Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,580
- 4,262
Sijui ni nani anahusika ku huisha namba za Ofisi za Serikali kama za Mawaziri/Wizara, Wakuu wa mikoa, Wilaya, Hospitali za Mikoa, Hospitali kuu za Wilaya na taasisi nyingi za Serikali kwenye mtandao kwani namba nyingi zilizopo zilishafungiwa au zimebadilika.
Naamini kutokuwa na namba za simu sahihi za Idara/mashirika ya Serikali, huchangia Vijana wengi kuishia kuandika malalamiko kwenye mitandao, badala ya kuwasiliana moja kwa moja na ofisi husika.
Naamini kutokuwa na namba za simu sahihi za Idara/mashirika ya Serikali, huchangia Vijana wengi kuishia kuandika malalamiko kwenye mitandao, badala ya kuwasiliana moja kwa moja na ofisi husika.