Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Popote mlipo mie ZD nimewamisi mnooo yani....kwa kifupi nimewakosa na nawatamani.....
Nazikumbuka sana ofutopik zenu....
Wapwa wote mkiwakilishwa na : Geoff,Nguli,Chrispin,bht,Sipo,MJ1,Fidel80,Nyamayao,JS,Kaizer,GS,Pakajimy,Kimey,Dreamliner,
Dawomanizer,MwitaMaranya,Lilyflower,Masaki,Bala,Bigirita,FL1 n.k n.k
Hata hivyo nasikia kuna mabadiliko mengi kiasi:
.....siku hizi baadhi ya wapwa nasikia wamechakachuliwa na wachina na wamejiunga kwenye ISC,
......Wengine wamebatizwa upya,eti akina teamo,Asprin na nani sijui.
Mbarikiwe sana na Bwana.mie nawaombea sana ili mkombolewe kutoka kwa mwovu infi.
Salamu nyingi kwa Wapwa wapya na mabinamu wote.
Lidumu jukwaa imara la MMU- chombo cha kurekebisha tabia za akina DaSophy .
:israel::israel::israel:
Nazikumbuka sana ofutopik zenu....
Wapwa wote mkiwakilishwa na : Geoff,Nguli,Chrispin,bht,Sipo,MJ1,Fidel80,Nyamayao,JS,Kaizer,GS,Pakajimy,Kimey,Dreamliner,
Dawomanizer,MwitaMaranya,Lilyflower,Masaki,Bala,Bigirita,FL1 n.k n.k
Hata hivyo nasikia kuna mabadiliko mengi kiasi:
.....siku hizi baadhi ya wapwa nasikia wamechakachuliwa na wachina na wamejiunga kwenye ISC,
......Wengine wamebatizwa upya,eti akina teamo,Asprin na nani sijui.
Mbarikiwe sana na Bwana.mie nawaombea sana ili mkombolewe kutoka kwa mwovu infi.
Salamu nyingi kwa Wapwa wapya na mabinamu wote.
Lidumu jukwaa imara la MMU- chombo cha kurekebisha tabia za akina DaSophy .
:israel::israel::israel: