanakujua kuwa wewe unaroho mbaya Kama Shetani.
Jitahidi mtaani wamama na vijana wakujue kuwa wewe sio mtu wa mchezo ikiwa unakaa mitaa ya uswahilini.
Ni lazima ufanye tukio moja kubwa ambalo litakufanya ujulikane Mtaa mzima na serikali za mitaa.
Kama ni kijana amejaribu kukuibia ukamuona, mtafute umpige kipigo heavy, umvue nguo uanze kumburuta akiwa uchi hakikisha Mkono au mguu umeuvunja au kuukata iwe watu wakishuhudia, usiogope Kwenda polisi au mahabusu.

Saikolojia ya wahuni inawaogopa zaidi watu wasioogope Polisi au Jela.

Ndio maana Wahuni kamwe hawawezi kuwasumbua Wenye pesa, Wachawi, Wanajeshi, Kwa sababu watu hao maamuzi Yao wanakupiga kipigo heavy alafu mengine ndio yafuate.
Watu hao hawakushtaki Ila wewe ndio utaenda kushtaki mwenyewe au kujishtaki.

6. Vaa nguo na viatu Kama Mwanaume ambavyo muda wowote unaweza kukabiliana na hatari yoyote.
Sio unavaa nguo ambayo huwezi kurusha hata teke,
Au unavaa viatu ambavyo havikazi vizuri ukikimbizwa vinakusumbua.

7. Jifunze Self Defense.
Vibaka wengi ukienda kwenye viwanja vya mpira wanajifunza kupigana iwe ni masumbwi, karate n.k.
Mwanaume lazima ujue ngumi walau Basic.
Lazime ujue wakati WA kupigana Maeneo nyeti mfano;
1. Eneo ambalo nikimpiga mtu anapoteza Balansi na inakuwa rahisi kumshambulia, mathalani, Kwenye Bega iwe la kushoto au kulia, kwenye kidevu n.k.
Sio umpige au umsukume mtu kifuani bado mwili wake utakuwa na mhimili.

2. Eneo ambalo ukimpiga mtu unamlegeza, mfano chini ya paja nyuma ya Goti.

3. Eneo ambalo nikimpiga mtu anaumia na anaweza kuacha kupambana, mfano, Kwenye koo(hapa utajua), Kwenye macho(ulenge jicho kabisa), chembe ya Moyo, Korodani, kwenye mbavu changa n.k.

Sio unapigana tuu Kama mjinga usiyejua pakupiga, unashindwa hata na wanyama jamii ya Paka au nyoka.

8. Kama hujui mapambano, Epuka kuishi Maeneo hatari au kupita njia hatari zenye wakora.

9. Fanya mazoezi ya Pumzi na Yoga.
Hii itakufanya uwe na uwezo wa kupambana walau Lisaa limoja.

Hiyo ni kwa mtu binafsi. Kama ni kwenye jamii undeni umoja wa kina Baba WA kudhibiti uhalifu Kwa kushirikiana na serikali.

Taikon nimemaliza. Hongera Kama umefika mpaka hapa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Ukonga, DSM
Maeneo ya hatari ni yapi hayo mkuu?
 
NAMNA YA KUJIHAMI NA PANYA ROAD, AU MAKUNDI YA NAMNA HIYO!

Anaandika, Robert Heriel

Mara ya Kwanza Panya Road niliwaona mwaka 2016, Maeneo ya Tandale, kipindi hicho nilikuwa nasoma chuo, DSM. Kilichokuwa kinanipelekea Tandale licha ya kuwa nilikuwa nikiishi Sinza Lion; ni kwenda kushangaa maisha ya uswahilini ambayo sikuwahi kuyaona, hivyo kila jumamosi na jumapili nilikuwa nikienda huko Tandale Kwa rafiki yangu niliyesoma naye O'Level huko Makanya, Same, Kilimanjaro. Huko niliona mambo ya kustaajabisha, kuchukiza na pia kufurahisha. Huko ndiko niliona Vigodoro na vigoma, hivi vilikuwa vinanivutia mno ukizingatia nilikuwa kijana Mdogo damu inachemka.
Nilikuwa napenda Sana kuona wanawake wakicheza huku wakibinua makalio Yao juu Kwa staili ya chura, Kama hiyo haitoshi Baadhi ya Maeneo Kama uwanja wa laana wengine walifikia hatua ya kuvua nguo na kubaki uchi au navichupi tuu. Hiyo kwangu ungeiita starehe ya kufurahisha macho.

