Muanzilishi wa Thread hii umenifurahisha kuwa wewe ni miongoni mwa watanzania wachache sana ambao wanafahamu na kutumia code za simu kama zinavyotakiwa:
071 xxx xxxx - tigo
073 xxx xxxx - ttcl
075 xxx xxxx - vodacom
076 xxx xxxx - ''
077 xxx xxxx - zantel
... na kadhalika na sio 0715 xxx xxx, 0716 xxx xxx, 0754 xxx xxx na kadhalika kama tulivyozoeshwa kusoma na hizi kampuni za simu!! Code za namba za simu ni tarakimu tatu tu jamani na zinazofuata zote ni namba ya mteja! Unapoulizwa nambayako seme "Namba yangu ni Sifuri Saba Moja, na kadhalika.......!!! na sio "Sifuri Saba Moja Tano, ....!!!!!