Namba ya kuondoa tatizo la kuishiwa mafuta bila kujua

Ila mwansngu we mbishi aisee,,, pole lakini


Mkuu apo kwenye O2 sensor umenigusa. Hili kweli ni tatizo watu hudharau sana mimi ni victim wa hii sensor na nilisema sifanyagi tena upuuzi nlioufanya. Gari yangu iliwaka check engine nikaifanyia service, nilijua mambo ya service tu. kitu bado kimewaka, nikachomoa betri kureset baada ta muda ilawaka tena. Nikaifanyia diagnosis naambiwa o2 sensor imebuma. Ah mi nikachukulia powa coz sikuona any difference katika ulaji wa mafuta. Matatizo yakaanza, gari ikaanza kumiss wakati iko idle tu na pale ukitoka kuondoka, nikabadili coil zote na kuweka plug mpya, ngoma haijakubali iko vile vile. Ilikuwa inaniboa mana mi cpendi kuzima gari nkiwa nimesimama nakutia story na mtu. Sinabudi ilabidi nikomae nayo tu ivo ivo. Kumbe huku mashine kidogo kidogo inaanza kupoteza uhai. Nikaanza kusikia sauti kutoka kwenye mashine tapping sound, nikampelekea fundi akanambia kuwa anahisi ni km mlio wa engine knock. Ila alinambia kuwa haina shida coz mlio haukuwa wa kutisha. Jengibe likazaliwa oil pump ikaanza kufail. Ukiwasha gari oil haipandi mpaka ufanye race kdg, na kama nipo idle muda mreeefu oil haipandi hili lakini lilizuka baada ya kutumia synthetic oil, nikachange nakuweka ya kawaida bado, sikuchukulia serious coz niliona inapanda tu nikirace nikawa nazima gari nikiwa na idle kwa mda kuepusja kurace kila wakati. Nilikosa amani kutokana na mlio wa engine knock nkafanya diagnosis nyengine error ikaja ya O2 na knock sensor, nikajua hizi sensor zimefeli, ilikuwa rahisi kuzipata nikachange lkn stil same error. Kawaida panapokuwa na engine knock na kuna knock sensor imedetect hio knock, ecu inatakiwa ifanye correction. Lakini ecu imeshindwa kufanya correction sawasawa coz O2 sensor inata value ambazo hazichange kutokana na hali ilivyo.

Niliendelea kuendesha tu ivo ivo coz niliona hakuna serious ishu. Siku moja nilikutana na mbishi njiani akataka kushindana mi nikakamua gari, kosa langu nkasahau kama nimeganda gia namba tatu, alafu nishafika rev limit, nilijua nishamaliza gia, nilikaa kwenye rev limit kwa sekunde nyingi za kutosha kusababisha matatizo katika engine, jamaa nlimpita, ata nafika destination gari ikakata moto. Kabla kuiwasha nikatizama temperature iko sawa, nikaipiga moto ikawaka lkn ule mlio wa knock sasa ndio umekuwa serious, mana nlikuwa naisikia kabisa piston unavogonga kaaaavu kavu kabisa!!! Sasa nimechange mashine mana haikutengenezeka nimeweka nyengine na sensor ya O2 nyengine! Saiv nakula raha tu.


Ukiona check engine imewaka ni vyema uifanyie diagnosis na usikimbilie service tu na ikikwambia O2 sensor basi usichelewe kutafuta nyengine ukaweka
 
Vituo vyote vya Total wanauza fuel treatment. Ukiwa Dar, bei ni 7,500 kwa diesel fuel treatment. Mikoani bei ni 10k.

Hizo Petrol treatment watu hawajui tu,zinachukua uchafu kwny tank na kupelekea ku-cloge injector noozles na hapo utaanza shughuli nyingine tena.

Kwa muda mfupi hauta ona madhara yake lkn in long run inaleta madhara kwenye pumps,injectors, seals na oxygen sensors.
 
Asanteni Nyote. Kwa swala la Fuel treatment, kweli inasaidia sana hata kama ndani ya tank kuna uchafu au maji, lakini pia inashauliwa kuweka hiyo dawa wakati umejaza full tank (soma maelezo yake kabla ya kuitumia), mi huwa naitumia walau kila mwezi. Huwa nanunua Total Petrol Stations, zinauzwa 10,000/- si shauri kununua za mtaani sawa na Radiator coolant, tujifunze kununua vitu genuine!

Na unadhani hizo fuel treatments zikishachukua huo uchafu ndani ya tank then huo uchafu unapelekwa wapi mkuu?
 
