Namna bora ya kudhibiti nyufa

KENNY JEEZY

JF-Expert Member
Apr 19, 2015
269
267
Habari wakuu

Kuna nyumba inanisumbua na kupasaka kwa nyufa chini na ukutani na zilishawahi kuzibwa mara moja lakini naona zinaanza kujirudia vile vile kuaashiria chanzo cha nyufa bado kipo pale pale.

Katika nyumba zima si kwamba hakuna nyufa lakini chumba kimoja ndio kimeadhirika Zaidi
Kwenye picha ya kwanza niliyoweka hapa ukiaangalia bedroom 1 utaona kuna nyufa ya floor kutokea upande mmoja mpaka mwingine, na picha ya pili inaonyesha pande mbili za ukuta (magharibi na kaskazini) kumetokea nyufa zingine za mlalo panoja na wima kwa upande wa dirishani.

Wadau naombeni ushauri namna bora Zaidi ya kudhibiti nyufa hzi zisitokee tena. Eneo lenye nyumba lina udongo mfinyazi la kwenye msingi kulijazwa kwaru
house%20plan%202D%20SIDE.jpeg
west%20and%20north%20CRACK.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu
Kuna nyumba inanisumbua na kupasaka kwa nyufa chini na ukutani na zilishawahi kuzibwa mara moja lakini naona zinaanza kujirudia vile vile kuaashiria chanzo cha nyufa bado kipo pale pale.
Katika nyumba zima si kwamba hakuna nyufa lakini chumba kimoja ndio kimeadhirika Zaidi
Kwenye picha ya kwanza niliyoweka hapa ukiaangalia bedroom 1 utaona kuna nyufa ya floor kutokea upande mmoja mpaka mwingine, na picha ya pili inaonyesha pande mbili za ukuta (magharibi na kaskazini) kumetokea nyufa zingine za mlalo panoja na wima kwa upande wa dirishani.
Wadau naombeni ushauri namna bora Zaidi ya kudhibiti nyufa hzi zisitokee tena. Eneo lenye nyumba lina udongo mfinyazi la kwenye msingi kulijazwa kwaruView attachment 1024820View attachment 1024821

Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo cha nyufa huwa ni udongo wa mfinyanzi kwenye site yako, maana una tabia ya kusinyaa kiangazi na kuvimba masika. So ilitakiwa wakati wa kujenga umwagie mchanga kwenye foundation trench ndio uanze kujenga msingi pia uweke beams(lenta) za kwenye msingi na ile ya juu. Ungefanya hivyo usingeona hizo nyufa leo
 
Pole sana Marunde,
Site iko sehemu gani? Ni vizuri kutembelea site na kushauri kwenye site. Kama pesa ipo inawezekana kabisa kurekebisha na siyo kuziba kwa wire au ratio kali hapana. Iko namna mpaka ufike site kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chanzo cha nyufa huwa ni udongo wa mfinyanzi kwenye site yako, maana una tabia ya kusinyaa kiangazi na kuvimba masika. So ilitakiwa wakati wa kujenga umwagie mchanga kwenye foundation trench ndio uanze kujenga msingi pia uweke beams(lenta) za kwenye msingi na ile ya juu. Ungefanya hivyo usingeona hizo nyufa leo
Mkuu Nini cha kufanya kwa sasa
 
Back
Top Bottom