Heri ya mwaka mpya.
Naelewa wana JF wote ni watu safi kila mtu ana MPENZI wake mmoja tu na wengine hawana kabisa.
Lakini unamshaurije mtu ambae atapigiwa simu na mpenzi wa nje wakati yupo na mpenzi wake wa siku zote?. na kwa kweli mpenzi wake alie nae wakati simu inapigwa ni mkorofi.
JE?
1. AIPOKEE SIMU KWA KUTUMIA BUTTON NYEKUNDU???...AIZIME??
2. AIPAZE SAUTI KWA KUMUULIZA ALIEMPIGIA '' MBONA SIKUSIKII????''
3. AIACHE SIMU ILIIIIE? HADI IKATIKE YENYEWE?
KUNA JAMAA HAPA UGOMVI NA KUDUNDANA NI KILA SIKU.
Naelewa wana JF wote ni watu safi kila mtu ana MPENZI wake mmoja tu na wengine hawana kabisa.
Lakini unamshaurije mtu ambae atapigiwa simu na mpenzi wa nje wakati yupo na mpenzi wake wa siku zote?. na kwa kweli mpenzi wake alie nae wakati simu inapigwa ni mkorofi.
JE?
1. AIPOKEE SIMU KWA KUTUMIA BUTTON NYEKUNDU???...AIZIME??
2. AIPAZE SAUTI KWA KUMUULIZA ALIEMPIGIA '' MBONA SIKUSIKII????''
3. AIACHE SIMU ILIIIIE? HADI IKATIKE YENYEWE?
KUNA JAMAA HAPA UGOMVI NA KUDUNDANA NI KILA SIKU.