namna ya kuifanya no bize

hernest

Member
Apr 10, 2013
49
9
ni namna gani unaweza set simu yako kila wakati ionekana iko bize na unaweza ifanya kwa mtu m1 tu?
 
Kama Unatumia tecno au dizaini zingine za Kichina- blacklist hiyo namba ambayo huitaki.
 
Inategemea na simu unayotumia Mkuu

Smartphone unaweza chagua namba 1 tu
ambayo unataka ikuone uko busy,kwa
simu mfano nokia ya tochi yategemea sana
mtandao gani unatumia

1.Voda
2.Airtell
3.tiGO
4.Sasatell
5.
6.
 
Download application inayoitwa call blacklisting. Unaingiza namba usizozitaka zikufikie. Au ukiwa na simu aina ya sonyerickson (smartphone) yenyewe ina inbuilt call-baring aplication. Wadau watakupa maelezo mengi mengine
 
Inategemea na simu unayotumia Mkuu

Smartphone unaweza chagua namba 1 tu
ambayo unataka ikuone uko busy,kwa
simu mfano nokia ya tochi yategemea sana
mtandao gani unatumia

1.Voda
2.Airtell
3.tiGO
4.Sasatell
5.
6.

voda n smartphone(galaxy)
 
Download application inayoitwa call blacklisting. Unaingiza namba usizozitaka zikufikie. Au ukiwa na simu aina ya sonyerickson (smartphone) yenyewe ina inbuilt call-baring aplication. Wadau watakupa maelezo mengi mengine

thank you
 
mkuu shida si kuifanya iwe bize? easy ichomeke kwenye modem tu kila ukipigiwa itakua busy ila msg zinaingia
 
Inategemea na simu unayotumia Mkuu

Smartphone unaweza chagua namba 1 tu
ambayo unataka ikuone uko busy,kwa
simu mfano nokia ya tochi yategemea sana
mtandao gani unatumia

1.Voda
2.Airtell
3.tiGO
4.Sasatell
5.
6.

nokia x2-01 msaada tafadhali
 
Kwa Blackberry unadownload program inaitwa Call Control unaziset namba mpaka tatu, hazikupati ng'oooo.

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
voda n smartphone(galaxy)
Kama ni Samsung, wao ni wazuri sana katika hii huduma, manake si kwamba simu inaonekana ipo bize, bali kila anapokupigia, ina-terminate! Hii ni nzuri sana coz' wakati mwingine mtu unam-block m2 huku ukitaka asifahamu kwamba umem-block! Aina nyingine hata kama huduma hiyo ipo, inakuwa sio nzuri coz' unakuta jamaa kila anapokupigia anajibiwa "the number you're calling is used....!" Jamani, miaka yote m2 bado anaongea tu?

So, kama ni samsung, huna haja ya ku-download app yoyote ile, just go to Call Setting, pekenyua pekenyua huko hadi ukute ki2 kinachafanana na Blacklist or Block or Screening; kisha dump namba za wale wote wanaokudai halafu hutaki kulipa!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom