Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,060
- 4,845
Hahahaa hapo ndo utasikia marehemu kafa kwa uzembe wake RIP wcb
Bora angewacharaza tu.Tunasubiri suuu,tuachane na kila lisilo muhusu diamond, kisha wakae pembeni kama wanaweza
Wajinga sana hao,ndo mana bashite alikataa kuwaomba radhi
Biashara zake...sema biashara yake yeye anabiashara ya muziki nyingine ni biashara za watu wenye pesa zao yeye ni kikaragosi tu kinachojikweza na kujifanya hizo biashara ni zakeeDiamond hashoboki anafanya biashara....wewe unaongelea na kukosoa biashara zake wewe ndio unashoboka.
mliyasema kwa makonda sio mapya haya.Hahahaa hapo ndo utasikia marehemu kafa kwa uzembe wake RIP wcb
Sijafuatilia maisha ya mtu....akili zao za kitoto ndo zinasababisha tuuone upuuzi waoKama wewe unavyofanya biashara ya kufuatilia maisha ya wcb
GottenSijafuatilia maisha ya mtu....akili zao za kitoto ndo zinasababisha tuuone upuuzi wao
Nitaenda nikishahakikisha nyie misukule ya wcb mshaelimikanahisi huu mjadala haukutoshi nenda kwenye page ya mange au shilawadu mkamchambe mpate ahueni vifuani mwenu.
Ngoja niyahifadhi haya maneno hiv hata huyo paulo bado yupo mjinmliyasema kwa makonda sio mapya haya.
Kusaga hana beef na Diamond..
wenye beef ni Ruge na Bashite
hao WCB na Shilawadu wameingizwa tu kama chambo...na victims
Nitaenda nikishahakikisha nyie misukule ya wcb mshaelimika
Wcb wanabiashara gani kubwa wanayoimiliki wao zaidi ya muziki
nimemjibu kwamba ameshinda.Akikujibu ni Tag
Tunasubiri suuu,tuachane na kila lisilo muhusu diamond, kisha wakae pembeni kama wanaweza
Wajinga sana hao,ndo mana bashite alikataa kuwaomba radhi
Hahaaaah hawezi kujibu mkuuAkikujibu ni Tag
Kusaga anapiga na kupuliza...biashara ni kati ya kusaga, smart industry na diamond, ukitumia radio na tv za kusaga kumshambulia diamond kupitia diamond karanga uhoni kuna namna kusaga anachezesha watu ngoma anayoifahamu? kusaga knows everything na ana sehemu yake kwenye huu mgogoro.
Jibu ilitakiwa unitajie biashara yoyote wanayomiliki wcb nje ya muziki...ilitakiwa unitajie or useme hamnanimemjibu kwamba ameshinda.