johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Kwani hao wanyonge ni kina nani kama siyo hawa hawa aina ya akina Pierre wanaotumia kila ubunifu kujikwamua.
Ikumbukwe mh Ngeleja tangu amdharirishe na kumfukuzisha kazi yule mlinzi wa ATM aliyemuomba mh waziri ( Ngeleja) asiongee na simu ndani ya kibanda cha ATM kwa kuwa anasababisha foleni kubwa, Nyota ya Ngeleja kisiasa imezimika na amesahaulika.
Wanasiasa jitahidini kuwa makini na ndimi zenu.
Jumapili ijayo ni SB ya mitende/ matawi
Maendeleo hayana vyama!
Ikumbukwe mh Ngeleja tangu amdharirishe na kumfukuzisha kazi yule mlinzi wa ATM aliyemuomba mh waziri ( Ngeleja) asiongee na simu ndani ya kibanda cha ATM kwa kuwa anasababisha foleni kubwa, Nyota ya Ngeleja kisiasa imezimika na amesahaulika.
Wanasiasa jitahidini kuwa makini na ndimi zenu.
Jumapili ijayo ni SB ya mitende/ matawi
Maendeleo hayana vyama!