Namjua aliempa Barua Beatrice shellukindo ya Kumlipua JAIRO

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,875
1,216
baada ya uchunguzi wangu wa muda mrefu nimefanikiwa kumjua Alietoa Barua ya kumlipua JAIRO.<br />
<br />
namuweka wazi,baada ya kashfa ya udini ndani ya ikulu,Jairo akiwa katibu mkuu ofisi ya Rais,Mzee wa kaya akamuhamisha kwenda wizara ya Nishati na Madini kuwa katibu mkuu ili waibe mihela,Mhasibu mkuu wa wizara ya nishati na Madini wanatoka mkoa mmoja? <br />
<br />
Wakati wakicheza huo mchezo mchafu wa kukusanya hzo pesa kwa kila idara,ndipo ile barua ikafika kwa Mh.j.makamba,makamba kwa hasira na kuwa na bifu na jairo pale ikulu akampa hyo barua B.shellukindo wote hao wanatoka tanga,ndipo kopy ikapenya mpaka kwa zito kabwe,olendeka,ndipo shellukindo akajitolea kufa nae.<br />
<br />
B.shellukindo alisema hata wakimuua hatosema kamwe,na kutokukiabisha chama cha magamba wakapg kimya.
 
ukishamjua ndiyo inatusaidia nini watanzania...inaonekana unafaasana kufanya uchunguzi hebu tufanyie uchunguzi hizo pesa nani na nani alizipokea...
 
baada ya uchunguzi wangu wa muda mrefu nimefanikiwa kumjua Alietoa Barua ya kumlipua JAIRO.

unataka kutukanwa wewe, mie sitokutukana ila nakutahadharisha.

Jairo alilipuliwa na wajumbe wa kamati ya makamba baada ya kuwatukana hasa wabunge wa CCM kwa matusi kuwa wabunge wa CCM "....mmekuwa kama COMEDY, HAMNA MSIMAMO.....". wabunge walichukia, pamoja na kula mulungula wa kupitisha bajeti hiyo katika vikao vyao, waliazimia kumharibia, ndicho kilichotokea ewe mpenda mchuzi-ZUBEDA
 
huyo ni shujaa, tukiwa na watanzania wenye tabia kama ya huyo kila idara , watatusaidia kufichu uovu dhidi ya wanyonywaji unaofanywa na serikali dharimu ya ccm
 
namuweka wazi,baada ya kashfa ya udini ndani ya ikulu,Jairo akiwa katibu mkuu ofisi ya Rais,Mzee wa kaya akamuhamisha kwenda wizara ya Nishati na Madini kuwa katibu mkuu ili waibe mihela,Mhasibu mkuu wa wizara ya nishati na Madini wanatoka mkoa mmoja? Wakati wakicheza huo mchezo mchafu wa kukusanya hzo pesa kwa kila idara,ndipo ile barua ikafika kwa Mh.j.makamba,makamba kwa hasira na kuwa na bifu na jairo pale ikulu akampa hyo barua B.shellukindo wote hao wanatoka tanga,ndipo kopy ikapenya mpaka kwa zito kabwe,olendeka,ndipo shellukindo akajitolea kufa nae.
B.shellukindo alisema hata wakimuua hatosema kamwe,na kutokukiabisha chama cha magamba wakapg kimya.

Huko Nyuma kumbe huo utaratibu ulikuwepo kwa mujibu wa serikali na baadae serikali ikaufuta kwahiyo Jairo,Luhanjo,Malima,Ngelleja wote wamekalia kuti kavu ila kwa ujinga wa serikali yetu na maovu yao wanayao yafanyaga watabebana tuuu au mmoja wao lazima awe mbuzi wa kafara, Na kitendo cha serikali kusema huo utaratibu haupo ni kuepusha balaaa lisikute wizara nyingine na serikali yenyewe kujisafisha na kuwawawajibisha walio husika

NB;
CAG alipo kuwa akikagua hakujua sheria ya nchi hairuhusu mamabo hayo iweje nae hakutoa comment zake za kisomi kuwa procedure yote ile walio ikagua was wrong kisheria kwanza then akague pili washitaki kwa kufuja pesa ya UMMA na wale walio kuwa wakishangilia which means wawe mashahidi wa kwanza kwenye kesi kani wote walishiriki kukusanya hizo pesa

TAKUKURU ndio bogasi number 1, wao hawana report yeyote na hawakuongea sasa hamuoni kuwa serikali inajikanganya yenyewe na kuwa ni hao hao viongozi ndio wezi wakubwa na kujifanya hawaijui sheria na taratibu za nchi na hizo wizara, My question kwanini TAKUKURU wako kimya mpaka sasa kuhusu report yao ya Jairo??
 
huyo ni shujaa, tukiwa na watanzania wenye tabia kama ya huyo kila idara , watatusaidia kufichu uovu dhidi ya wanyonywaji unaofanywa na serikali dharimu ya ccm

Haya mambo tena. Unaiita serikali ya "kidhalimu ya ccm" wakati wewe mwenyewe umejirembesha na picha ya Ben wewe vipi???
 
baada ya uchunguzi wangu wa muda mrefu nimefanikiwa kumjua Alietoa Barua ya kumlipua JAIRO.

