Namna rahisi ya kuacha tabia ovu kama kujichua, uzinzi

Kijana kijana

JF-Expert Member
Mar 11, 2018
2,546
2,616
Habari zenu wakuu.

Kumekuwa na kilio kikuu sana cha namna ya kuacha tabia mbovu katika maisha hususani MASTURBATION, UVUTAJI WA SIGARA, KUPENDA MAGOMVI, HASIRA KALI, TAMAA YA NGONO ILIYOPINDUKIA, ULEVI, USENGENYAJI, KU-OVERSPEND na mambo mengine mengi ambayo mtu unatamani kuacha lakini hauwezi kuacha ila inakua ni siri yako wewe peke yako.

Zipo njia nyingi sana za kuacha ila katika pita pita zangu nilikutana na mtaalamu mmoja wa saikolojia akanipa njia rahisi sana 3 za ku-deal na tabia hizi lakini moja kubwa na Rahisi ilikua inaitwa TAPE RECODER METHOD.

Theory behind ya hii njia ni kwamba, Mind(akili au ufahamu au nafsi) ya mwanadamu ina sehemu kuu mbili moja inaitwa CONSCIOUS MIND na nyingine inaitwa SUBCONSCIOUS mind. Conscious mind ni sehemu ya akili(mind) inayohusika na mambo ya kawaida ya mwanadamu ya kila siku kama kula, kuzungumza, kuangalia TV , kuchangia mada JF na mambo ambayo mtu unafanya ukiwa na uelewa kuwa unayafanya na hapa ndipo kuna utashi wa mwanadamu.

Subconscious mind ni akili(mind) ya mwanadamu ambayo inamsaidia kufanya mambo hata kama yeye hana habari kama anayafanya, mambo kama kupumua, kuyeyusha chakula tumboni, kumchukia mtu, masturbartion, tamaa ya ngono unapoona mtu kakaa uchi, tamaa ya kutumia sana mara unapopata tu pesa, na mengine mengi.

Cha ajabu ni kuwa 95% ya maisha ya mwanadamu yana controliwa na subconscious mind na only 5% ya maisha ya mwanadamu yana controliwa na conscious mind.

Ili mtu uwe na tabia yoyote ile ni lazima tabia ile au mazoea hayo yafike katika subconscious mind yako na kuwa recorded au stored na ndio maana tabia zote ni automatic na ni ngumu mno kuacha kwa kuwa subconscious mind haina uwezo wa kuacha kitu mpaka kitu kile kifanyiwe replacement na kitu kingine.

Zipo njia nyingi sana za kuifikia subconscious mind kama meditation, visualization, inner self talk na nyinginezo nyingi lakini kikubwa ni kuwa subconscious mind huamini kitu chochote unachokiambia mara kwa mara, au kwa kujirudia rudia hata kama kitu hicho kiwe ni cha ukweli au uongo, provided kwamba umekisikia mara nyingi sana subconscious mind huamini kuwa ni ukweli.(hapa watu wanaotengeneza matangazo hususani kwente TV hutumia sana technique hii wakichanganya na techniques nyingine kibao ili mtu kununua product lengwa)Ajabu nyingine ni kuwa subconscious mind japo haina uwezo wa kuchagua cha kuamini na cha kukataa lakini inaweka preference kubwa sana katika kuamini information zinazotoka kwa watu wako wa karibu au wale unaowaamini sana, mfano baba mzazi au mama mzazi au mchungaji wako au shekhe wako au ndugu wa karibu au rafiki wa karibu au mfanyakazi au mtu yeyote ambaye unamuamini au kumuheshimu sana.

Mtu huyo akikuambia kitu mara kwa mara hata kama ni cha uongo basi ghafla utajikuta unakiamini tu kuwa ni cha ukweli utake usitake.

Good news ni kwamba mtu ambaye Subconscious mind inamuamini sana kuliko mtu yeyote NI WEWE MWENYEWE na sauti ambayo inaiamini kuliko sauti ya mtu yeyote ni YA KWAKO WEWE MWENYEWE.

Hapa ndipo wataalamu wataalamu wakaja na kitu kinaitwa TAPE RECORDER METHOD.

