Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Ukiishi mpaka kufikia umri huu ni jambo la kumshukuru Mungu. Kutokana na huduma bora za afya wengi hufikia sherehe ya miaka 50, 60, 70, 80 hata 90.
Ukifika miaka 50 hata kama huna tatizo lolote la afya ni muhimu kuufanyia mwili check up. Punguza unywaji wa pombe kama ni mywaji pamoja na uvutaji wa sigara. Jitahidi katika mazoezi ya kutembea japo kwa saa moja kwa siku. Kwa wengi muda huu umemudu kununua gari ambalo hukupeleka sehemu nyingi. Unaweza kurudi kazini na kwenda matembezini kwa nusu saa kwenda na nusu saa kurudi.
Mboga na matunda iwe nusu ya mlo wako wa siku. Punguza kula nyama hasa nyekundu, Punguza wanga, maji yawe kinywaji kikuu badala ya juice.
Kama umegundulika na magonjwa ya moyo, kisukari au figo kumbuka kutumia dawa kama ulivyoshauriwa, ikiwezekana kuwa na blood pressure monitor au blood sugar monitor ujipime ukiamka asubuhi na kabla hujalala.
Kumbuka kuandika wosia.
Ukifika miaka 50 hata kama huna tatizo lolote la afya ni muhimu kuufanyia mwili check up. Punguza unywaji wa pombe kama ni mywaji pamoja na uvutaji wa sigara. Jitahidi katika mazoezi ya kutembea japo kwa saa moja kwa siku. Kwa wengi muda huu umemudu kununua gari ambalo hukupeleka sehemu nyingi. Unaweza kurudi kazini na kwenda matembezini kwa nusu saa kwenda na nusu saa kurudi.
Mboga na matunda iwe nusu ya mlo wako wa siku. Punguza kula nyama hasa nyekundu, Punguza wanga, maji yawe kinywaji kikuu badala ya juice.
Kama umegundulika na magonjwa ya moyo, kisukari au figo kumbuka kutumia dawa kama ulivyoshauriwa, ikiwezekana kuwa na blood pressure monitor au blood sugar monitor ujipime ukiamka asubuhi na kabla hujalala.
Kumbuka kuandika wosia.