Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wanabodi amani iwe kwenu.Tumshukuru MUNGU kwa kila jambo kutuamsha salama.
Naombeni msaada wa namna ya kupata stika ya nenda kwa usalama barabarani ili kuepuka usumbufu wa faini ya TZS 30'000 kila trafiki wanaponikamata. Wananisumbua sana.
Ikumbukwe wiki ya nenda kwa usalama imeshaisha.Nitapataje Stika hiyo ndugu zangu?
Naombeni msaada wa namna ya kupata stika ya nenda kwa usalama barabarani ili kuepuka usumbufu wa faini ya TZS 30'000 kila trafiki wanaponikamata. Wananisumbua sana.
Ikumbukwe wiki ya nenda kwa usalama imeshaisha.Nitapataje Stika hiyo ndugu zangu?