Uchunguzi wako ni wa umbea
namuweka wazi,baada ya kashfa ya udini ndani ya ikulu,Jairo akiwa katibu mkuu ofisi ya Rais,Mzee wa kaya akamuhamisha kwenda wizara ya Nishati na Madini kuwa katibu mkuu ili waibe mihela,Mhasibu mkuu wa wizara ya nishati na Madini wanatoka mkoa mmoja?

Wakati wakicheza huo mchezo mchafu wa kukusanya hzo pesa kwa kila idara,ndipo ile barua ikafika kwa Mh.j.makamba,makamba kwa hasira na kuwa na bifu na jairo pale ikulu akampa hyo barua B.shellukindo wote hao wanatoka tanga,ndipo kopy ikapenya mpaka kwa zito kabwe,olendeka,ndipo shellukindo akajitolea kufa nae.

B.shellukindo alisema hata wakimuua hatosema kamwe,na kutokukiabisha chama cha magamba wakapg kimya.

Uchunguzi wako sio wa kisayansi bali ni wa umbeya na nitakutolea sababu. Wikileaks abao ni mtandao unaoaminika duniani kote na watu wenye akili timamu ,ulianisha kwa undani sana jinsi Kikwete alivyojitahidi kuwaombea vijana wake wawili January Makamba na Jairo ili waweze kufadhiliwa na Marekani kwenda kujiongezea elimu. Hili linaonesha wazi kuwa Rais aliamini na kwa ukweli kuwa wawili hawa wangeweza kufanya kazi pamoja kwa ufanisi ili kuongeza tija pale Ikulu; hivyo basi haingii akilini kuwa January anaweza kumsaliti Jairo na huku akijua ukaribu wake na Rais na pia yeye January ukaribu wake na wote wawili. Naomba kuwasilisha.
 
baada ya uchunguzi wangu wa muda mrefu nimefanikiwa kumjua Alietoa Barua ya kumlipua JAIRO.<br />
<br />
namuweka wazi,baada ya kashfa ya udini ndani ya ikulu,Jairo akiwa katibu mkuu ofisi ya Rais,Mzee wa kaya akamuhamisha kwenda wizara ya Nishati na Madini kuwa katibu mkuu ili waibe mihela,Mhasibu mkuu wa wizara ya nishati na Madini wanatoka mkoa mmoja? <br />
<br />
Wakati wakicheza huo mchezo mchafu wa kukusanya hzo pesa kwa kila idara,ndipo ile barua ikafika kwa Mh.j.makamba,makamba kwa hasira na kuwa na bifu na jairo pale ikulu akampa hyo barua B.shellukindo wote hao wanatoka tanga,ndipo kopy ikapenya mpaka kwa zito kabwe,olendeka,ndipo shellukindo akajitolea kufa nae.<br />
<br />
B.shellukindo alisema hata wakimuua hatosema kamwe,na kutokukiabisha chama cha magamba wakapg kimya.
<br />
<br />
acha umbea usije ukasutwa bureeee!
 
baada ya uchunguzi wangu wa muda mrefu nimefanikiwa kumjua Alietoa Barua ya kumlipua JAIRO.

namuweka wazi,baada ya kashfa ya udini ndani ya ikulu,Jairo akiwa katibu mkuu ofisi ya Rais,Mzee wa kaya akamuhamisha kwenda wizara ya Nishati na Madini kuwa katibu mkuu ili waibe mihela,Mhasibu mkuu wa wizara ya nishati na Madini wanatoka mkoa mmoja?

Wakati wakicheza huo mchezo mchafu wa kukusanya hzo pesa kwa kila idara,ndipo ile barua ikafika kwa Mh.j.makamba,makamba kwa hasira na kuwa na bifu na jairo pale ikulu akampa hyo barua B.shellukindo wote hao wanatoka tanga,ndipo kopy ikapenya mpaka kwa zito kabwe,olendeka,ndipo shellukindo akajitolea kufa nae.

B.shellukindo alisema hata wakimuua hatosema kamwe,na kutokukiabisha chama cha magamba wakapg kimya.

Dahh!!!!! Dada we genious kweli, nadhani unaitumia masaburi yako vizuri.
 
baada ya uchunguzi wangu wa muda mrefu nimefanikiwa kumjua Alietoa Barua ya kumlipua JAIRO.

namuweka wazi,baada ya kashfa ya udini ndani ya ikulu,Jairo akiwa katibu mkuu ofisi ya Rais,Mzee wa kaya akamuhamisha kwenda wizara ya Nishati na Madini kuwa katibu mkuu ili waibe mihela,Mhasibu mkuu wa wizara ya nishati na Madini wanatoka mkoa mmoja?

Wakati wakicheza huo mchezo mchafu wa kukusanya hzo pesa kwa kila idara,ndipo ile barua ikafika kwa Mh.j.makamba,makamba kwa hasira na kuwa na bifu na jairo pale ikulu akampa hyo barua B.shellukindo wote hao wanatoka tanga,ndipo kopy ikapenya mpaka kwa zito kabwe,olendeka,ndipo shellukindo akajitolea kufa nae.

B.shellukindo alisema hata wakimuua hatosema kamwe,na kutokukiabisha chama cha magamba wakapg kimya.
Uchunguzi wako feki, hivi huoni hapo kwenye RED barua ilifika yenyewe? Tafadhali jaribu tena baadae.
 
peleka upumbavu wako pale ofisi ndogo Lumumba sio humu kwenye watu wanaofikiria kwa viwango vya juu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom