Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,332
- 14,255
Kha!kha!,eti mia ya mtu mbovu.Niliudhuria sherehe ya bwana mmoja ( anafanya kazi TANAPA) , alifanya show yake Malaika Beach(Mwanza). Sikua mwanandugu wala jamaa ila taarifa za sherehe iyo ya ndoa niliipata jioni na kupewa kadi kuhudhuria shughuli iyo usiku. Katika sherehe iyo nilisikia majirani zangu kwenye meza yetu wakisema kuwa jamaa hajajukua hata mia mbovu ya mtu. MC alikua Masanja