BIG X
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 777
- 212
Najua kuna magazeti mengi mazuri na watu wanayapenda sana na mimi pia. Lakini hawa jamaa wa gazeti la mwananchi mi nadhani wamejipanga vizuri sana. Habari zao ni za uhakika na ukweli, Hazina upendeleo wa kisiasa, website yao inavutia na wanaupdate taarifa zao kila siku. kwa sisi ambao tupo nje ya nchi linatusaidia sana kutuhabarisha mambo kwa haraka. Kifupi siwezi kuanza siku yangu vizuri bila kupitia website yao. Kama kungekuwa na namna na uwezo wa kuwachangia ningefanya hivyo.
Hayo ni mawazo yangu.
Hongereni sana gazeti la mwananchi
Hayo ni mawazo yangu.
Hongereni sana gazeti la mwananchi