computerkiddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 488
- 532
Habari, wakuu.
Nimepata chanjo ya corona tarehe 15 mwezi huu pale hospitali ya bukoba government hospital. Sasa nimpewa cheti cha kawaida ambacho sio cha kidigitali.. nimeambiwa mtandao unasumbua hvo nsubirie kidogo ntatumiwa sms ya uthibitisho kuwa nimechanja pamoja na link ya kudownload hicho cheti.
Sasa naona muda unazidi kuyoyoma na sms sipati, nkiwapigia simu naambiwa mtandao bado unasumbua.
Je mliowahi kupata hicho cheti mlifanyaje? ni mpaka utoe rushwa ndo mtandao unasoma maana sijaelewa, kama wanahitaji rushwa ni shilingi ngapi?
Thanks in advance
Nimepata chanjo ya corona tarehe 15 mwezi huu pale hospitali ya bukoba government hospital. Sasa nimpewa cheti cha kawaida ambacho sio cha kidigitali.. nimeambiwa mtandao unasumbua hvo nsubirie kidogo ntatumiwa sms ya uthibitisho kuwa nimechanja pamoja na link ya kudownload hicho cheti.
Sasa naona muda unazidi kuyoyoma na sms sipati, nkiwapigia simu naambiwa mtandao bado unasumbua.
Je mliowahi kupata hicho cheti mlifanyaje? ni mpaka utoe rushwa ndo mtandao unasoma maana sijaelewa, kama wanahitaji rushwa ni shilingi ngapi?
Thanks in advance