Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,217
Huyu jamaa makala zake huwa nazipenda sana. Kwanza jamaa hafungamani na upande wowote, yeye ni mzee wa kushusha nondo tu!
Nimeanza kufuatilia makala zake tangu enzi hizo yupo Rai ya ukweli hadi this time! Mara nyingi kabla sijasoma makala zake huwa nahakikisha nimeshiba, emotionally fit na sina stress zozote, kwani makala zake hunigusa pamoyo! Iwe ni local, international or kijiji based jamaa huwa anatwanga kotekote.
Haijalishi yupo uhuru, tz daima, rai, mwanahalisi etc jamaa huwa nafuata maandishi yake popote anapoandika.
Anayemfahamu vizuri jamaa naomba angalau kidogo anipe history yake, alipopitia and other things
Nimeanza kufuatilia makala zake tangu enzi hizo yupo Rai ya ukweli hadi this time! Mara nyingi kabla sijasoma makala zake huwa nahakikisha nimeshiba, emotionally fit na sina stress zozote, kwani makala zake hunigusa pamoyo! Iwe ni local, international or kijiji based jamaa huwa anatwanga kotekote.
Haijalishi yupo uhuru, tz daima, rai, mwanahalisi etc jamaa huwa nafuata maandishi yake popote anapoandika.
Anayemfahamu vizuri jamaa naomba angalau kidogo anipe history yake, alipopitia and other things