Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmhhh mkuu nimepewa tahathari tangu mwanzo hapa sio Kama facebook, hata hivyo weka kwanza ya kwako tuioneHauna hata kapicha tukuone mkuu paskalina? Ingenoga zaidi
Mbona ipo hapoo?Mmmhhh mkuu nimepewa tahathari tangu mwanzo hapa sio Kama facebook, hata hivyo weka kwanza ya kwako tuione
nazungumzia picha yako ya ukweliukweli ndio wewe hapo kwenye avatar?Mbona ipo hapoo?
Hunioni?
Ndio mkuunazungumzia picha yako ya ukweliukweli ndio wewe hapo kwenye avatar?
Unataka uniingize chaka eehh, hunipati ng'ooo mkuuNdio mkuu
Kweli mkuu,mimi ni huyo,sema ni mkubwa kwa kwenda chiniUnataka uniingize chaka eehh, hunipati ng'ooo mkuu
Kitu wanaita PM,unaweza nitumia kule mkuu,nikuone tuu niridhikeUnataka uniingize chaka eehh, hunipati ng'ooo mkuu
Sitaki kujulikana na wasiojulikanaAu kuna
Kitu wanaita PM,unaweza nitumia kule mkuu,nikuone tuu niridhike
Najulikana mkuu na mashaidi wapo wasio na shaka yeyoteSitaki kujulikana na wasiojulikana
Au kuna
Kitu wanaita PM,unaweza nitumia kule mkuu,nikuone tuu niridhike
Utafundishwa mkuuRidhika tu hivyohivyo kwa jina mkuu huko pm mi sikujui
RUDI BAADAYE BWANA HATUTAKI WAGENIKama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimefurahi kujiunga leo na jf nilikuwa natamani sikumoja nami nichangie mada, hatimae imekua.
Mgeni ni baraka mkuu, au hutaki baraka?RUDI BAADAYE BWANA HATUTAKI WAGENI
Thanks stephot, nimeshakua mwenyeji sasa, be blessedKaribu sana..
Hivi ni kweli una sifa hiyo ya u- Mrs?Jisikie upo nyumbani Mrs.Paskalina
O0ooooh! mkuu paskalina pita ndani bwana, nilidhani yule mgeni aneye fanya timing ya chai asubuhi....umekuja na kuku mkuu? au shuka make mashuka hatuna.vinginevyo utajifunika ngumi. na mbu wa dar. DU uu uu! uuhe!Mgeni ni baraka mkuu, au hutaki baraka?
huhuhuuuuu, mkuu nimefungasha zawadi hatari, nini kuku, mpaka kitanda nimebeba, hahaaaaa!O0ooooh! mkuu paskalina pita ndani bwana, nilidhani yule mgeni aneye fanya timing ya chai asubuhi....umekuja na kuku mkuu? au shuka make mashuka hatuna.vinginevyo utajifunika ngumi. na mbu wa dar. DU uu uu! uuhe!