Erick Richard R-Madrid
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 399
- 279
Wenye uzoefu wa namna ya kufanya manunuzi ONLINE (Mtandaoni) naomba tuelekezane hapa. Tujulishane hatua unazotakiwa kuzifanya mwanzo mpaka mwisho kwa kutumia Card hizo.
Pia tujulishane utofauti uliopo kati ya Visa Card na Master Card, na ipi ni bora katika kufanya manunuzi bila usumbufu.
Shukurani wakuu
Pia tujulishane utofauti uliopo kati ya Visa Card na Master Card, na ipi ni bora katika kufanya manunuzi bila usumbufu.
Shukurani wakuu