Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Wakati tunapogeza bango la "Wanyama street" kutolewa,tuangalie namna ya kufika Ikulu kwa JPM!
Hakiki unaitafuta barabara ya Barack Obama,ukiipata unanyooka nayo mpaka mwisho unakuwa umefika ikulu!
Kwa spelling zaidi,unaweza kuangalia juu kulia kwenye barua toka ikulu hapa chini!
Asanteni
Hakiki unaitafuta barabara ya Barack Obama,ukiipata unanyooka nayo mpaka mwisho unakuwa umefika ikulu!
Kwa spelling zaidi,unaweza kuangalia juu kulia kwenye barua toka ikulu hapa chini!
Asanteni