Nalaani Mbunge Condester Michael kutolewa ndani ya Bunge kisa Mavazi, ameonewa na kudhalilishwa kwa makusudi

Inasikitisha.

Lakini hawa wabunge walivyopatikana kimagumashi na maguvu ya Hayati Jiwe, sina hamu nao kabisa. Ngoja tuu wapambane na hali zao!
Hahaha wee nae lol, ila kwa suala binafsi yule mbunge kaonewa tyuuh.
 
Yule mzee atakuwa na matatizo yake binafsi. Na hana busara kabisa kumdhalilisha binti namna ile. Angekuwa ni mtoto wake amefanyiwa vile angefurahi? Angeweza mwita pembeni akamwambia au akamtumia mama mtu mzima kumwelewesha. But pia dada hajavaa suruali ya kubana. Mzee mjinga mhuni tu.
Lazima alikataliwa tyuuh hakna kingine.
 
Tatizo ni Generation crush.

Babu aliyekuwa na hii bado yuko kwenye 1980 s wakati sasa ni 2021.... Nafikiri ustaafu kwa kikomo cha umri kianze kutumika ngazi zote na siyo kwa watumishi peke yao.
Ndo tatzo lililopo, yaan yule mdada mbunge alivotajwa had akabaki anaduwaa kwa mshangao tyuuh lol, yaan haelew
 
Tatizo ni Generation crush.

Babu aliyekuwa na hii bado yuko kwenye 1980 s wakati sasa ni 2021.... Nafikiri ustaafu kwa kikomo cha umri kianze kutumika ngazi zote na siyo kwa watumishi peke yao.
Ni kweli generation gap inahusika hapa hasa kati ya mtoa hoja na mhusika.
 
Kwa ukweli huu ni udhalilishaji wa makusudi kabisa ambao umefanywa kwa mbunge huyu mwanamke.

Nimeangalia suruali aliyovaa huyu dada si zile suruali za kubana maumbo. nimeshangaa hata spika kutotumia busara kuona kuwa huyu alipaswa kwanza aachwe then aje aangaliwe baadaye.

Kama alishakuwa ameingia bungeni na amekaa, kitendo cha kumsimamisha na kumwondoa hakikuwa cha kistaarabu hata kidogo. Ni wazi kuna jambo ambalo huyu mtoa mwongozo alikuwa nalo dhidi ya mbunge huyu. Maskini mdada wa watu!

Nimengalia ile suruali aliyovaa nyuma mpaka kama inataka kumvuka. Why leo hii ionekane ni ya kuvunja maadili wakati kuna wabunge wengi tu ambao wamekuwa wakivaa sketi ndefu lakin za kubana? Na wanaovaa sketi fupi wapo wengi tu ambao siku zote tunawaona bungeni.

Ilipaswa spika atoe maelezo na kuwa kuanzia kesho jambo kama hilo lisijirudie. lakini kumwondoa mbunge huyu kwa style hii ni kumdhalilisha sana hasa hasa kwa nguo aliyovaa haikuwa ya kubana kuonesha maungo kusema kuwa haikuwa ya staha. Huyu mzee mtoa mada ni wazi kabisa inawezekana ana lake jambo kwa mbunge huyo na amejenga chuki kutokana na jambo hilo.

Anaonekana ni mtu mzima aliyekosa busara, ana mihemko, chuki na husda kwa mtendwa. Angekuwa na busara asingeli-approach jambo hilo kwa style hiyo. Ameli-approach jambo la kiume kama mvulana. Ni bora angeomba ushauri kwa sisi wanaume gentlemen tungemshauri afanye nini.

Nashukuru kwa sasa wapizani hawapo. Wachawi wakimaliza kula watoto wa wengine. Huanza kula wao. Wakimaliza kula wao wanaanza kulana wao kwa wao.
View attachment 1804793

Wewe kweli ni Chizi
 
Zee s*nge tu huyo mbunge kavaa vizuri tu anataka wote wanawake wavae miushungi kama mama yao,pumbavu kabisa
 
Kwa ukweli huu ni udhalilishaji wa makusudi kabisa ambao umefanywa kwa mbunge huyu mwanamke.

Nimeangalia suruali aliyovaa huyu dada si zile suruali za kubana maumbo. nimeshangaa hata spika kutotumia busara kuona kuwa huyu alipaswa kwanza aachwe then aje aangaliwe baadaye.

Kama alishakuwa ameingia bungeni na amekaa, kitendo cha kumsimamisha na kumwondoa hakikuwa cha kistaarabu hata kidogo. Ni wazi kuna jambo ambalo huyu mtoa mwongozo alikuwa nalo dhidi ya mbunge huyu. Maskini mdada wa watu!

Nimengalia ile suruali aliyovaa nyuma mpaka kama inataka kumvuka. Why leo hii ionekane ni ya kuvunja maadili wakati kuna wabunge wengi tu ambao wamekuwa wakivaa sketi ndefu lakin za kubana? Na wanaovaa sketi fupi wapo wengi tu ambao siku zote tunawaona bungeni.

Ilipaswa spika atoe maelezo na kuwa kuanzia kesho jambo kama hilo lisijirudie. lakini kumwondoa mbunge huyu kwa style hii ni kumdhalilisha sana hasa hasa kwa nguo aliyovaa haikuwa ya kubana kuonesha maungo kusema kuwa haikuwa ya staha. Huyu mzee mtoa mada ni wazi kabisa inawezekana ana lake jambo kwa mbunge huyo na amejenga chuki kutokana na jambo hilo.

Anaonekana ni mtu mzima aliyekosa busara, ana mihemko, chuki na husda kwa mtendwa. Angekuwa na busara asingeli-approach jambo hilo kwa style hiyo. Ameli-approach jambo la kiume kama mvulana. Ni bora angeomba ushauri kwa sisi wanaume gentlemen tungemshauri afanye nini.

Nashukuru kwa sasa wapizani hawapo. Wachawi wakimaliza kula watoto wa wengine. Huanza kula wao. Wakimaliza kula wao wanaanza kulana wao kwa wao.
View attachment 1804793
Watajijua, WENYEWE ili Hali wote ni ccm ,
 
Aibu kwa wabunge wa huuo mbaba mtu mzima.....


Cha ajabu kuna wanawake bungeni wameona ni sawa!!!!
 
Back
Top Bottom