Kama nisingeyaona hayo Kwa umri ule ningali kijana Mdogo sitegemei Kama ningeyaona wakati mwingine wowote ule katika ukuaji wangu nikayafurahia, ulikuwa wakati sahihi Kabisa.

Mbali na vigodoro niliwahi ona matukio mawili ya Panya road;


Hili nilitaka kujionea Kwa macho yangu hao Panya road walivyo. Nilikuwa nikimsumbua Mara kadhaa Rafiki yangu anipeleke mahali ambapo nitawaona panya road. Basi Rafiki yangu akaniambia ipo siku atanionyesha.
Siku hiyo ikafika baada ya usumbufu WA muda mrefu.
Ilikuwa jioni nyakati za jua kupunga, Rafiki yangu akaniambia Leo utawaona Panya road, nilijawa na shauku ya kujua wakoje.
Akaniambia, Leo kuna mechi Kati ya Tandale na Mwananyamala, hivyo Leo lazima ujionee panya Road.
Tukiwa njiani nikitaka tufike huko uwanjani, Rafiki yangu akasema ilete simu yako panga road sekunde chache zijazo watakuwa wametia Timu. Kabla hajamaliza nilishuhudia kundi kubwa la Vijana likitokea mbele yetu umbali wa urefu WA uwanja wa mpira. Walikuwa wametoka kwenye mpira lakini walikuwa wakipiga kelele za kihuni; Oyo! Oyo! oyo! Huku wakiimba nyimbo za kihuni nisizokuwa nimewahi kuzisikia.
Wakati wakifanya hivyo walikuwa wakivamia Upande wa kushoto na kulia wa barabara na kupora na kujeruhi watu hovyo hovyo!

Watu wa mtaa ule niliwaona wakikimbia hovyohovyo wakiingia ndani huku baadhi ya wanawake na watoto wakipiga kelele.

Taikon niliogopa wale nisiwadanganye, niliogopa Kwa sababu mbili; Mosi, walikuwa wakipiga kelele na kutengenez hofu. Si unajua kelele zinaleta utisho. Mbili, matukio waliyokuwa wanafanya Kama kuchoma watu visu na bisibisi, kuwapoga watu hovyo huku wakipora vitu vya wafanyabiashara waliokuwa wanauza pembezoni mwa njia Ile inayotokea Sokoni.

Jambo moja nililo-note ni kuwa Panya road hawakuvamia wala kupita karibu na Wakaanga chips, nafikiri waliogopa Kumwagiwa Mafuta ya Moto, pia hawakuwa wanapita karibu na Wauza vipande vya miwa, nafikiri walihofia wauza miwa na vipande vyake kuwa na silaha Kama visu na mapanga,


Mimi sijanyoa kiduku, na mtu yeyote akiniona hata Kama nipo Rafu atajua tuu Mimi sio mhuni. Lakini sio Kwa Rafiki yangu, yeye alikaribiana nao kufanana, alikuwa na uduku kichwani, nguo zilifanana nao, pamoja na ngozi isiyo na rutuba.

Rafiki yangu akaniambia sogea pembeni kabisa, tukasogea pembeni lakini akasema usisimame tutembee tupishane nao, basi walipotukaribia Kama hatua kumi hivi, Rafiki yangu akawapokea Kwa kusema Oyo!Oyo! oyo! Huku na Mimi nikiwa nadakia kuonyesha tupo pamoja. Nilimuona rafiki yangu akiwa kaupenyeza Mkono wake kwenye kiuno mahali ambapo anawekaga Bisibisi ndefu , ili kujihami Kama lolote lingetokea. Lakini wale pants road walitupita tukawa katikati Yao Kwa sekunde kadhaa kutokana na wingi wao. Baadaye walikuwa wametupita huku Mimi wakiniacha Hoi Kwa hofu.


