Kashaulo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2019
- 2,900
- 4,860
Vipi wakihamishia ktk katuni ya kwenye video
Hiyo teknolojia hawana, pia pesa hawana... tuseme labda wangeuza hizi idea kwa wawekezaji wadau.
Vipi wakihamishia ktk katuni ya kwenye video
Kizazi cha dhahabu kimeshapita, sasa hivi kipo kizazi kipya ambacho kimepoteza ubunifumatoto ya sasa hiv hata hayajui utamu wa zille garazet za sani na bongo.ndio nikijifunzia kusoma enzi hizo 1995- 6..
nashangaa sana wachora vibonzo wamekaa kuchora siasa tu na kudhihaki wat ambao ni kama baba zao
badala wajikite kwenye ku produce comic books kama nchi za nje vile mfano wa dc comics na kupata mabilion ya fedha
kweli tupo nyuma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
UNAMSAHAU SOKOMOKOHayo na magazeti maarufu ya burudani miaka ya 90s mpaka, kwa wakazi wa dar walikuwa wanaelewa sana hizo kitu huwaambii kitu gazeti moja linatuzwa linasomwa na mtaa mzima, unasoma kila siku story hazichoshi, kuna watu walikua maaraufu kuliko wanasiasa, kina kipepe, lodi lofa, mapun'go, bettina na zena..
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
ALOOOOOO ni balaaa mbona hiyo😂🤣🤣Mkuu unakumbukumbu ,Kuna mda Wapinzani wajadu walipokuwa na mechi walipigiza vichwa juu ya majabali...ili kupata kotrol ya pasi za juu
Umenifanya nicheke mpaka nipotee njia na Mimi.....hakika old is goldIlikuwaga raha Sana enzi hizo nakumbuka ilikua kila jumapili nikitoka Sunday school napitia kwa muuza magazeti kupitia katuni kadhaa nacheka mpaka napotea njia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hahahah nimecheka mbaya daah hili gazeti nalikumbuka sanaWalipo kwa sasa baadhi ya wahusika wa gazeti la Sani na Bongo.
Sokomoko ni mgonjwa wa ini sababu ya unywaji Sana wa pombe Yuko kwao kigogo,
Ndulakuwili alipigwa nusu kufa kwa Tabia zake za wizi na utapeli kariakoo sasa hivi anabeba mizigo mabibo sokoni.
Kipepe na Njomba Nchumali walinusurika kuliwa na simba na baada ya Hilo tukio wakasitisha shughuli za uwindaji na sasa ni wakulima.
Lodi lofa baada ya kuwa na majibu mabaya kwa watu na kwa traffic alishindwa kulipa mkopo wa gari hivyo alinyang'anywa na sasa hivi ni dereva wa gari za serikali, mdomo wake mchafu umeisha
Pimbi hajawai kuwa na bahati, katika kupata wanawake ambapo mara ya mwisho kafanyiwa fumanizi hotel ya legacy Sinza Akala kipigo na sasa hamna mkono mmoja,
Madengee alikataa shule babake akamfukuza nyumbani sasa hivi ni fundi masofa pale keko,
Zena na Betina wako segerea sababu ya ugomvi wap toka kipindi kile.
Mapung'o Golden Boy, baada ya team aliyokuwa anachezea mbeya kushuka daraja aliamua kuacha mpira na kurudi kwao kimbiji kuwa mvuvi.
Dah Msako wa Mr X sijaumalizaga ila jamaa walikua noma sanaDah gazeti la Bongo lilikuwa sio mchezo, yale mastori ya mule ndani ni zaidi ya bongo muvi zote kombine hazifikii utamu hule, halafu kwa wale mabaharia tunaopenda unyamwezi lilikuwa gazeti letu sana, na stori yetu ya "msako wa mr x", gazeti lilikua na harakati za maisha nyingi sana. Halafu pale mbele kulikuwa na picha ya stori ya mwezi unakuta bonge mmoja la mdada kakamilika kila idara, halafu pembeni kuna bishoo mmoja matata sana si mchezo.
Dennis Raymond MaketeDah gazeti la Bongo lilikuwa sio mchezo, yale mastori ya mule ndani ni zaidi ya bongo muvi zote kombine hazifikii utamu hule, halafu kwa wale mabaharia tunaopenda unyamwezi lilikuwa gazeti letu sana, na stori yetu ya "msako wa mr x", gazeti lilikua na harakati za maisha nyingi sana. Halafu pale mbele kulikuwa na picha ya stori ya mwezi unakuta bonge mmoja la mdada kakamilika kila idara, halafu pembeni kuna bishoo mmoja matata sana si mchezo.
Mapungo alikuwa akionewa sana na Bob MikwaraHahah ila Kapteni Mapungo alikuwa na mikwara sana Aisee
Mie nakumbuka tu yale mazoezi yao huku wamejifunga mawe miguuni.
Kilichokuwa kinanifurahisha ni yale maneno yake akiwa uwanjani ubabe juu ya ubabe.
Ukweli kuna vitu tunavimiss.
Mapungo mbona mara ya mwisho alienda kusajiliwa Arsenal, aliunganishwa na Nwanko KanuWalipo kwa sasa baadhi ya wahusika wa gazeti la Sani na Bongo.
Sokomoko ni mgonjwa wa ini sababu ya unywaji Sana wa pombe Yuko kwao kigogo,
Ndulakuwili alipigwa nusu kufa kwa Tabia zake za wizi na utapeli kariakoo sasa hivi anabeba mizigo mabibo sokoni.
Kipepe na Njomba Nchumali walinusurika kuliwa na simba na baada ya Hilo tukio wakasitisha shughuli za uwindaji na sasa ni wakulima.
Lodi lofa baada ya kuwa na majibu mabaya kwa watu na kwa traffic alishindwa kulipa mkopo wa gari hivyo alinyang'anywa na sasa hivi ni dereva wa gari za serikali, mdomo wake mchafu umeisha
Pimbi hajawai kuwa na bahati, katika kupata wanawake ambapo mara ya mwisho kafanyiwa fumanizi hotel ya legacy Sinza Akala kipigo na sasa hamna mkono mmoja,
Madengee alikataa shule babake akamfukuza nyumbani sasa hivi ni fundi masofa pale keko,
Zena na Betina wako segerea sababu ya ugomvi wap toka kipindi kile.
Mapung'o Golden Boy, baada ya team aliyokuwa anachezea mbeya kushuka daraja aliamua kuacha mpira na kurudi kwao kimbiji kuwa mvuvi.
Sokomoko na Tedi!UNAMSAHAU SOKOMOKO
Naomba uniazime please. Npo so sensible sio mharibifu nitayasoma na kukurudishia uendeleze library yako makini kabisa Dr Lizzy