Mkuu apo kwenye O2 sensor umenigusa. Hili kweli ni tatizo watu hudharau sana mimi ni victim wa hii sensor na nilisema sifanyagi tena upuuzi nlioufanya. Gari yangu iliwaka check engine nikaifanyia service, nilijua mambo ya service tu. kitu bado kimewaka, nikachomoa betri kureset baada ta muda ilawaka tena. Nikaifanyia diagnosis naambiwa o2 sensor imebuma. Ah mi nikachukulia powa coz sikuona any difference katika ulaji wa mafuta. Matatizo yakaanza, gari ikaanza kumiss wakati iko idle tu na pale ukitoka kuondoka, nikabadili coil zote na kuweka plug mpya, ngoma haijakubali iko vile vile. Ilikuwa inaniboa mana mi cpendi kuzima gari nkiwa nimesimama nakutia story na mtu. Sinabudi ilabidi nikomae nayo tu ivo ivo. Kumbe huku mashine kidogo kidogo inaanza kupoteza uhai. Nikaanza kusikia sauti kutoka kwenye mashine tapping sound, nikampelekea fundi akanambia kuwa anahisi ni km mlio wa engine knock. Ila alinambia kuwa haina shida coz mlio haukuwa wa kutisha. Jengibe likazaliwa oil pump ikaanza kufail. Ukiwasha gari oil haipandi mpaka ufanye race kdg, na kama nipo idle muda mreeefu oil haipandi hili lakini lilizuka baada ya kutumia synthetic oil, nikachange nakuweka ya kawaida bado, sikuchukulia serious coz niliona inapanda tu nikirace nikawa nazima gari nikiwa na idle kwa mda kuepusja kurace kila wakati. Nilikosa amani kutokana na mlio wa engine knock nkafanya diagnosis nyengine error ikaja ya O2 na knock sensor, nikajua hizi sensor zimefeli, ilikuwa rahisi kuzipata nikachange lkn stil same error. Kawaida panapokuwa na engine knock na kuna knock sensor imedetect hio knock, ecu inatakiwa ifanye correction. Lakini ecu imeshindwa kufanya correction sawasawa coz O2 sensor inata value ambazo hazichange kutokana na hali ilivyo.

Niliendelea kuendesha tu ivo ivo coz niliona hakuna serious ishu. Siku moja nilikutana na mbishi njiani akataka kushindana mi nikakamua gari, kosa langu nkasahau kama nimeganda gia namba tatu, alafu nishafika rev limit, nilijua nishamaliza gia, nilikaa kwenye rev limit kwa sekunde nyingi za kutosha kusababisha matatizo katika engine, jamaa nlimpita, ata nafika destination gari ikakata moto. Kabla kuiwasha nikatizama temperature iko sawa, nikaipiga moto ikawaka lkn ule mlio wa knock sasa ndio umekuwa serious, mana nlikuwa naisikia kabisa piston unavogonga kaaaavu kavu kabisa!!! Sasa nimechange mashine mana haikutengenezeka nimeweka nyengine na sensor ya O2 nyengine! Saiv nakula raha tu.


Ukiona check engine imewaka ni vyema uifanyie diagnosis na usikimbilie service tu na ikikwambia O2 sensor basi usichelewe kutafuta nyengine ukaweka
Thanks...it is very educative
 
Na mimi nilikuwa na swali kama hilo...ngoja tuone wajuvi watatujuzaje...

lakini mimi nadhani jambo la msingi ni kujenga tabia ya kuweka mafuta kwenye vituo vinavyoaminika...
Tuachane na mafuta ya kuuziwa uchochoroni..kwa mfano lori la mafuta limeanguka watu wanachota mafuta ambayo yametiririka kwenye mifereji, unauziwa mafuta hayo....lazima tu yatakusumbua....tusipende bei rahisi sana itatugharimu sana siku zijazo
Na unadhani hizo fuel treatments zikishachukua huo uchafu ndani ya tank then huo uchafu unapelekwa wapi mkuu?
 
Wadau salama?
Naona sasa imekuwa kawaida kukuta either mtu ana kidumu cha mafuta au ghafla gari imeishiwa mafuta Barbarani.

Kimsingi kila aina ya gari au chombo cha moto kina reserve kiasi cha mafuta kama taarifa kwa anae tumia hicho chombo ili achukue tahadhari.

Pikipi zote zina reserve ya Lita moja na ikibaki hiyo moja lazima pikipiki yako izime kwanza then ndo uweke nob ya kuruhusu mafuta kwenye reserve halafu uwashe ili uendelee kutumia.