Nafikiri lilikuwa Tamasha la shika Ndinga, lilifanyika pale Uwanja wa TP Sinza, Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Paul Makonda.
Kwa vile tamasha lile lilikuwa la bure basi watu walifurika mno, wahuni wakiwa wengi zaidi.
Wahuni kutoka Tandale, Mwananyamala, Manzese, Magomeni, na wambali zaidi walitokea Mbagala na Temeke (hawa walikuwa wachache)
Nilienda kwenye tamasha hili nikiwa na Yule Yule Rafikiangu, unajua wengine tunapenda ku- socialize ukiniita sociologist hautakuwa umekosea.
Kujichanganya kwenye jamii inakupa kitu inaitwa Interpersonal skills yaani Ujuzi wa kuchangamana na kujamiiana na watu wengine. Hii itakufanya uhitimi kozi ya kitaaolojia. Elimu ya mtaani.
Hicho ndicho ambacho nilikuwa nakitafuta.

Hakika Rafikiangu licha ya kuwa nilikuwa nimemzidi kielimu Kwa mbali mno, lakini kwenye elimu kitaaolojia aliniacha mbali Sana.
Tulipokuwa kwenye lile Tamasha tukimsubiri Mgeni Rasmi Paul Makonda ambaye wakati huo alikuwa Mkuu wa Mkoa.
Rafiki yangu alikuwa akiniambia tuhame hapa twende pale, kisha tukifika pale, akawa ananipa sababu za kuhama eneo la awali, akasema; unawaona wale washikaji(nikawatazama), wale ni wahuni, panya roads, kukaa karibu nao lolote linaweza kutokea, wanaweza kukuibia, au Polisi wakija wakibebwa na wewe unaweza kujikuta umesombwa nao.

Akaendelea; unaona pale, wanataka kumuibia Yule mshikaji aliye na demu wake. Hapo nikataka nione wataibaje, dakika tano hazikuzidi wakamuibia kutokana na msongamano, Yule kijana baada ya kugundua ameibiwa ndani ya Ileile sekunde tukio la wizi likifanyika akageuka lakini nikamuona Yule mwizi akiondoka huku wezi wenzake wakijaribu kumsonga Yule kijana wakijifanya wanamuuliza umeibiwa, umeibiwa nini, simu gani, huku wakijitahidi kumsaidia kumbe wakimzuia Yule kijana na kusababisha Yule mwizi azidi kuepa na kutokomea.

Tukio hili likanipa ujumbe kuwa, ukiibiwa kwenye matukio ya namna hii, 90% watakaokuzonga na kujifanya wanakupa msaada ni sehemu ya wezi.

Ukiwa kwenye mikusanyiko ya watu hasa watu usiowajua ni vizuri ukasoma Maumbile, saikolojia ya mwili, Mavazi, nyendo za wanaokuzunguka, iwe ni kwenye matamasha, iwe mi kwenye fukwe za starehe. Usikubali kuzungukwa na watu usiowajua, usikubali kuzungumza na watu usiowajua ikiwa sio wewe uliyeyaanzisha mazungumzo, jitahidi unapoongea na mtu umtazame machoni, asikubabaisha Kwa kukuzuga na vitendo vyake ukapoteza umakini WA kuangalia macho yake.

Macho ndio yamebeba Kwa kiasi kikubwa saikolojia ya mwili WA binadamu.

Tamasha lile walikuwepo Askari Kanzu, lakini walikuwepo wachache, vurugu zilipotokea Polisi na magari Yao walifika, basi ikawa mshike mkamate, wahuni walikuwa wakikimbia huku Raia wema nao wenye hofu nao wakikimbia Hali iliyofanya Polisi kukamata yeyote aliyekaribu. Walikamatwa baadhi ya panga road huku mmoja akinusurika kufa Kwa kujirusha kwenye Gari la polisi na kuangukia chini ya Daraja pale Uwanja wa TP.

Jambo moja ninalotaka kulisema, kwenye matukio Kama haya ukiona yametokea, Kama wewe sio Mhuni usikimbie kimbie hovyo, ikiwezekana tafuta Nafasi ujifiche, iwe ni kwenye mti au Jiwe au ukuta n.k. kukimbia kutafanya ukamatwe na polisi kwani watadhani nawe ni mmoja wao. Hivi ndivyo ilivyotokea.

Lakini hakikisha, waliokuja kukamata ni polisi, ndio ufanye hivyo, usije ukasimama kumbe tukio hilo linaratibiwa na wahuni au Magaidi kama Kule Garisa KENYA.

Baada ya kuandika maelezo mengi ambayo wengi hamyapendi, sasa hivi ndivyo jinsi mtakavyo jihami na panga road au makundi ya namna hiyo;

1. Elewa maumbile na saikolojia yao.
Panga road wengi wao ni dhoofu ilhali, hawana Afya kutokana na lishe duni, hivyo hawana nguvu, hivyo hawatakuruhusu upigane nao kwani wanajijua hawana nguvu pia wengi wao umri wao ni mdogo hivyo watatumia silaha Kama visit, bisibisi, viwembe au marungu.

Saikolojia yao imetawaliwa na vilevi na madawa, hivyo ukikutana nao usithubutu kujieleza, amua kupigana na uwe umevurugwa zaidi Yao, au kimbia( utakimbia Kama upo barabarani lakini kama ni nyumbani kwako usikimbie).

2. Usiwekwe mtu Kati unapopishana na watu au kundi la watu.
Unapotembea barabarani au kichochoroni, ikiwa mbele wanakuja watu wawili au kundi la watu, usikubali upite katikati Yao, jitahidi ukae pembeni kabisa hasa upande ambao ni rahisi kujihami aidha Kwa kukimbia au aliyeupande huo ni mdhaifu kuliko kuliko wewe.
Usiende upande wa mtu unayemuona ananguvu kukushinda, jitahidi usome nyendo zao wakati mnapishana hasa macho na mikono Yao.

Au ukae upande ambao ni rahisi kukimbia, Kama ni barabarani pasiwe na maporomoko, daraja au vichaka vyenye miba. Kaa upande ambao ukishindwa kujihami utakimbia.

3. Mwanaume yeyote usikose silaha ndogo ya kujitetea.
Silaha Kama kiwembe, Bisibisi, Kalamu, na Kama upo ndani ya Gari basi silaha Kama Kisu, jambia, Rungu, au Bastola.
Wanawake wao hutembea na Pochi na kuweka vitu vyao, Kama vipodozi, vioo, kanga n.k.
Hivyo na Kwa mwanaume lazima utembee na silaha yoyote ya kujihami lolote linapotokea.
Kama huna Ujuzi WA mapigano ya kujilinda.

Mara nyingi panya road hawapambani na watu wenye silaha Kama wao, watu waliojiandaa Panya road hawapotezagi muda wao, labda wawe wengi nawe uwe pekeako.

Matukio ya Panya road yaliwahi tokea Magomeni watu walikimbia wakaacha magari Yao. Ila Kama kila mwenye Gari angekuwa na silaha yoyote ya kujilinda basi wangeweza kupambana nao.

4. Panya road wengi wamejiandaa kufa hivyo pigana ukijua unayepigana naye Hana chakupoteza. Usiogope Jela.
Unapopigana na mtu ambaye haogopi kufa basi itakubidi wewe usiogope Jela, kwani ukiogopa jela hautapambana vizuri na utaiweka roho yako rehani na kujikuta wewe ndiye unakufa alafu mwenzako anaenda Jela.
Piga kadiri ya mtu anayetaka kuua, mengine yatajulikana mbele Kwa mbele.

