kabatimpya
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 231
- 214
Habarini wakuu.
Kama nilivyoelezea hapo juu.niende mwenye hoja.
Wiki iliyopita nilileta humu matatizo yangu ya kusumbuliwa na ugonjwa wa koo.
Nilielezea kwa undani tatizo lilivyo na vipimo nilivyoishafanyiwa.
Niliomba humu msaada wa ushauri au mwenye kuelewa hili tatizo dawa yake.
Nikaeleza kuwa hata nauli nimeishiwa.nilijiroga kuweka namba zangu za simu humu.
Nasema nilijiroga sababu niliambulia majibu mengine yenye dhihaka ndogo na kubwa.
Eti nipeleke beberu bikra na kuku mzee mwenye manyoya ya kijani.mwingine akaja kivingine kabisa.Tezi Dume na kuumwa koo wapi mpaka wapi? Tena nipimwe kwa njia ya asili mmhhh.
Tuwe tunajaribu kuwa na maono.mie sikuomba msaada na Yale mapovu mnayosemaga humu.hata hivyo kikubwa niliomba ushauri au aina za dawa zitakazonisaidia..
Kama nilivyoelezea hapo juu.niende mwenye hoja.
Wiki iliyopita nilileta humu matatizo yangu ya kusumbuliwa na ugonjwa wa koo.
Nilielezea kwa undani tatizo lilivyo na vipimo nilivyoishafanyiwa.
Niliomba humu msaada wa ushauri au mwenye kuelewa hili tatizo dawa yake.
Nikaeleza kuwa hata nauli nimeishiwa.nilijiroga kuweka namba zangu za simu humu.
Nasema nilijiroga sababu niliambulia majibu mengine yenye dhihaka ndogo na kubwa.
Eti nipeleke beberu bikra na kuku mzee mwenye manyoya ya kijani.mwingine akaja kivingine kabisa.Tezi Dume na kuumwa koo wapi mpaka wapi? Tena nipimwe kwa njia ya asili mmhhh.
Tuwe tunajaribu kuwa na maono.mie sikuomba msaada na Yale mapovu mnayosemaga humu.hata hivyo kikubwa niliomba ushauri au aina za dawa zitakazonisaidia..