Nalia na gazeti la zamani Sanifu, Sani, Tabasamu, By Kingo, Bongo na kadhalika, kwani ni matajiri katika ulimwengu wa sasa wa katuni

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
449
408
Katika ulimwengu huu na kazi nzuri zilizokuwemo mule kama action, mapenzi, vichekesho, wangeshirikiana na watengeneza katuni wa kimataifa mbona wangekuwa mabilionea. Taarifa nilizonazo Masoud Kipanya alichoma nakala zote alizojitunzia za gazeti pendwa la Sanifu, kwanini Kipanya lakini ufanye hivyo?

Baada ya kuandamwa na aliowachora. Naomba muungane sasa Serikali yetu pendwa inawajali wasanii ili mzitafute nakala iwaunganishe na wa kimataifa hasa wabobezi wa katuni zitolewe kazi zenu, katuni za kwenye luninga.
 
Dah gazeti la Bongo lilikuwa sio mchezo, yale mastori ya mule ndani ni zaidi ya bongo muvi zote kombine hazifikii utamu hule, halafu kwa wale mabaharia tunaopenda unyamwezi lilikuwa gazeti letu sana, na stori yetu ya "msako wa mr x", gazeti lilikua na harakati za maisha nyingi sana. Halafu pale mbele kulikuwa na picha ya stori ya mwezi unakuta bonge mmoja la mdada kakamilika kila idara, halafu pembeni kuna bishoo mmoja matata sana si mchezo.
 
Dah gazeti la Bongo lilikuwa sio mchezo, yale mastori ya mule ndani ni zaidi ya bongo muvi zote kombine hazifikii utamu hule, halafu kwa wale mabaharia tunaopenda unyamwezi lilikuwa gazeti letu sana, na stori yetu ya "msako wa mr x", gazeti lilikua na harakati za maisha nyingi sana. Halafu pale mbele kulikuwa na picha ya stori ya mwezi unakuta bonge mmoja la mdada kakamilika kila idara, halafu pembeni kuna bishoo mmoja matata sana si mchezo..

Unawakumbuka, Nchumali, Bob mikwara, Wapinzani wa jadi, dunia gunia halali ya mshezi toleo 89 WABIRIANIA HALALII BAMIA 😂
 
Bila kumsahau Mapungo kwenye ubora wake

😂🤣Mkuu hapa nipo na gazeti la bongo linaloonesha zawadi ya uwanja mpira kutoka Hyati Mkapa, kwa wa watz kinachonichekesha ni Mapungu kuajiriwa kuchezea klabu ya mambele, kosa linakuja anapokwenda disco, anapata demu mkali wanaenda Gest, Then mapungo anafumaniwa Hadi na waandishi wanampigwa picha, Kisha picha zinazagaa Kila mahali Hadi kwa kocha kwa aibu afukuzwa.

Bongo bhana, sijui nitaipatawapi?
 
Mkuu apa nipo na gazeti la bongo linaloonesha zawadi ya uwanja mpira kutoka Hyati Mkapa, kwa wa watz .kinachonichekesha ni Mapungu kuajiriwa kuchezea klabu ya mambele ,kosa linakuja anapokwenda disco ,anapata demu mkali wanaenda Gest ,Then mapungo anafumaniwa Hadi na waandishi wanampigwa picha ,Kisha picha zinazagaa Kila mahali Hadi kwa kocha kwa aibu afukuzwa.
Bongo bhana,sijui nitaipatawapi?
Hahah ila Kapteni Mapungo alikuwa na mikwara sana Aisee

Mie nakumbuka tu yale mazoezi yao huku wamejifunga mawe miguuni.

Kilichokuwa kinanifurahisha ni yale maneno yake akiwa uwanjani ubabe juu ya ubabe.

Ukweli kuna vitu tunavimiss.
 
Hahah ila Kapteni Mapungo alikuwa na mikwara sana Aisee,
Mie nakumbuka tu yale mazoezi yao huku wamejifunga mawe miguuni..

Kilichokuwa kinanifurahisha ni yale maneno yake akiwa uwanjani ubabe juu ya ubabe..

Ukweli kuna vitu tunavimiss,
zile timu zilikuwa zinaitwa wabush na watown kama nipo sahii

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Ni magazeti gani haya? Siyo kila mtu kazeeka kama nyie.
Hayo na magazeti maarufu ya burudani miaka ya 90s mpaka, kwa wakazi wa dar walikuwa wanaelewa sana hizo kitu huwaambii kitu gazeti moja linatuzwa linasomwa na mtaa mzima, unasoma kila siku story hazichoshi, kuna watu walikua maaraufu kuliko wanasiasa, kina kipepe, lodi lofa, mapun'go, bettina na zena.

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Ni magazeti gani haya? Siyo kila mtu kazeeka kama nyie.
Uzee mwisho Facebook hum hakuna wazee
images%20(4).jpeg
 
Hahah ila Kapteni Mapungo alikuwa na mikwara sana Aisee,
Mie nakumbuka tu yale mazoezi yao huku wamejifunga mawe miguuni..

Kilichokuwa kinanifurahisha ni yale maneno yake akiwa uwanjani ubabe juu ya ubabe..

Ukweli kuna vitu tunavimiss,

😂🤣🤣Mkuu unakumbukumbu, Kuna muda Wapinzani wajadu walipokuwa na mechi walipigiza vichwa juu ya majabali ili kupata kotrol ya pasi za juu
 
Back
Top Bottom