Maki J
Senior Member
- Mar 22, 2017
- 154
- 162
Ndugu zangu habari zenu najua kwa sasa Hali ni tete....Ila hoja yangu ni tofauti na yanayo endelea ktk social network.Nampango wa kuumia Namibia so mwenyewe information zozote kuhusu maisha ya huko anijuze,ikiwemo,biashara,nyumba za kuishi....yani kwa kifupi living coast ya Namibia......natanguliza shukrani zangu za dhati