EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 1,667
- 2,864
yowadah poa kaka ngoja niskilizie,kwaiyo saiz umerud official?
yowadah poa kaka ngoja niskilizie,kwaiyo saiz umerud official?
Huko nako si watu wanaliayowa
huku hakun iyo na ban ni kwa namb ya tigo san sanHuko nako si watu wanalia
Bila shaka uko kwenye ile group ya GB Mod official ya Telegram.Gb whatsapp mpya 6.95 ina anti ban..mim nmetulia uko
Bila shaka uko kwenye ile group ya GB Mod official ya Telegram.
Naona kuna jamaa wanadai washakumbwa na Ban,
Mie jana ilinikuta japo sikumbuki nilikua natumia version ipi
Mie nilikua najiamini 110% lakini nimedakwa jana saa 11 na nipo katika ile group ya ma admin wa Gb wasapSipo huko mkuu...ila bado nasubria kudakwa
Mie nilikua najiamini 110% lakini nimedakwa jana saa 11 na nipo katika ile group ya ma admin wa Gb wasap
Wapo wanaodai ver 6.95 ina antiban lakini kuna wadau hapa sahivi online wanadai wamedakwa tena.
Cha zaidi jiandae kwa kufanya back up ili ukidakwa utamove chats zako tu bila kuzipoteza.
Yawezekana ukapona mkuu,Okey mkuu...ngoja nifanye backup mapema.. mana dah
Yo Whatsapp ngoma inogile.
View attachment 1126952
Hey.. RelaxWatumiaji wa WhhatsApp GB,FM sjui na unofficial WhatsApp zote msije mkasema hamku ambiwa ....mana mnaona raha wengine Mna hide viewing status vibility status hamuombi mna download tuu chap basi mnajiona wataalam
point ya msingi kufanya hvyo ni kinyume na policy za WhatsApp
...ni hivi kuzitumia hizo WhatsApp feki ni against privacy and police za WhatsApp,,,hizo WhatsApp feki zina mambo mengi sana ambayo kwenye WhatsApp ya kawaida hamna na hizo ndio privacy ,,,,,
kam kudownload status ,copy caption kwenye pics ,,freezing least seen ,auto reply yani kuna vikolo kolo viingi ambavyo WhatsApp official sio kwamba walishindwa kuviweka no . .ni police na ni sheri za chating platform yoyotee
Usidhani walikua hawajui kama izo WhatsApp feki zipo ,,wanajua Sana'a ila walikua wanawazoom
Sana naona wamekuja na plan kuzitokemeza watumiaji wa hizo WhatsApp feki wanakula ban tuu skuiz
wanaanza na masaa ukiwa mbishi wana haamia siku usipo badirika basi wana kupiga ban maisha yani namba yako haita weza kutumika WhatsApp teeena labda uibadiri ...
Niwape tuu angalizo sijui mna zipendea nni hizo WhatsApp feki ila zitawacost...
Kwasasa tuna dunda tu maana developer wa hizo Application wameweka ANTI BAN.
Binafsi huniambii kitu kuhusu YoWhatsApp.
wameleta ant ban ,huwezi kufungiwa tenaMm nmerud nyumbani.....sio kwa ile ban
Hiyo ikoje?? Hebu nielekeze maana hiyo whatsap messenger inaniboa sanawameleta ant ban ,huwezi kufungiwa tena
Mm naona kama katoa tu ushauri ni wewe tu kuuzingatia au kuachana nao basiMbona kama wewe ndo unaumia zaidi kuliko sie watumiaji? Au mkeo ka hide status zake usione nini?