Naleta mrejesho: Nimepata shamba la kilimo cha matikiti na vitunguu

popo1986

JF-Expert Member
Jul 30, 2014
1,120
371
Wanabody kijana wenu naleta mrejesho leo nimepata rasmi shamba maeneo fulani na sasa naanza kilimo cha matikiti pamoja na Vitunguu ndani ya shamba moja ila nitatenga naomba ushauri katika hili pia na utaratibu namna ya kulima kistadi na mbegu nzuri za Matikiti na Vitunguu..na chochote ambacho chaweza kunisaidia katika kilimo hiki karibuni ili nikifanikiwa au lah..pia nitawaletea mrejesho hapa
 
HONGERA NDUGU!

kama umepata nje kidogo ya Dar au pwani naomba unijuze, na mimi nataka kufanya mchakato
 
Wanabody kijana wenu naleta mrejesho leo nimepata rasmi shamba maeneo fulani na sasa naanza kilimo cha matikiti pamoja na Vitunguu ndani ya shamba moja ila nitatenga naomba ushauri katika hili pia na utaratibu namna ya kulima kistadi na mbegu nzuri za Matikiti na Vitunguu..na chochote ambacho chaweza kunisaidia katika kilimo hiki karibuni ili nikifanikiwa au lah..pia nitawaletea mrejesho hapa
Nina plan kama zako ila mwenzangu, umeanza mapema. Tupe maendeleo yako
 
HONGERA NDUGU!

kama umepata nje kidogo ya Dar au pwani naomba unijuze, na mimi nataka kufanya mchakato
kuna mashamba yanakodishwa ruvu ziko hekali 2 zimeshalimwa imebakia kupanda na kurudisha hela walioyolimia na kukodi shamba hilo je nikuunganishe kwani hata name nalima huko ruvu
 
Ushauri jinsi yakulima zao la biashara na ufugaji pamoja na uvuvi maelezo tafadhali wataalam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom