LegalGentleman
Member
- Oct 26, 2021
- 98
- 287
Uhaba wa maji DSM baada ya kina cha maji mto Ruvu kupungua kama chanzo kikuu cha maji ya taasisi hiyo (DAWASCO) umepelekea wakazi wa maeneo mbalimbali wa mkoa huo kutafuta njia mbadala za kupata maji na kuanza kuijumu taasisi ya maji DAWASCO.
Mbinu kama kukata mabomba na kuunganisha moja kwa moja zinatumika na kupelekea ofisi hizi kupoteza mapato yake.
Nini kifanyike?!
Mbinu kama kukata mabomba na kuunganisha moja kwa moja zinatumika na kupelekea ofisi hizi kupoteza mapato yake.
Nini kifanyike?!