Gari zote zina reserve ya Lita kumi na hii ni international std na ndo maana taa ya mafuta ikiwaka tu basi ujue umebakiza lita kumi.

Sasa hapa ndo inabidi munielewe kwa umakini.

Taa ya mafuta ikiwaka unatakiwa u reset odometer yako ile ya Trip A au Trip B, kurudi zero ili kwamba ikifikia uwe unajua umetembea umbali gani kabla ya kuongeza mafuta.

Ulaji wa mafuta hutegemeana na aina ya engine, gari, umri wake, hali ya hewa, aina ya Barabara, mzigo n.k n.k ila std car hutumia kati ya wastani wa 1ltr kwa 7 to 10kms. Sasa sisi tuchukulie ile ndo ya 7km hivyo basi hutatakiwa kuzidi 70 kilometers kabla ya kuongeza mafuta kuanzia muda taa ya mafuta imewaka.

Kwa hapa swala la msingi ni kukumbuka kureset odometer kurudi zero Mara tu taa imewaka.

Hizo 70km ni Kwa viwango vya kidunia na ndo maana ukiwa high way utakuta walau kila 70km au 100kms kuna kituo cha mafuta.

Kusubiri mpaka taa ya mafuta iwake au yaishe kabisa Ina madhara makubwa kutokana mfumo wa gari yako kutegemeana na aina.

Ndani ya tank la mafuta ktk gari za kisasa kuna fuel pump ambavyo inatumia umeme na ndo maana gari za zamani zilikiwa zikiishiwa mafuta lazima utoe upepo kwenye injector pump lakin siku hizi mfumo wote ni umeme. So mafuta yanaisaidia pump kupoa na ndo maana yakiisha fuel pump inapata moto na matokeo yake inaungua.

Take care of selves and your cars/trucks and goodluck.

Samahani kwa uandishi wangu.

alfredmkohiatgmaildotcom
Asante sana nilikuwa sijui hii
 
Hizo Petrol treatment watu hawajui tu,zinachukua uchafu kwny tank na kupelekea ku-cloge injector noozles na hapo utaanza shughuli nyingine tena.
Kuna fuel injector cleaners pia, inayokuja kama fuel additive...
 
Kwa muda mfupi hauta ona madhara yake lkn in long run inaleta madhara kwenye pumps,injectors, seals na oxygen sensors.
Define long run!! Maana nimekuwa nikitumia diesel treatment bila madhara yoyote
 
Kuna fuel injector cleaners pia, inayokuja kama fuel additive...
Fuel injectors inahusisha Solenoid,Needle,Nozzle,O - ring na njia nzuri ya kusafisha fuel injectors ni kutumia Ultrasonic Injector Cleaning Machines.

Hizi fuel injectors cleaners ni kujilisha upepo tu.
 
Naam uko sawa kabisa mkuu na mwenye masikio asikie.
Na mimi nilikuwa na swali kama hilo...ngoja tuone wajuvi watatujuzaje...

lakini mimi nadhani jambo la msingi ni kujenga tabia ya kuweka mafuta kwenye vituo vinavyoaminika...
Tuachane na mafuta ya kuuziwa uchochoroni..kwa mfano lori la mafuta limeanguka watu wanachota mafuta ambayo yametiririka kwenye mifereji, unauziwa mafuta hayo....lazima tu yatakusumbua....tusipende bei rahisi sana itatugharimu sana siku zijazo
 
Fuel injectors inahusisha Solenoid,Needle,Nozzle,O - ring na njia nzuri ya kusafisha fuel injectors ni kutumia Ultrasonic Injector Cleaning Machines.

Hizi fuel injectors cleaners ni kujilisha upepo tu.
Zinafanya kazi lakini
 
Asante mkuu, hii kitu haishii hapo tu mkuu, unaona utofauti wa bei za oil madukani ulivo mkubwa? Hii ni kutokana na ipi ina ubora zaidi ya nyingine, kuna OIL TREATMENT hii huwekwa kila service, huiboresha oil na kuwa kwenye kiwango kinachostaili.
Hata kama unafanya service kila baada ya km husika lakini kama oil unayotumia haijafikia kiwango cha ubora, kilainishi kilichopo kwenye oil hufa mapema kabla hata ya hizo km. Unazosubiri hazijafika! Bila kujua unaua injin pole pole:
Kuwa muangalifu sio kila gari inakubali addictives (oil and fuel treatment) so pitia user manual kwa usalama zaidi
 
Back
Top Bottom