Kulingana na mtaalamu wa techinique hii(Dr. Shad Helmstetter) ambaye ameizungumzia kwa kirefu yeye hutumia mfumo wa kujiambia kuwa tabia hio ameiacha lakini kwa mbinu nyingi mno, lakini anasisitiza kuwa njia nzuri ni ile RAHISI kuliko zote kwa kuwa si watu wote wanaweza kufanya mediatation wala si wote wanaweza kufanya inner slef talk.
 
Punyeto ni tabia mbovu? Hii ndio kwanza nasikia kwako.. yaani hii ni kama breaking news!
 
  • Thanks
Reactions: o_2
Habari zenu wakuu.

Kumekuwa na kilio kikuu sana cha namna ya kuacha tabia mbovu katika maisha hususani MASTURBATION, UVUTAJI WA SIGARA, KUPENDA MAGOMVI, HASIRA KALI, TAMAA YA NGONO ILIYOPINDUKIA, ULEVI, USENGENYAJI, KU-OVERSPEND na mambo mengine mengi ambayo mtu unatamani kuacha lakini hauwezi kuacha ila inakua ni siri yako wewe peke yako.

Zipo njia nyingi sana za kuacha ila katika pita pita zangu nilikutana na mtaalamu mmoja wa saikolojia akanipa njia rahisi sana 3 za ku-deal na tabia hizi lakini moja kubwa na Rahisi ilikua inaitwa TAPE RECODER METHOD.

Theory behind ya hii njia ni kwamba, Mind(akili au ufahamu au nafsi) ya mwanadamu ina sehemu kuu mbili moja inaitwa CONSCIOUS MIND na nyingine inaitwa SUBCONSCIOUS mind. Conscious mind ni sehemu ya akili(mind) inayohusika na mambo ya kawaida ya mwanadamu ya kila siku kama kula, kuzungumza, kuangalia TV , kuchangia mada JF na mambo ambayo mtu unafanya ukiwa na uelewa kuwa unayafanya na hapa ndipo kuna utashi wa mwanadamu.

Subconscious mind ni akili(mind) ya mwanadamu ambayo inamsaidia kufanya mambo hata kama yeye hana habari kama anayafanya, mambo kama kupumua, kuyeyusha chakula tumboni, kumchukia mtu, masturbartion, tamaa ya ngono unapoona mtu kakaa uchi, tamaa ya kutumia sana mara unapopata tu pesa, na mengine mengi.

Cha ajabu ni kuwa 95% ya maisha ya mwanadamu yana controliwa na subconscious mind na only 5% ya maisha ya mwanadamu yana controliwa na conscious mind.

Ili mtu uwe na tabia yoyote ile ni lazima tabia ile au mazoea hayo yafike katika subconscious mind yako na kuwa recorded au stored na ndio maana tabia zote ni automatic na ni ngumu mno kuacha kwa kuwa subconscious mind haina uwezo wa kuacha kitu mpaka kitu kile kifanyiwe replacement na kitu kingine.

Zipo njia nyingi sana za kuifikia subconscious mind kama meditation, visualization, inner self talk na nyinginezo nyingi lakini kikubwa ni kuwa subconscious mind huamini kitu chochote unachokiambia mara kwa mara, au kwa kujirudia rudia hata kama kitu hicho kiwe ni cha ukweli au uongo, provided kwamba umekisikia mara nyingi sana subconscious mind huamini kuwa ni ukweli.(hapa watu wanaotengeneza matangazo hususani kwente TV hutumia sana technique hii wakichanganya na techniques nyingine kibao ili mtu kununua product lengwa)Ajabu nyingine ni kuwa subconscious mind japo haina uwezo wa kuchagua cha kuamini na cha kukataa lakini inaweka preference kubwa sana katika kuamini information zinazotoka kwa watu wako wa karibu au wale unaowaamini sana, mfano baba mzazi au mama mzazi au mchungaji wako au shekhe wako au ndugu wa karibu au rafiki wa karibu au mfanyakazi au mtu yeyote ambaye unamuamini au kumuheshimu sana.

Mtu huyo akikuambia kitu mara kwa mara hata kama ni cha uongo basi ghafla utajikuta unakiamini tu kuwa ni cha ukweli utake usitake.

Good news ni kwamba mtu ambaye Subconscious mind inamuamini sana kuliko mtu yeyote NI WEWE MWENYEWE na sauti ambayo inaiamini kuliko sauti ya mtu yeyote ni YA KWAKO WEWE MWENYEWE.

Hapa ndipo wataalamu wataalamu wakaja na kitu kinaitwa TAPE RECORDER METHOD.

Kulingana na mtaalamu wa techinique hii(Dr. Shad Helmstetter) ambaye ameizungumzia kwa kirefu yeye hutumia mfumo wa kujiambia kuwa tabia hio ameiacha lakini kwa mbinu nyingi mno, lakini anasisitiza kuwa njia nzuri ni ile RAHISI kuliko zote kwa kuwa si watu wote wanaweza kufanya mediatation wala si wote wanaweza kufanya inner slef talk.
Mkuu hongera kwa nondo muhimu kama hizi
 
Umeeleza vizuri kiasi lakini kuna vitu vimenitatiza.
Ninavyojua mimi kuna vitu vitatu;
1. Conscious mind
2. Pre-conscious mind
3. Unconscious mind

Conscious mind inahusika na kila kitu unachokijua na unaweza kukikumbuka mfano njia ya kwenda nyumbani kwako, jina la rais, 2×2=4 na jambo lolote ambalo ukilitrive unaweza kulipata dakika hiyohiyo.

Pre-conscious mind inakusanya vitu vyote ambavyo umevisahau kwa muda lakini unaweza kuvikumbuka mfano unaweza kusahau kuhusu birthday yako iliyofana sana lakini ukausikia wimbo fulani ukipigwa ukakumbuka kila kitu kilivyojiri. Au unaweza kupotea njia kabisa lakini ukauona mwembe au chochote then ukakumbuka vizuri kabisa njia iliyo kupotea mwanzoni. Mfano mwingine unaweza kuwa umemsahau mwanamke aliyekuumiza sana zamani miaka mingi iliyopita lakini ukaona nguo au kitu fulani alichokuwa anapendelea then ukakumbuka kila kitu kumhusu huyo.

Unconscious mind ni sehemu inayohusika na mambo yote ambayo kamwe huyakumbuki na hayako ktk ufahamu wako BUT yanaendelea kukutokea pasipo kujua. Hii ni sehemu ambayo inaweka kila kitu ulichokiona au kukisikia. Ndio sehemu kubwa kuliko nyingine. Mfano unaweza kukuta baba yako alikuwa akikunyanyasa sana wakati ukiwa mdogo sana na ukiwa hujitambui then ukawa mkubwa lakini ukawa unamchukia milele pasipo kujielewa. Au unaweza kujikuta unatukana tusi kubwa mpaka ukajishangaa umewezaje lakini kumbe uliwahi kulisikia zamani sana na likatunzwa humo. Mfano meingine ni binti mdogo anaweza akaona wazazi wakifanya faragha akiwa bado mdogo kabisa then ikiwa hilo tukio ameliona na alaliweka eneo hili basi iko siku unaweza kumkuta anafanya exact then ukajiuliza kajuaje, kumbe liko ktk sehemu hii na linamtokea pasipo kujielewa.


Nimeona niongezee hiyo sehemu
 
Mabadiliko ya mfumo wa maisha yanaeza kubadilika pale tu utakapoamua kwa dhati kabisa kubadilika. Nafsi akili na roho lazima viwe na lengo moja, unless otherwise itakua ngoja nipige komoja cha mwisho, ngoja nipige angalau bia moja over and over again. NB; Kuna vitu vingine haviachiki mpaka kifo, hapo hold other factors constant. Consequences za kila ulichokitaja hapo ndo kitadetermine maamuzi ya mhusika.
 
Hii ni kweli kabsa kuna kitabu kinaitwa the power of ur subconscious mind kinazungumzia sana namna ya kubadli vitu kwa kujiambia na kutengeneza ur subconscious mind in to a positive and productive way
 
Hii ni kweli kabsa kuna kitabu kinaitwa the power of ur subconscious mind kinazungumzia sana namna ya kubadli vitu kwa kujiambia na kutengeneza ur subconscious mind in to a positive and productive way
aisee ukitumwagia vitu hapa itakuwa poa zaidi
 
Back
Top Bottom