mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Mbarawa ndiye mtu sahihi ili kuondokana na utwala wa kifalme!Prof hawezi kuwa Rais wa Zanzibar kwa sababu kuu mbili:
1.Huyu ni mpemba kutoka mkanyageni hawawezi kuingia ikulu wapemba wawili kwa kufuatana haiwezekani katu asilani wahafidhina wa unguja wakakubali hili(Rejea mwaka 1985 wakati wanamtafuta mrithi wa mwinyi urais wa Zanzibar, waunguja wahafidhina walikataa kata kata Dr. Salim kuwa Rais kwa kigezo cha upemba wake na Rais Julius Nyerere akashindwa kumfanya kipenzi chake Dr. Salim kuwa rais...