Fauya
Member
- Sep 19, 2017
- 84
- 147
Kwahyo unamaanisha mtume Simon Petro ni mpinga Kristu?Kamwambie Padre wako hatudanganyiki.
666 ni mamlaka ..sio MTU mmoja....
Yaan Ellen G White alazamishe watu waabudu sanamu?? Awatie kifungoni na kuwaua masikini na Matajiri ,watumwa nawalio huru sababu tu hawana chapa ya mnyama .
Haaaaaaaaaaaa Acheni, Ujinga...666 ni alama ya Mpinga kristo hesabu ya Maneno "Vicarius Filii Dei " ...... Mwana wa Mungu....ambayo Papa ktk kofia yake miaka ile iliandikwa hayo na alisimama km mwana wa Mungu hapa Duniani.
Endeleen kudanganya waumini wenu kwa kutowaruhusu kuja na Biblia Kanisani...
Matokeo yake waumini wa Catholic ndio waumini pekee hapa Duniani ,WASOJUA MAANDIKO ...kwa habari za kiroho mpo na ombwe kubwa la Maandiko ..
Habari njema zitahubiliwa Duniani kote ili kua ushuhuda !!!.View attachment 1411148