Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 347
Ndugu zangu,
Asalaam aleikum!
Mimi na ndugu zangu tumekuwa tukisumbuliwa na matapeli ambao wamekuwa wakijitambulisha kwa jina la Dr. Mwakalinga na Dr. Emmanuel. Dr. Mwakalinga akipiga anasema ametokea Mbeya na amepata ajali. Pia anasema yeye ni engineer huko Rukwa, anachimba visima na anataka agent wakununua dawa za kuweka kwenye visima! Mwezi wa 2 alisema hivyo hivyo kwamba amepata ajali. Mwezi wa 7 akasema hivyo hivyo na hivi wiki juzi amesema hivyo hivyo.
Huyu Dr. Emmanuel anasema alikua Muhimbili na sasa yuko Serengeti kahamishiwa juzi. Lakini amekuwa akidai hivyo tangu mwezi wa 4, na eti anauza kemikali. Sijui ni kemikali zipi! Isije ikawa hawa ndo wasambazzaji wa tindikali! Mi niligundua ni matapeli .
Namba wanazotumia ni 0686 555532 (Dr. Emmanuel) na 0688 616940 ya Dr. Mwakalinga au Engineer Mwakalinga. Naamini majina wanayoyatumia ni yabandia. Ila kuweni macho na matapeli hawa. Airtel watusaidie kuwabaini kwamba wamejisajili kwa majina yapi?
Nawasilisha.
Asalaam aleikum!
Mimi na ndugu zangu tumekuwa tukisumbuliwa na matapeli ambao wamekuwa wakijitambulisha kwa jina la Dr. Mwakalinga na Dr. Emmanuel. Dr. Mwakalinga akipiga anasema ametokea Mbeya na amepata ajali. Pia anasema yeye ni engineer huko Rukwa, anachimba visima na anataka agent wakununua dawa za kuweka kwenye visima! Mwezi wa 2 alisema hivyo hivyo kwamba amepata ajali. Mwezi wa 7 akasema hivyo hivyo na hivi wiki juzi amesema hivyo hivyo.
Huyu Dr. Emmanuel anasema alikua Muhimbili na sasa yuko Serengeti kahamishiwa juzi. Lakini amekuwa akidai hivyo tangu mwezi wa 4, na eti anauza kemikali. Sijui ni kemikali zipi! Isije ikawa hawa ndo wasambazzaji wa tindikali! Mi niligundua ni matapeli .
Namba wanazotumia ni 0686 555532 (Dr. Emmanuel) na 0688 616940 ya Dr. Mwakalinga au Engineer Mwakalinga. Naamini majina wanayoyatumia ni yabandia. Ila kuweni macho na matapeli hawa. Airtel watusaidie kuwabaini kwamba wamejisajili kwa majina yapi?
Nawasilisha.