lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,928
- 3,340
Wacha uongo.Mimi nimerudi nyumbani japo hakuja noga.
Maana ukila ban mzee baba hiyo namba hutoweza itumia tena kwenye WhatsApp.
SangaweJr
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha uongo.Mimi nimerudi nyumbani japo hakuja noga.
Maana ukila ban mzee baba hiyo namba hutoweza itumia tena kwenye WhatsApp.
SangaweJr
Mbona hakuna izo settings za online statusmfungue mtu the bonyeza vidoti vitatu utakuta settings kibao hapo
Uongo wangu utaujua ukila BAN. kama unajua maana ya BAN.
Nilivyoelewa ni kwamba wanakupiga bun kutumia third parties Ila ukitumia official haina shidaUongo wangu utaujua ukila BAN. kama unajua maana ya BAN.
Kama hujawahi experience hili jambo, usi comment vitu usivyo vijua, uzuri wao wamesema tu TEMPORARY BAN.
So hiyo namba itakuwa haikubali kutumia WhatsApp kwa muda, au hadi utume ujumbe kuomba iruhusiwe kutumia WhatsApp.
SangaweJr
Kama upendo upo ndani ya ndoa its enough, love wins all, unaweza ukawa na magunia ya pesa ila ndoa ikakusumbua kwa sababu tu hakuna upendo...upendo ndio kila kitu hayo mengine yanatatulika kwa nguvu ya upendo...wanaosema mapenzi ni pesa ni wendawazimuPesa ikikosekana ndani na ndoa inakuwa chungu
Kwanini wasiwazuie na kuwashtaki developers wa GB WhatsApp? Kunipa ban Mimi ni kunionea.Nilivyoelewa ni kwamba wanakupiga bun kutumia third parties Ila ukitumia official haina shida
Habari!
Kuna mtu aliwahi kutupa habari kuwa namva hizi zitafungiwa soon....!!
Lakini tukapuuzia wengi, nadhani wachache walijali hilo.
Sasa jana namba ya rafiki yangu aliyokua ame down load unofficial app ile "yowhatsapp" amefungiwa kutotumia whatsapp milele kwa namba ile.
"this number 06******* banned from using whatsapp"
Ila GB whatsapp bado inatumika...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikielewa nitakomenti