namna bora ya kukiri na kuomba msamaha kwa akina mama.

tena nfamilia yangu ni ya ajabu sana kwamba mimi na mr ytunaweza kuongea matusi kabisa mimi na yeye kama stori tu za kawaida na huwa zinanoga kweli ila usilogwe katika hizo stori ukaeka za ukweli ambazo hazipend utasaga meno aisee.

this is quite interesting.... but then gfsonwin, unadhani unaweza kusema confidently kwamba tayari umeshamjua mr. completely (pamoja na mikwara na mizengwe yake) au unadhani process ya kumjua partner ni continuous katika maisha ya ndoa na kwamba bado uko kwenye 'learning curve' (e.g kuna maeneo ambayo huna uhakika ata-react vipi in case issues fulani zitawekwa mezani?)
 
Last edited by a moderator:
this is quite interesting.... but then gfsonwin, unadhani unaweza kusema confidently kwamba tayari umeshamjua mr. completely (pamoja na mikwara na mizengwe yake) au unadhani process ya kumjua partner ni continuous katika maisha ya ndoa na kwamba bado uko kwenye 'learning curve' (e.g kuna maeneo ambayo huna uhakika ata-react vipi in case issues fulani zitawekwa mezani?)

nitatofautiana sana na wengi to me hua sipendi wala sitak kumzoea mr wangu sisi ni marafiki sana na ili urafiki uwe mtamu msizoeane ukajenga mazoea mabaya. kila siku huwa naashume ni rafiki ambaye ni mtu awezae kuact tofauti at any time. so big respect na muda wa kuheshimu utu wake na nafasi yake kama baba, ipo lkn pana mahali nafasi yake kama rafiki kwangu inakuwepo na kuna muda nafasi yake inakuwa kama mpenzi na mwanandani. unless umeweza kutofautisha vyeo hivi vyote kwa mume ndipo waweza kuona kwamba huwez kumzoea bali kila siku ni mpya ila usipoweza utajenga mazoea ambayo yataambatana na mazoea mabaya kwake. ni elimu pana kidogo na ngumu kukubalika miongoni mwetu ssi wanawake hasa ambao tunajua kusaka hela na tumesoma.
 
Nilikutana na mzee mmoja akasema wanawake wa siku hizi hajui kuomba samahani. nikamuuliza unammanisha nini?

akasema kila siku wanakuja kazi wamehuzunika na kufura ka vyura wa kiangazi na ukiwauliza kulikoni wanaeleza matatizo na kuomba ushauri. akasema hilo nalo ni kosa kutoa maneno ya ndani nje. HAPO AKAANZA SASA KUELEZA.

zamani mambo ya ndani ulikuwa huyasikii nje na wanawake wa enzi enzi walikuwa wanajua kuomba samahani hata kama kosa sio lao ni la mume. ilimradi tu mume kakasirika na kamuona yeye ndio mwenye makosa basi hujiandaa kumuweka mume kupokea samahani na kisha baadae kumjulisha ukweli.

Walifanyaje?

waliandaa chakula mapema saaana na kumkaribisha mume kwa huruma "karibu chakula mpenzi wangu!!!

baada yakula alienda chumbani kulikoandaliwa vizuri kwa ajili ya usiku maalum. na kuvaa kaniki moja.

Baada ya kula mume aliombwa kwenda kujipumzisha na alipofika tu chumbani kaniki iliyokuwa imetegeshwa kimtego ilidondowa kwa style ya aina yake na mume alikumbatiwa na kuambiwa ''nakupenda mpenzi.''

Basi Jimwanaume utasikia linasema "" lakini huwa unaniuzi saaana mpenzi''

Mwanamke anajazia '' samahani babaa''

Mwanaume "' aissiiii umenigusa hapoo, haiiii basi sogeza huku. tayari msamahaha umekubalika.

Lakini siku hizi mimwanamke inanuna tuuuuuuu na kulala kifudifudi sijui ndio style gani hiyo?

Yule mzee alimalizia kunisimulia
 
kumbe mada nzuri hivi ilinipita kuchangia, nilikuwa mtoro JF for a couple of days!

Asante sista gfsonwin kwa uzi mzuri
 
Back
Top Bottom