kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,133
- 6,096
Bado sijafikiwa. Nasubiri hiyo siku.ila nitaumia sana kuikosa Yowhatsapp.Siku nyingi sana tu wameamua kuondoa mods za watsap zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijafikiwa. Nasubiri hiyo siku.ila nitaumia sana kuikosa Yowhatsapp.Siku nyingi sana tu wameamua kuondoa mods za watsap zote
Bado sijafikiwa. Nasubiri hiyo siku.ila nitaumia sana kuikosa Yowhatsapp.
Ndo maana natumia GB Whatsapp nigga...sio kila kitu lazima nikifanye mimi...Tengeneza la kwako
Poa ma niccaNdo maana natumia GB Whatsapp nigga...sio kila kitu lazima nikifanye mimi...
Aisee hii mimi bado nakula ban kama kawa.
Gbwhatsapp plus ndio ilikubali ila kuna features sijaziona mule.
Mtoto wa kiume unatumiaje GB whatsapp?
Wanawake ndo wanatumia vitu bandia! Mawigi,kucha,kope,matako,maziwa,GB whatsapp,Yo whatsapp,Tm whatsappMtoto wa kiume anatumiaje vitu Official?
Wanawake ndo wanatumia vitu bandia! Mawigi,kucha,kope,matako,maziwa,GB whatsapp,Yo whatsapp,Tm whatsapp
Unaswali?
kuna jamáa Angu alisema yeye Ana undugu na GBUsijali hizi ban ni kama kifo,usione hujapigwa ban ukadhan hazipo ila ikifika zamu yako ndo utajua.....
Undugu wao bado unaendelea ama umekufa😀😀😀😀😀kuna jamáa Angu alisema yeye Ana undugu na GB
unadakwa sasa hiviiiGb whatsapp mpya 6.95 ina anti ban..mim nmetulia uko
unadakwa sasa hiviii
Miaka 100
Sawa mkuu naona unaniombea mabayapoa utaleta mrejesho ck c nying
Sawa mkuu naona unaniombea mabaya
ckuombei mabay cz hat m niliitumia mda iyo version nikatamb sipigwi ban sa mbili usiku nikala ban ya masaa 20