April26 JF-Expert Member Jul 14, 2020 1,403 2,117 Feb 26, 2021 #61 Ahsante sana mkuu. Ebu semà hamu ikija how you handle it. Au ulikuwa una tumia kiasi gani maana naona umeacha kirahisi sana.
Ahsante sana mkuu. Ebu semà hamu ikija how you handle it. Au ulikuwa una tumia kiasi gani maana naona umeacha kirahisi sana.
puker JF-Expert Member Nov 22, 2018 941 1,847 Feb 28, 2021 Thread starter #62 TheCounselor said: Ahsante sana mkuu. Ebu semà hamu ikija how you handle it. Au ulikuwa una tumia kiasi gani maana naona umeacha kirahisi sana. Click to expand... Changamoto za kupata kiu ya kupiga gambe naipata sana,ila najitahidi kuepuka mazingira yatakayo nishawishi kunywa pombe
TheCounselor said: Ahsante sana mkuu. Ebu semà hamu ikija how you handle it. Au ulikuwa una tumia kiasi gani maana naona umeacha kirahisi sana. Click to expand... Changamoto za kupata kiu ya kupiga gambe naipata sana,ila najitahidi kuepuka mazingira yatakayo nishawishi kunywa pombe