NAMNA DUNIA INAVYOKIMBIA KWA KASI: Ulimwengu wa Artificial Intelligence (A.I)

msana

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
215
306
katika dodosa dodosa zangu nikakutana na kesi matata baina ya Google na jumuiya ya waandishi huko marekani japo kesi iliisha kwa Google kushinda kwa mianya ya kisheria kwa matumizi ya Fair use contents, hili sio nalo taka kulileta ila nachobainisha ni mbio za dunia katika kumfanya mwanadamu aishi kama BIG BOSS yani itafikia hatua unafanyakazi au kupewa huduma kwa kutamka tu "nataka pepsi baridiiiii na nyama choma" mara paaap kapepsi haka hapo mezani hahaha
Twende taratibu: Google wana project moja mahususi kufanikisha hayo katika nyanja zote wanayoiita Google Brain na hii project ndo moja ya chanzo katika kesi ile na wandishi wa vitabu niliyoibainisha hapo juu, kupitia uhifadhi wa kanzi data (database) kila contents zinazo rushwa mtandaoni jamaa wanazimezesha mashine zao ziweze kutambua katika mfumo wa kibinadamu (learning process) kama tulivyo mezeshwa mambo mbali mbali ya kitaaluma tukiwa shule na kutufanya tuwe na uwezo huu wa kufikili sasa jamaa wanazitupia machine uwezo katika mfumo huo. Balaa lilianzia hapo baada ya waandishi kadhaa wa vitabu kugundua maandishi ya vitabu vyao machine za google zishameza kama vile wanafunzi wanavyo meza vitabu vya Ngoswe penzi kitovu cha uzembe hahahaha hatari sana.
5.png

mfano wa A.I nyepesi tu ambayo ina exist hata sasa unaweza tafsiri maandishi ya aina yoote katika lugha yoyote kuja katika lugha unayoitambua.
nawasilisha.......
 
katika dodosa dodosa zangu nikakutana na kesi matata baina ya Google na jumuiya ya waandishi huko marekani japo kesi iliisha kwa Google kushinda kwa mianya ya kisheria kwa matumizi ya Fair use contents, hili sio nalo taka kulileta ila nachobainisha ni mbio za dunia katika kumfanya mwanadamu aishi kama BIG BOSS yani itafikia hatua unafanyakazi au kupewa huduma kwa kutamka tu "nataka pepsi baridiiiii na nyama choma" mara paaap kapepsi haka hapo mezani hahaha
Twende taratibu: Google wana project moja mahususi kufanikisha hayo katika nyanja zote wanayoiita Google Brain na hii project ndo moja ya chanzo katika kesi ile na wandishi wa vitabu niliyoibainisha hapo juu, kupitia uhifadhi wa kanzi data (database) kila contents zinazo rushwa mtandaoni jamaa wanazimezesha mashine zao ziweze kutambua katika mfumo wa kibinadamu (learning process) kama tulivyo mezeshwa mambo mbali mbali ya kitaaluma tukiwa shule na kutufanya tuwe na uwezo huu wa kufikili sasa jamaa wanazitupia machine uwezo katika mfumo huo. Balaa lilianzia hapo baada ya waandishi kadhaa wa vitabu kugundua maandishi ya vitabu vyao machine za google zishameza kama vile wanafunzi wanavyo meza vitabu vya Ngoswe penzi kitovu cha uzembe hahahaha hatari sana.
View attachment 873756
mfano wa A.I nyepesi tu ambayo ina exist hata sasa unaweza tafsiri maandishi ya aina yoote katika lugha yoyote kuja katika lugha unayoitambua.
nawasilisha.......
Hii haijaanza leo. Wameanza miaka kadhaa nyuma huko.
Project prism.. ni project ilifanyika ndani ya NSA. Project hii walitengeneza AI inayoweza kutazama raia wote na kujua wahalifu ni wapi na wabaya ni wapi, inaweza kusoma email , sms, call logs za watu ambao ni threat kwa nchi.
Pia ina spy watu kupitia vifaa vya kielectronics kwa kukusanya taarifa za picha, video na sauti.

Mmoja wa wahusika wa hii porject ni edward snowden mwenyewe.

Pia angalia series ya AI inayoitwa person of interest. Utaona maajab ambayo computer inaweza kufanya.
 
Hii haijaanza leo. Wameanza miaka kadhaa nyuma huko.
Project prism.. ni project ilifanyika ndani ya NSA. Project hii walitengeneza AI inayoweza kutazama raia wote na kujua wahalifu ni wapi na wabaya ni wapi, inaweza kusoma email , sms, call logs za watu ambao ni threat kwa nchi.
Pia ina spy watu kupitia vifaa vya kielectronics kwa kukusanya taarifa za picha, video na sauti.

Mmoja wa wahusika wa hii porject ni edward snowden mwenyewe.

Pia angalia series ya AI inayoitwa person of interest. Utaona maajab ambayo computer inaweza kufanya.
nimekupata kiongozi sema project za google zinakuwa interested zaidi mana zitanufaisha mtu direct tofauti na project za mashirika ya kijasusi ambayo hujikita kwa manufaa ya nchi husika tu tena kwa wanausalama pekee ila hizi output zake zitakuwa kwa social benefit
 
Back
Top Bottom