5. Hakikisha hapo Mtaani kwenu wanakujua kuwa wewe unaroho mbaya Kama Shetani.
Jitahidi mtaani wamama na vijana wakujue kuwa wewe sio mtu wa mchezo ikiwa unakaa mitaa ya uswahilini.
Ni lazima ufanye tukio moja kubwa ambalo litakufanya ujulikane Mtaa mzima na serikali za mitaa.
Kama ni kijana amejaribu kukuibia ukamuona, mtafute umpige kipigo heavy, umvue nguo uanze kumburuta akiwa uchi hakikisha Mkono au mguu umeuvunja au kuukata iwe watu wakishuhudia, usiogope Kwenda polisi au mahabusu.

Saikolojia ya wahuni inawaogopa zaidi watu wasioogope Polisi au Jela.

Ndio maana Wahuni kamwe hawawezi kuwasumbua Wenye pesa, Wachawi, Wanajeshi, Kwa sababu watu hao maamuzi Yao wanakupiga kipigo heavy alafu mengine ndio yafuate.
Watu hao hawakushtaki Ila wewe ndio utaenda kushtaki mwenyewe au kujishtaki.

6. Vaa nguo na viatu Kama Mwanaume ambavyo muda wowote unaweza kukabiliana na hatari yoyote.
Sio unavaa nguo ambayo huwezi kurusha hata teke,
Au unavaa viatu ambavyo havikazi vizuri ukikimbizwa vinakusumbua.

7. Jifunze Self Defense.
Vibaka wengi ukienda kwenye viwanja vya mpira wanajifunza kupigana iwe ni masumbwi, karate n.k.
Mwanaume lazima ujue ngumi walau Basic.
Lazime ujue wakati WA kupigana Maeneo nyeti mfano;
1. Eneo ambalo nikimpiga mtu anapoteza Balansi na inakuwa rahisi kumshambulia, mathalani, Kwenye Bega iwe la kushoto au kulia, kwenye kidevu n.k.
Sio umpige au umsukume mtu kifuani bado mwili wake utakuwa na mhimili.

2. Eneo ambalo ukimpiga mtu unamlegeza, mfano chini ya paja nyuma ya Goti.

3. Eneo ambalo nikimpiga mtu anaumia na anaweza kuacha kupambana, mfano, Kwenye koo(hapa utajua), Kwenye macho(ulenge jicho kabisa), chembe ya Moyo, Korodani, kwenye mbavu changa n.k.

Sio unapigana tuu Kama mjinga usiyejua pakupiga, unashindwa hata na wanyama jamii ya Paka au nyoka.

8. Kama hujui mapambano, Epuka kuishi Maeneo hatari au kupita njia hatari zenye wakora.

9. Fanya mazoezi ya Pumzi na Yoga.
Hii itakufanya uwe na uwezo wa kupambana walau Lisaa limoja.

Hiyo ni kwa mtu binafsi. Kama ni kwenye jamii undeni umoja wa kina Baba WA kudhibiti uhalifu Kwa kushirikiana na serikali.

Taikon nimemaliza. Hongera Kama umefika mpaka hapa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Ukonga, DSM
Maisha ya siku hizi lazima uwe na kiasi fulani 'chochote' Cha ukatili.

Sio kwenye kutafuta mafanikio, sio kwenye kupambana na umakini, ujinga na malazi. Ukiwa lelemama....

Ukiwa lelemama ni rahisi sana kujitoa roho, utu.

Panya road ni bomb linalipuka Sasa baada ya kutengenezwa miaka mingi iliyopita.

Ukosefu wa elimu, ajira, malezi na matumizi ya madawa ya kulevya hapa ndipo yalipotufikisha. Vijana tunamatarajio mengi sana na kufikika kwake ni mtihani. Siasa ndo imekuja kutuvuruga kabisaaa..huenda panya road ni diversion ya ajenda fulani ilikuwa inajadiliwa Sasa tupoteze Kwa namna hii.

Nakemea panya road Kwa nguvu zoote, na siwaonei huruma. Mchuma janga atakula na nduguze. Yawakute kama waliyoyasababisha Kwa wenzao.





Sent from my Nokia C20 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom