namna nzuri za kujizuia kuwaka tamaa za mwili

Mr.creative

JF-Expert Member
Aug 8, 2011
492
117
The home great thinkers,hv kuna namna yoyote m2 anaweza apply ili kupunguza au kuzuia kabisa kuwaka kwa tamaa za mwili ambazo lengo lake kubwa ni kutuangamiza?
 
kumrudia Mungu atakusaidia, maana si kwa nguvu zetu bali kwa ROHO wa Bwana tutashinda
 
umewahi kusikia kitu kinaitwa 'kundalin yoga'? Hebu google hilo neno ujifunze namna ya kushusha mzuka.
 
Back
Top Bottom