Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,723
Litre 20 ni bei gani mkuu? Na mafuta ni ya alizeti au sio?Ikija fursa ya kuuza lita tano, kumi na ishirini za madumu ya mafuta ya kula nishtue maana naona vimejaa sana hapa nilipo
Litre 20 ni bei gani mkuu? Na mafuta ni ya alizeti au sio?Ikija fursa ya kuuza lita tano, kumi na ishirini za madumu ya mafuta ya kula nishtue maana naona vimejaa sana hapa nilipo
Kwa Watanzania wengi uthubutu ni kipengele sana ndiyo maana wanaothubutu kutoboa ni rahisi sana
Thubutu kukutwa na bwana pepsi, hizi biashara zina kanuni sio kama tunavyowashana magari humu! Unafungwa mota na mtu ambaye yeye akifika wateja wanamkimbilia ikiwa wewe ni lazma uanze kuwapora wateja wake wahamie kwako!Idea ni nzuri sana tatizo uthubutu
Nikukumbushe tu kila biashara inalipa kwenye maelezo ila mambo kwa ground ni different!
Korie na MO. Mwezi uliopita ilikuwa 100,000 kwa lita 20, 25,000 lita 5Litre 20 ni bei gani mkuu? Na mafuta ni ya alizeti au sio?
yan tangu nisome hii thread bado sjajua navifanyaje na sjui hata รฑaanzia wapiNikukumbushe tu kila biashara inalipa kwenye maelezo ila mambo kwa ground ni different!
๐๐๐ nimevifunga vizur pamoja vipo stoo muda huuInabidi uwekwe rumande kwa kuchoma noti.
Uko salama?
We mke wa mtu huwezi fanya hio shughuli ya kusafiri!yan tangu nisome hii thread bado sjajua navifanyaje na sjui hata รฑaanzia wapi
mimi sitaki kusafiri kabisa ningepata mtu anayevitaka ningempa mana kuna kuda naona kama uchafuWe mke wa mtu huwezi fanya hio shughuli ya kusafiri!
Hio inatufaa wajuba na kimsingi biashara ya kusafiri nipate faida ya 5000 au zaidi per unit! Vinginevyo wacha nibakie zangu nilipo.
๐๐๐ nimevifunga vizur pamoja vipo stoo muda huu
sjambo hof kwako
hahaha kufuli tena sababu ya viroba tuAlhamdulillah! Tena uweke kufuli madhubuti
๐๐๐๐๐ kama ni hivo hana haja ya kuzunguka aende direct kwenye point nitampatia tu sababu sina kazi navyoWe unafikiri Extrovert anakupigisha mastory bure hapo, anataka akutengeneze ukae sawa apite na viroba. Ameshakaa mkao wa kula. Imarisha ulinzi
Hahahahah upo wapi mrembo, ngoja nilete vijana wazoe uchafu huo ๐mimi sitaki kusafiri kabisa ningepata mtu anayevitaka ningempa mana kuna kuda naona kama uchafu
๐๐๐๐๐ kama ni hivo hana haja ya kuzunguka aende direct kwenye point nitampatia tu sababu sina kazi navyo
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ mie sina mengi ila vijana ntawaagiza waje kufanya usafi!๐๐๐๐๐ kama ni hivo hana haja ya kuzunguka aende direct kwenye point nitampatia tu sababu sina kazi navyo
Tanga mieHahahahah upo wapi mrembo, ngoja nilete vijana wazoe uchafu huo ๐
Tanga ๐๐๐Tanga mie
hahahaha wewe huvitaki???Unastahili wazee wa PGO weye si bure, hata baada ya hili somo baso unataka kutupa pesa?
Ila ukimpatia huto jamaa yangu halijaharibika neno, ni mhangaikaji mwenzangu.