Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,813
- 8,662
HABARINI.
Namba yangu ya nida AU national identity number NIN nikijaza sehem zinazo ihitaji au kupata nakala ya kitambulisho hicho nambiwa namba hiyo haipo wakati mwanzo nilikiwa natumia hata kwa kuhakiki lain ya kwa usajili wa vidole vodacom.
Kama kuna anae jua au ishauri nini nifanye tafadhari naomba awasilishe humu
asanteni by Trained bender
Namba yangu ya nida AU national identity number NIN nikijaza sehem zinazo ihitaji au kupata nakala ya kitambulisho hicho nambiwa namba hiyo haipo wakati mwanzo nilikiwa natumia hata kwa kuhakiki lain ya kwa usajili wa vidole vodacom.
Kama kuna anae jua au ishauri nini nifanye tafadhari naomba awasilishe humu
asanteni by Trained bender