Namna ya Kuanzisha na Kuendesha Biashara ya Kufua Nguo | Laundromat Business

Ahsante Maskini Jeuri,

Ngoja nipitie nione bei zao zinakwendaje. Natambua kua kutakua na gharama za usafiri pamoja na ushuru.

Shukrani,

Ignorant
 
Mimi pia nili kwa interested to funguwa biashara ya kuosha nguo.
LAKINI, I dont have much capital to import expensive machines :(
Sijui machine gni ni muhimu ku anza biashara hii?
Can u guide plz?
 
@ Saq - Mashine zinazohitajika kwa kuanzia ni kama zifuatazo, (ingawa itategemea hasa mtaji ulionao na aina ya huduma unazotarajia kutoa)

1. Dry cleaning machine - 16kg kwa kuanzia inatosha kwa population ya watu 40,000
dry cleaner.jpg

2. iIroning table - aspiration with boiler (height adjustable)
iron.jpg
3. Stain removing machine
stain remover.jpg
4. Packaging machine
packaging.jpg
5. Industrial washing machine (16kg inafaa kuanzia) - hii ni mashine kwa ajili ya kufulia mablanketi nk
industrial.jpg
6. Domestic washing machine (16kg)
domestic.jpg
7. Wringer (8kg) - kwa ajili ya kukausha nguo

8. Compressor
compressor.jpg
9. Computer equipment (cash register, ticket printer etc)

10. Clothes rack - kwa ajili ya kuning'iniza nguo - hii unaweza itengeneza kwa kutumia local materials hapo hapo dukani
 
Fanya haraka umuone Mzee Mustafa Mkulo au mkewe, walikuwa na Dry Cleaner (pale Msasani ilipo Zantel sasa) kabla hajawa Waziri wa Fedha na wana mitambo yote hiyo na kwa sasa wameifungia store. Onana nae utaipata kwa bei nzuri tu, kama bado ipo mpaka leo. Jaribu bahati yako.
 
@ CTU - biashara gani inafanywa bilia maafikiano?

Utatumaje mzigo bila ya kukubaliana pesa? Si mambo ya kuuziana mbuzi katika gunia. Kwa dunia ya sasa, nani anaweza tuma mzigo then akudai pesa baadae?
 
@ Saq - Mashine zinazohitajika kwa kuanzia ni kama zifuatazo, (ingawa itategemea hasa mtaji ulionao na aina ya huduma unazotarajia kutoa)

1. Dry cleaning machine - 16kg kwa kuanzia inatosha kwa population ya watu 40,000
View attachment 42877

2. iIroning table - aspiration with boiler (height adjustable)
View attachment 42878
3. Stain removing machine
View attachment 42879
4. Packaging machine
View attachment 42880
5. Industrial washing machine (16kg inafaa kuanzia) - hii ni mashine kwa ajili ya kufulia mablanketi nk
View attachment 42881
6. Domestic washing machine (16kg)
View attachment 42882
7. Wringer (8kg) - kwa ajili ya kukausha nguo

8. Compressor
View attachment 42886
9. Computer equipment (cash register, ticket printer etc)

10. Clothes rack - kwa ajili ya kuning'iniza nguo - hii unaweza itengeneza kwa kutumia local materials hapo hapo dukani

ASANTE SANA BRO...
Lakini, kama kuanziya hiyo biashara... Muhimu ni mashine zipi ?
kama capital kma TSHS inahitajka ku funguwa hii biashara ??
 
Fanya haraka umuone Mzee Mustafa Mkulo au mkewe, walikuwa na Dry Cleaner (pale Msasani ilipo Zantel sasa) kabla hajawa Waziri wa Fedha na wana mitambo yote hiyo na kwa sasa wameifungia store. Onana nae utaipata kwa bei nzuri tu, kama bado ipo mpaka leo. Jaribu bahati yako.

FAIZAFOXY- Tampataje Mzee Mkulo au Mrs.Mkulo ? ..... sisi watu wa fanyabiashara, hatu fahamiki kwa wakubwa sana.. :A S-frusty2:
 
Haya bwana tumeshajua upo close na mkullo!
Fanya haraka umuone Mzee Mustafa Mkulo au mkewe, walikuwa na Dry Cleaner (pale Msasani ilipo Zantel sasa) kabla hajawa Waziri wa Fedha na wana mitambo yote hiyo na kwa sasa wameifungia store. Onana nae utaipata kwa bei nzuri tu, kama bado ipo mpaka leo. Jaribu bahati yako.
 
FAIZAFOXY- Tampataje Mzee Mkulo au Mrs.Mkulo ? ..... sisi watu wa fanyabiashara, hatu fahamiki kwa wakubwa sana.. :A S-frusty2:

Wizara ya Fedha huijui? ulisikia wapi Tanzania kumuona waziri mpaka ufahamike? Unanchekesha.
 
mimi pia nili kwa interested to funguwa biashara ya kuosha nguo !
LAKINI, i dont have much capital to import expensive machines :(
Sijui machine gni ni muhimu ku anza biashara hii ???
can u guide plz ?

Mashine muhimu ni watu wa kufua na pasi. mengine baadae, unaanza manual.
 
Je biashara ya industrial dry cleaners inaweza kulipa Tanzania?

hapa nazungumzia unachukua industrial area una maji ya kumwaga, umeme tosha...kisha unaanza na order za mahoteli yote Dar na ofisi za serikali

hailipi italipa?

Mtaji dola laki 5
 
Inaweza ikalipa ila uwe na vyanzo vingine mbadala vya maji na umeme. Unaweza ukapata ugumu pia kwa wateja unaowalenga, mfano mahoteli mengi yana hizo mashine za kufulia na wengi hutoa huduma hiyo hadi kwa wateja wao.
 
Najua mahoteli mengi yanayo hizi mashine lakini hawana maji ya kutosha na gharama za umeme nazo ni kubwa mno

Ukweli ni kuwa Dar kuna mahoteli na apartments za kumwaga na hawa wote wanataka nguo zao zifuliwe ontime na kurejeshwa ontime

sisi tunainvest kwenye vitu 5

Site kubwa

Machine madhubuti

Maji ya kutosha

Umeme wa uhakika

Quality na Time ya delievery

sasa naaamini hata wizara za serikali na mashirika binafsi watatuletea

Lakini so far hakuna kilichoa amuliwa bado tunaangalia angalia kama kutakuwa na wepesi na uwezekano huo
 
Mkuu, good idea, lakini naona ukiwa-target watu wa kwenye apartments inaweza ikalipa zaidi as apartments za dar hazina hii huduma.

Kwa hotel inabidi uwe na maji na umeme wa uhakika na cheap, ili hotels waone wanaliwa na ku-operate machines zao.
 
Wakuu nataka kufanya biashara ya dry cleaning.

Naomba kujua kwa mjuvi wa biashara hii anisaidie kunipa taarifa ni vitu gani nahitaji ili niweze anza.
Msaada wenu unahitajika great thinkers
OTIS
The Illuminati
 
Hii bness inalipa sana ukiwa maeneo ya mgodini, si unajua wale jamaa baada ya shughuli nguo zao zinavyokua?
 
Back
Top Bottom